Ukame wa sasa ni Matokeo ya Ukataji Miti Mil 2.7 ya Selous

Ukame wa sasa ni Matokeo ya Ukataji Miti Mil 2.7 ya Selous

Halafu linakuja lijinga limoja hivi lipumbavu fulani, limbulula liliojaa tope kichwani..
Eti linakuja na kusema mbona kuna ukame pia Ethiopia au ukame wa Kenya kaskazini....
Hii ming'ombe wacha ichapwe na kuswaga zizini....
 
kwahyo miti milioni 2 tu ndo ilikua inaleta mvua tanzania ?
Hizi tabia za kujidai unakosoa mambo ambayo hayana faida hata kwa familia yako hebu acha kwa logic tu ukikata miti 2m ndo iwe chanzo cha ukame.

Mbona hao mabeberu wanaharibu mazingira toka miaka ya 1600 huko leo ww ndo unaona kujenga bwawa kuharibu mazingira mhhh unasikitisha sana
Washafeli hao wanatafuta pakuchomekea
 
Hii miti ni ikipandwa katika interval ya cm ngapi.??

Na ukame wa Miaka iliyopita ulisababishwa na nini...???
Huitaji kuwa na degree kufikiri vitu vidogo kama hivyo,ni mbaka uwe na cheti feki kwanza.

Njaa ikitoka tumboni ikahamia kichwani ndio madharayake hayo mkuu
Hao watumwa ilimradi wameambiwa ukimchafua Magufuli utapata tonge basi akiwaza ujinga wowote tu anakuja kuandika humu.

Hata wanao watuma wakisoma ujinga kama alicho post wanachoka kabisa.
 
Magufuli alikuwa baba haambiliki na taarifa za wataalamu alisema fake wametumwa na mabeberu wanatuonea wivu, madhara yake twaona vuli imekata na miji ka Dar na pwani joto limezidi kupita kiasi huo msitu ulikuwa sehemu ya kupumulia Tanzania, hafu umeme wenyewe bwawa kujaa ni kudra za Mungu.

Kiukweli kukata huo msitu ulikuwa ubinafsi wa kiwango Cha sgr ni hatari kuwa na viongozi wasioambilika na wasiojali vizazi vijavyo.

Dar ipi joto kimeongezeka???
Wakati hadi saizi kuna kijiubaridi. Ila mvua ndo hakuna.
 
2mil tree to affect the whole east and central Africa climate? Stupid data analysis.
 
Tropical forests ni misitu iliyopo Kati ya 23.5N au 23.5 S ya equator (including Amazon)

As per geography mvua inayonyesha msituni humo, 75% inasababishwa na misitu yenyewe by the so called transpiration and evaporation.

Misitu hii ya kitropic ni muhimu kuliko misitu mingine.

Cutting down hii misitu Hamna mito itajaa wala maziwa sababu mvua yake ni karibia 200-1000 cm down ground.


Selou game reserve is not an exempt here. Location yake ni 9S so IPO ndani ya tropic.

Kazi ya mti mmoja ni kukusanya CO2 kutoa angani, reduced air CO2 inapunguza greenhouse hence global warming reduction.

Averagely mti mmoja hufyonza 22.5kg za CO2 kutoka atmosphere.

Seasonally, 2.7 million trees inaweza kufyonza 22.5 X 2.7 million CO2 from the atmosphere.

Precipitation above ya hiyo miti inaweza Kua carried na wind away to another location a ikasababisha mvua. Especially Nyanda za juu kusini.


So downed 2.7 million trees ya Nyerere dam technically may have indirect effect behind southern Highlands drought.

Thus why wataalamu walionya Sana including mabunge ya ulaya.


Illiteracy hichi kitu hawaelewi. And they have 0 geophysics knowledge .

Sad.
 
Magufuli alikuwa hashauriki. Miti 2.7 Milioni ilikatwa kwenye pori la akiba la Selous kupisha ujenzi wa mradi wa umeme wa JNHEP. Idadi hiyo ya miti ikiwekwa ardhini ni sawa na eneo lote la mkoa wa Dar es Salaam
View attachment 2399516
Endeleeni kula bata kazi imeshawashinda kudadeki zenu.

Marehemu amewakalia katikati ya ubongo hampumui.

Mnasingizia mvua wakati mito inamaji. Shwaini kabisa.
 
Magufuli alikuwa baba haambiliki na taarifa za wataalamu alisema fake wametumwa na mabeberu wanatuonea wivu, madhara yake twaona vuli imekata na miji ka Dar na pwani joto limezidi kupita kiasi huo msitu ulikuwa sehemu ya kupumulia Tanzania, hafu umeme wenyewe bwawa kujaa ni kudra za Mungu.

Kiukweli kukata huo msitu ulikuwa ubinafsi wa kiwango Cha sgr ni hatari kuwa na viongozi wasioambilika na wasiojali vizazi vijavyo.
Dar ipi uliyopo ambapo joto limezudi? Hapa nilipo liko 25° saa 2 asubh na litaenda 28°saa 8 na kwa mara ya kwanza Dar ime experience baridi mwaka huu.
Kuhusu miti . Je uko ukweli wa bwawa na ukame uliopo leo, je huko Turkana Kenya , ni madhara ya bwawa hili?
 
Vilaza somo la uharibifu wa mazingira ni gumu sana kwao, wao wanachojua ni kula na kujaza tu matumbo yao, ndio sababu nchi sehemu kubwa wanakoishi raia ni chafu sana hata usafi wa kawaida wa mazingira bado ni tatizo kubwa.
Wewe kilaza weka hapa definition ya overpopulation uliyofundishwa O-level?

Overpopulation ya mahali ni kuanzia watu wangapi??
Mental disorder case study hii kabisa
 
Mwezi wa kumi unadai Ruvuma, Iringa na Njombe; Mbeya, Songwe, Rukwa, na Katavi kuna ukame, ukifika Mwezi wa pili utadai mikoa hiyohiyo ina mafuriko "kwa sababu ya kuharibu mazingira!!! Na hii ni kila mwaka!! NECTA waangalie vizuri matokeo ya mitihani wanayotangaza Kama yako sahihi
 
Tropical forests ni misitu iliyopo Kati ya 23.5N au 23.5 S ya equator (including Amazon)

As per geography mvua inayonyesha msituni humo, 75% inasababishwa na misitu yenyewe by the so called transpiration and evaporation.

Misitu hii ya kitropic ni muhimu kuliko misitu mingine.

Cutting down hii misitu Hamna mito itajaa wala maziwa sababu mvua yake ni karibia 200-1000 cm down ground.


Selou game reserve is not an exempt here. Location yake ni 9S so IPO ndani ya tropic.

Kazi ya mti mmoja ni kukusanya CO2 kutoa angani, reduced air CO2 inapunguza greenhouse hence global warming reduction.

Averagely mti mmoja hufyonza 22.5kg za CO2 kutoka atmosphere.

Seasonally, 2.7 million trees inaweza kufyonza 22.5 X 2.7 million CO2 from the atmosphere.

Precipitation above ya hiyo miti inaweza Kua carried na wind away to another location a ikasababisha mvua. Especially Nyanda za juu kusini.


So downed 2.7 million trees ya Nyerere dam technically may have indirect effect behind southern Highlands drought.

Thus why wataalamu walionya Sana including mabunge ya ulaya.


Illiteracy hichi kitu hawaelewi. And they have 0 geophysics knowledge .

Sad.
Hongera Mkuu Chenchele kwa kuweka bandiko la kutaalamu. Haya mamisukule ya Mwendazake hakuna kitu yanajuwa zaidi ya kutetea UPUMBAVU wa mungu wao.

JF Member, Mateo Kovasic, nabiidaniel, steveachi, komamgo, Stroke, Magonjwa Mtambuka Omulasil, NICOD2002 All truth23

Jibuni hoja hiyo hapo juu
 
Magufuli alikuwa hashauriki. Miti 2.7 Milioni ilikatwa kwenye pori la akiba la Selous kupisha ujenzi wa mradi wa umeme wa JNHEP. Idadi hiyo ya miti ikiwekwa ardhini ni sawa na eneo lote la mkoa wa Dar es Salaam
View attachment 2399516
Kumbe bado tuna wapumbavu nchii hii, kule Kenya nchi nzima ni kama nusu jangwa lakini bado wana maji ya kutosha, zama hizi unategemea na kutoa visingizio vya kijinga, bado tuna mito,maziwa,bahari na maji yanapotea tu, Awesu,Makamba wameshindwa kazi,hayo ya mazingira au kukata miti huko Selous ni upumbavu,tatizo la maji Dar halijaanza leo, liliisha wakati wa mwendazake iweje leo liwepo kumlaumu Magu kwa kukosa maji naumeme wakati hayupo ni kukosa akili na maarifa, tusiwe kama akina Ruto ambao badala ya kutatua matatizo bado wanalaumu uhuru utadhani wenyewe walikuwa hawapo, unamlaumu vipi mwendazake wakati mama alikuwawepo,
 
Back
Top Bottom