Bemendazole
JF-Expert Member
- Nov 14, 2020
- 2,649
- 6,680
Huyo atakuwa amekula cha Arusha 😀😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dada angu Michipsi Na Mayonaizi,Wali wa Nazi Pia Sio Vyakula Vizuri Ndo Maana Tuko Legelege Ila Na Hao Wadada Huwa Wana NguvuManake kwanza hapo ncheke. Wanaume wa Dar ndio mko legevu hivyo? Kuvutwa tu hivyo ukashindwa jitetea mpk ujikute uko uwani kwa loji?
Sikusukumwa Mkuu,Ni Nguvu Ya Usumaku Walokuwa Nayo,Nilikuta Tu Niko Ndani Sikumbuki Chochote Kabisa Nisameheni sana Ndungu ZanguWanaume wa Dar acheni kula chipsi na urojo. Mwanaume gani unasukumwa na mwanamke kinguvu nguvu hadi lodge, hauna nguvu?
Huko Najitahidi Nipite Na Special Force Kabisa Bodyguard wangu Wawili,Ili Wasije Nibaka Hao wadadaUkija pita Kirumba Mwanza,Itigi Moro watakubaka kabisa. Shukuru umetoka salama ingawa unaweza ukawa ulionja chumvi na sio kula chakula.
"(Kwa Pale Ndo bei zao elekezi Hizo Kwa sababu Hawajakongoroka Wanavutia Wengi Mabinti Lakini Bei Hushuka Mkiongea)"Habari Wana Jamvi,
Ngoja Nijampu Kwenye Mada chap.
Jana usiku Kwenye Pitapita Zangu Mitaa Ya Sinza,Nikapita Mtaa Flani Hivi Kuna wadada Wauza utamu Wamejipanga wakisuburi Wateja (NB: Hiyo Ni Njia Ya Public Kila Mmoja Anapita Na Ilinilazimu Kupita Pia Kuelekea Napoenda)
Alitaka kununua hana loloteManake kwanza hapo ncheke. Wanaume wa Dar ndio mko legevu hivyo? Kuvutwa tu hivyo ukashindwa jitetea mpk ujikute uko uwani kwa loji?
Sikusubir Mkuu,Hakikuwa kitendo Cha Kusubiri Yaan Hatua Mbili Kalifikia Geti,Geti Halikuwa Mbali Na tulipo.Kasimama Getini Akamuita Nje Wakati Nanyanyua Hatua Nitoke"(Kwa Pale Ndo bei zao elekezi Hizo Kwa sababu Hawajakongoroka Wanavutia Wengi Mabinti Lakini Bei Hushuka Mkiongea)"
Wewe ni mzoefu
Haiwezekani hutaki kunua halafu anakuambua ngoja nimuite rafiki yangu na ww unasubiri
Yaani kama malaya tu kakuvuta mpaka room na ili akuachie imebidi umhonge. .. wewe msela mmoja akikubananisha unamwachia akukande... Kabisa yaani. Nimeumia sana kuona unavutwa tu unaenda hayo machips yenu na kuku bwege.
Sawa Kaka,Hao Wadada Hata Wakinivuta Wakanila Sawa tuMwanaume unavutwa unaenda tu kama li ng'ombe acha ulegevu utakuj kuliwa kipenyo cha nya
Serikali ikae kwa kutulia. Hao ni watu muhimu sana. Watu wamejitolea kutupa utelezi wao kwa bei nafuu wewe unawaitia serikali! Muulize meya alisandaSikusubir Mkuu,Hakikuwa kitendo Cha Kusubiri Yaan Hatua Mbili Kalifikia Geti,Geti Halikuwa Mbali Na tulipo.Kasimama Getini Akamuita Nje Wakati Nanyanyua Hatua Nitoke
Kingine Hakuna Mkazi wa sinza asiyekua Bei Elekezi za Machimbo Mbalimbali Hata Kama sio Mnunuzi Kwa sababu Ni Biashara Kubwa Sinza,
Naiomba Serikali iingilie Kati Waanze Kulipa Kodi Miundombinu Iboreshwe