Ukame wa sasa ni Matokeo ya Ukataji Miti Mil 2.7 ya Selous

Ukame wa sasa ni Matokeo ya Ukataji Miti Mil 2.7 ya Selous

Magufuli alikuwa baba haambiliki na taarifa za wataalamu alisema fake wametumwa na mabeberu wanatuonea wivu, madhara yake twaona vuli imekata na miji ka Dar na pwani joto limezidi kupita kiasi huo msitu ulikuwa sehemu ya kupumulia Tanzania, hafu umeme wenyewe bwawa kujaa ni kudra za Mungu. Kiukweli kukata huo msitu ulikuwa ubinafsi wa kiwango Cha sgr ni hatari kuwa na viongozi wasioambilika na wasiojali vizazi vijavyo.
huko Kenya ,sudan kusini na Uganda chanzo cha ukame ni nin?
 
Magufuli alikuwa baba haambiliki na taarifa za wataalamu alisema fake wametumwa na mabeberu wanatuonea wivu, madhara yake twaona vuli imekata na miji ka Dar na pwani joto limezidi kupita kiasi huo msitu ulikuwa sehemu ya kupumulia Tanzania, hafu umeme wenyewe bwawa kujaa ni kudra za Mungu. Kiukweli kukata huo msitu ulikuwa ubinafsi wa kiwango Cha sgr ni hatari kuwa na viongozi wasioambilika na wasiojali vizazi vijavyo.
Itengwe siku ya kitaifa ya kufukua kaburi lake na kuichapa maiti yake. Alijuwa mshamba na limbukeni mkubwa huyu.
 
Mimi nikiwaambia Magufuli aliwaachia watu mimba na bado hawajajifungua ndio mjionee kama hivi sasa.

Sisi kule iringa tunapanda miti maelfu kwa maelfu ya ekari itakuwa hicho kipande cha hilo bwawa?

Mmejaza mavi vichwani mwenu
 
Magufuli alikuwa baba haambiliki na taarifa za wataalamu alisema fake wametumwa na mabeberu wanatuonea wivu, madhara yake twaona vuli imekata na miji ka Dar na pwani joto limezidi kupita kiasi huo msitu ulikuwa sehemu ya kupumulia Tanzania, hafu umeme wenyewe bwawa kujaa ni kudra za Mungu. Kiukweli kukata huo msitu ulikuwa ubinafsi wa kiwango Cha sgr ni hatari kuwa na viongozi wasioambilika na wasiojali vizazi vijavyo.
Kibaraka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mabadiliko ya tabia ya nchi ni tatizo la kidunia mkuu, sio Tz tu.
... uko sahihi kabisa Mkuu ila pamoja na hayo, kama nchi ni lazima tuchukue hatua kukabiliana nalo. Kinyume chake tunaendelea kuharibu mazingira kwa kasi ya kutisha kana kwamba likishakuwa tatizo la kidunia basi ruksa kuharibu ya kwetu kwa sababu ni tatizo la kila mahali. Haikubailiki.
 
Ujinga wa Watanzania, hasa wale mashabiki wajinga wa CCM, wa kupongeza kila kitu, wanaliangamiza Taifa.

Prof. Muhongo aliliasa bunge kuwa Dunia nzima inaondoka kwenye umeme wa maji kutokana na mabadiliko ya tabia nchi na kwenda kwenye vyanzo vingine, lakini wabunge wajinga wakiongozwa na Msukuma, wakamtusi na kumkejeli, kwa vile tu 'Rais wetu mpendwa" alishasema kuwaumeme wa maji ndiyo kimbilio.

Bwawa hilo umeme, kama kukiwa na mvua nyingi linatakiwa lijae maji baada ya miaka mitatu. Sasa kwa huu ukame, si litajaa baada ya miaka 20, au lisijae kabisa?

Ama kweli, ni aheri unyimwe vyote upewe akili na afya njema.
 
huko Kenya ,sudan kusini na Uganda chanzo cha ukame ni nin?
... huko wana vyanzo vyao vya ukame ila sio justification ya sisi ku-create vyanzo vipya vya tatizo! Utasikia wengine wakijaribu kuhalalisha tatizo eti mbona hata huko China mabwawa yamekauka kwa kukosa mvua kana kwamba China na kwingineko duniani kukiwa na matatizo ya kimazingira ni justification kwetu kuharibu ya kwetu! Thinking za ajabu kabisa.
 
Magufuli alikuwa hashauriki. Miti 2.7 Milioni ilikatwa kwenye pori la akiba la Selous kupisha ujenzi wa mradi wa umeme wa JNHEP. Idadi hiyo ya miti ikiwekwa ardhini ni sawa na eneo lote la mkoa wa Dar es Salaam
View attachment 2399516
Huko vijiweni kunawaharibu akili TAFUTENI shughuli za kufanya.
Yani unakuja hapa unaongea madude dude tu
 
Serikali ya sasa ipige marufuku biashara ya mkaa angalau kwa miaka mitano kufudia madhara ya uharibifu huo mkubwa hivyo wa mazingira
 
Wewe kilaza weka hapa definition ya overpopulation uliyofundishwa O-level?

Overpopulation ya mahali ni kuanzia watu wangapi??
Hawa ndio walewaleee mkuu vibaraka vya mabeberu wanaosema eti Afrika tupo overpopulated tunazaliana sana wakati dunia nzima sisi ndio tupo wachache kuliko races nyingine
 
Vilaza somo la uharibifu wa mazingira ni gumu sana kwao, wao wanachojua ni kula na kujaza tu matumbo yao, ndio sababu nchi sehemu kubwa wanakoishi raia ni chafu sana hata usafi wa kawaida wa mazingira bado ni tatizo kubwa.
Wewe mpumbavu Ngorunde ndiyo umeandika nini sasa? Hoja inajibiwa kwa hoja. Nimesema kukata miti 2.7 Milioni kuna athari kwenye mazingira. Wewe unakuja kuandika pumba hapa
 
Aliwazuia kina nani na shillingi ngapi??
Mlaumu jk aliuza gesi saivi Tena tunauziwa gesi yetu na tuliyemuuzia. Na ndio jpm kuona nishati ya Bei nafuu Ni kukufua umeme wa maji la nyerere.gesi ingekuwepo cheap nadhani hayo yasingewezekana. Kajk Ni kabinafsi balaa
 
Back
Top Bottom