Ukame wa sasa ni Matokeo ya Ukataji Miti Mil 2.7 ya Selous

Ukame wa sasa ni Matokeo ya Ukataji Miti Mil 2.7 ya Selous

kuna mambo yana fikirisha imagine alieandika hii post ana familia alaf ufahamu wake ndio kama hivyo si tunajenga taifa la hovyo.
kenya hapo kila siku wanyama wanakufa kisa ukame tuseme nao wamekata miti 2m au athari za miti yetu ndo zinasambaa mpka kenya?
Majuzi hapa nchi za ulaya walikumbwa na janga la moto je hali ya joto kwao ilisababishwa na miti 2m. Tujifunze sana kuchuja mambo na kuwa na mawazo chanya huku kuwa keyboard hero wakat watu wakipima uelewa upo down dah inasikitisha sana
Hakika aisee,you nailed it
 
..c & p kutoka kwa dudus
kwa mara ya kwanza katika kizazi chetu hiki ukame mkali kuikumba mikoa ya Ruvuma, Iringa na Njombe; Mbeya, Songwe, Rukwa, na Katavi zijiandae. Msitu wa Selous una direct effect ya hali ya hewa kwa mikoa hiyo.

Unyevu ukipungua Selous ni lazima mikoa hiyo iathirke kutokana na geographical location yao against Selous with respect to direction ya upepo. That's the fact Chief
usitulishe maneno bhana ukame ni kila sehemu mifano ipo mingi na kama miti 2m inaleta athari kwa mikoa yote hiyo kwamba hiyo mikoa hamna uoto wake wa asili. basi ingekua hivyo hizo nchi za ulaya walioharibu mazingira toka miaka ya 1700 huko si wangebaki jangwa leo
 
Magufuli alikuwa baba haambiliki na taarifa za wataalamu alisema fake wametumwa na mabeberu wanatuonea wivu, madhara yake twaona vuli imekata na miji ka Dar na pwani joto limezidi kupita kiasi huo msitu ulikuwa sehemu ya kupumulia Tanzania, hafu umeme wenyewe bwawa kujaa ni kudra za Mungu.

Kiukweli kukata huo msitu ulikuwa ubinafsi wa kiwango Cha sgr ni hatari kuwa na viongozi wasioambilika na wasiojali vizazi vijavyo.
Hujui unachosema! Umegubikwa na kupofushwa na chuki tu! Hujui science ya La nina, El nino na Ukame na mafuriko ya mikoa inayo pata mvua za VULI!
Ungejua hivyo tu, usinge husisha ukataji wa miti na mvua za VULI!
 
Mabadiliko ya tabia ya nchi ni tatizo la kidunia mkuu, sio Tz tu.
Kusema mikoa ya nyanda za juu inategemea unyevunyevu kutoka misitu ya selous si kweli labda kwa kiasi kidogo sana, mikoa ya Mbeya
..c & p kutoka kwa dudus
kwa mara ya kwanza katika kizazi chetu hiki ukame mkali kuikumba mikoa ya Ruvuma, Iringa na Njombe; Mbeya, Songwe, Rukwa, na Katavi zijiandae. Msitu wa Selous una direct effect ya hali ya hewa kwa mikoa hiyo.

Unyevu ukipungua Selous ni lazima mikoa hiyo iathirke kutokana na geographical location yao against Selous with respect to direction ya upepo. That's the fact Chief
Mikoa ulioitaja inategemea kiasi kikubwa cha unyevu kutoka misitu ya Congo, kijiographia mikoa ya Katavi, Mbeya, Songwe, Njombe na Iringa IPO juu kotoka usawa wa bahari na misitu ya selous ipo chini sana, trade winds kutoka ukanda equator hubeba unyevu kuelekea mashariki kutotokea anga la Congo
 
kuna mambo yana fikirisha imagine alieandika hii post ana familia alaf ufahamu wake ndio kama hivyo si tunajenga taifa la hovyo.
kenya hapo kila siku wanyama wanakufa kisa ukame tuseme nao wamekata miti 2m au athari za miti yetu ndo zinasambaa mpka kenya?
Majuzi hapa nchi za ulaya walikumbwa na janga la moto je hali ya joto kwao ilisababishwa na miti 2m. Tujifunze sana kuchuja mambo na kuwa na mawazo chanya huku kuwa keyboard hero wakat watu wakipima uelewa upo down dah inasikitisha sana
Mtu anafikiri anaongea na wenzie wa kiwango cha praimari!
 
Magufuli alikuwa baba haambiliki na taarifa za wataalamu alisema fake wametumwa na mabeberu wanatuonea wivu, madhara yake twaona vuli imekata na miji ka Dar na pwani joto limezidi kupita kiasi huo msitu ulikuwa sehemu ya kupumulia Tanzania, hafu umeme wenyewe bwawa kujaa ni kudra za Mungu.

Kiukweli kukata huo msitu ulikuwa ubinafsi wa kiwango Cha sgr ni hatari kuwa na viongozi wasioambilika na wasiojali vizazi vijavyo.
 
Uharibifu wa mazingira umekisili Nchi hii.

Haujaanza na JPM hata kama amechangia.

Leo nimesafiri mwendo wa km 120 toka Mafinga Mjini.
Wakati njiani nakutana na mito isio na maji,(mikondo yamaji) ambayo imekua ikitililisha maji kwa mwaka mzima, Leo hii imekauka, mwisho wa safari yangu nimekuona mashamba la muekezaji mmoja raia wa Uingereza.

Nilicho kiona kimeniacha mdomo wazi.

nikama nilikua Dunia tofauti .
Mito inatililisha maji kwa kasi kama vile haiko ukanda huu ambao jua limechuku hatamu.

Nilijipa majukumu ya ukaguzi , nilicho kibaini , Kuna jamii Zina heshimu vyanzo vya maji kiasi kwamba Sheria zetu ziko nyuma.
 
Kabla ya Magufuli kulikuwa na ukame kila siku na hiyo miti millioni mbili ilikuwepo.

Haya toka enzi za Mwinyi mpaka kwa JK wakati hiyo miti millioni mbili ilipokuwepo ukame ulikuwa ukisababishwa na nini kwenye hiyo miaka 30.

Halafu huyo aliekata miti millioni mbili mbona wakati wa uongozi wake ukame aukuwepo.

Akili za mafisadi bwana ni ndogo kweli, ndogo zaidi ni kwa wale wanaoweza kuamini ujinga wao.
 
Kwa hiyo unataka Tanzania yote iwe sehemu ya hifadhi halafu ulaya wajenge miundombinu?

Tanzania tuna eneo kubwa la pori, selous ni sehemu tu ya pori.

Wazungu kwanini wao wasihifadhi maeneo yao?

Hakuna athari yoyote ya mvua inayotokana na mradi wa kufua umeme

Kama kuna mabadiliko ya mazingira, yatajiadopt yenyewe, kikubwa tupate umeme wa uhakika 2115MW
Kama vyanzo vya maji vinaharibiwa huo umeme utafuliwa kwa kutumia nini?
 
Magufuli alikuwa baba haambiliki na taarifa za wataalamu alisema fake wametumwa na mabeberu wanatuonea wivu, madhara yake twaona vuli imekata na miji ka Dar na pwani joto limezidi kupita kiasi huo msitu ulikuwa sehemu ya kupumulia Tanzania, hafu umeme wenyewe bwawa kujaa ni kudra za Mungu.

Kiukweli kukata huo msitu ulikuwa ubinafsi wa kiwango Cha sgr ni hatari kuwa na viongozi wasioambilika na wasiojali vizazi vijavyo.
Tunawauliza hii nchi haijawahi kupatwa na ukame kabla ya MAGUFULI? Ukame wa Kenya unasababishwa na nn
 
Bro kama wewe ni WA darasa la Sana hapa siyo mahali pako. Tafuta wenzio chit chat au Mahusiano na mapenzi
Unaongea na darasa la saba aliyeelimika sio aliyeshikiwa akili. Tumekuwa na ukame hata njaa hats kabla ya hilo bwawa kujengwa. Hujala ugali wa Yanga wewe😂😂
 
Back
Top Bottom