digba sowey
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,926
- 17,880
Naona ccm imevamiwa na vijana wahuni wahuni mpaka unawaza Hawa vijana wametoka wapi, wanajidai wakosoaji wakubwa wa hayati kumbe Ni ujinga mtupu.
Niko site kazi ya mradi unaenda vizuri sana , watu tunakula pesa hapa!!?
Hongera sana mama Samia kwa kusimamia mradi huu kwa nguvu zote, Mungu akubariki
Niko site kazi ya mradi unaenda vizuri sana , watu tunakula pesa hapa!!?
Hongera sana mama Samia kwa kusimamia mradi huu kwa nguvu zote, Mungu akubariki