Sema siku za hivi karibuni pale ambiance wamebaki mishangazi mikubwa, Zamani pale ndo kulikuwa na wadada pisi kali, labda kama sahivi wamerudi tena, pale kupata mdada mzuri anaejiuza (Mwenye kiuno nyigu, tako kubwa na miguu mizuri) labda ubahatishe siku moja moja Super Charged
 
Tangu uingie mwaka wa fedha 2023/2024 Naona pisi Kali Pale Kubahatisha,Sema Ukipiga Round Mara Mbili Tatu Ukaenda Ukarudi Lazima Upate Pisi Kali.
Sasa Hv Mpaka Uingie Kitambaa cheupe Kidogo
 
Hapo kweli ripoti umeipatia kwa ufanisi🤔.Sio kwa story hiyo ya wauza utamu.,😂
 
Ulipita maeneo hayo wakati wa biashara. Ukaenda na kurudi. Bilashaka walijua wewe ni mteja.
 
We jamaa kwa machimbo ni hatari, inabidi niwe rafiki yako
 
Malaya wanaojiuza ndio haohao tuko nao mtaani hivo unaweza kujifanya haupigi malaya kumbe hata mwanamke ulienae anajiuza kama wao
Ndo hawa hawa wanaenda mbali na wanapoishi. Ukiwatongoza wanakuwa wagumu haswa ila usiku bei elekezi wakitaka hela igawe Nusu
 
Manake kwanza hapo ncheke. Wanaume wa Dar ndio mko legevu hivyo? Kuvutwa tu hivyo ukashindwa jitetea mpk ujikute uko uwani kwa loji?
Na 10k juu alitoa ya kuepuka kusumbuliwa zaidi, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yaani kama malaya tu kakuvuta mpaka room na ili akuachie imebidi umhonge. .. wewe msela mmoja akikubananisha unamwachia akukande... Kabisa yaani. Nimeumia sana kuona unavutwa tu unaenda hayo machips yenu na kuku bwege.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko 20k alianzia cha juu??
Uwiiiih
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…