Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Alijitahidi na juhudi zake zimeonekana ila alichemka alipositisha zoezi. Unapataje usingizi wakati watanzania wenzio wakiwa majini hai au maiti. Kama Mkuu wa mkoa angempigia hata rais simu ya kuomba msaada wa vifaa ila labda aliomba akaambiwa awaache waathirika wapambane na hali zao kwa nini wamepanda chombo kilichojaa.

Kuna Mzee mmoja mtoto wake wa kiume alituhumiwa kumpa mimba mwanafunzi kesi ikaletwa kwangu na wazazi wakitaka suruhu nikampigia baba wa kijana wa kiume majibu yake yaliniacha hoi aisee. Anasema mwache afungwe tu kila siku namuonya asikii mwache afungwe nilichofanya nikaiacha kesi iende mbele aliposikia yuko polisi uchunguzi unaendelea Mzee ananipigia ananiambia nimshauri afanyeje nikasema wazee wengine hasara tu.
Hahahahaaa!!

Si kweli anaweza kujibiwa jibu kama hilo na KIONGOZI wa nchi, HAIWEZEKANI hata siku moja.
Tumkosoe kwa mengine lakini kama ungemwona akitoa salamu za rambieambi alikuwa ni mzee kiiongozi mwenye huruma na majonzi. Si kama unavyotueleza mkuu.
Samahani lakini.
 
Hata ipepee robo mringoti hii inabaki kuwa serikali ya kishetani tuu.....badala ya kujenga kibabe na kifisadi pale chattel pesa zingepelekwa kwa wanyonge hawa wasingekufa kirahisi hivi
 
Mada nzuri. Meli zinaendeshwa zimeshachoka, hakuna anayejali kama zinafanyiwa ukarabati ndani ya muda.

SUMATRA inahitaji watu wapya kabisa, ambao sio wale akina ndio mzee, ambao wapo kwa ajili ya mishahara na semina zenye malipo makubwa.
 
Kwakweli Mbowe na Chadema wanawanyima raha. Si rahisi ipite siku humu bila kutaja Chadema na Mbowe. Uzuri Lissu hatoki kaskazini bali anatoka central, maana angekuwa ni wa kaskazini mngetafuta kutoka na kiki ya ukabila.
Lissu hatoki kaskazini lakini " mzigo" ulikuwepo!
 
Mi naulizia kwa sisi wanafunzi jumatatu tunaenda shule au laa???
nimalizie likizo yangu vizurii🐶
 
Tatizo la hii nchi kila mtu ni mchambuzi na kila mtu anajua kuliko mwingine! Na wasomi na viongozi waliopewa dhamana waoneshe usomi wao wameshindwa kuonesha mazuri yaliyotarajiwa, matokeo yake nchi imekosa muelekeo thabiti na kila mtu anaona ametengwa na anaweza kujisimamia mwenyewe. Hali hii ikiendelea hivi kwa muda wa miaka mitano mbele basi Tanzania itaweza kusambaratika kabisa na kuonekana kama kisiwa cha wahuni na wapumbavu badala ya kuwa kisiwa cha amani.
Mungu ibariki Tanzania,
Mungu ibariki afrika.
 
Mv Butiama haijazama ,weka kumbukumbu sahihi elimu inaanzia hapo.
Although Captain is overall incharge doesnt mean he will do everything.Ships are not cars.Acha kukejeli kitu usichokuwa na ujuzi nacho.
 
huo ni uzembe wa hali ya juu wahusika wawajibishwe kuanzia ngazi za juu hadi ya chini tena ikiezekana waende jelaa hauwez kuoverload ili upate sifa kwamba umekusanya mapato mengiii
 
Nidhamu ya usafiri hakuna kabisa nchii hii.

Kuanzia kwenye maji, daladala, mabasi, bajaji, bodaboda, na magari ya kubeba wanafunzi.

Sitashangaa baada ya muda kuona watu wanadandia kwenye mabawa ya bombadia au dreamliner.

Si ajabu ukiwahoji watakwambia katengeneze ndege yako upande kwa raha.
 
Back
Top Bottom