Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Kwa idadi ya 400!!!sizani kwani nimewasikia waliopona kuwa wana kadilia walikuwa kama 200,
 
Kipaumbele ni mandege na ma SGR, mkitumbukia shimoni au baharini mungu kapenda mkufe tu..
 
Kazi Zote Zitaendelea Kama Kawaida Huku Watu Wakiendelea Kuomboleza Ila Siyo Kwamba Watu Wanaofanya Kazi Watapumzika

Serikali Inapopata Tukio Kubwa La Msiba Huomboleza Kwa Kupepea Bendera Nusu Mringoti
Unaombolezaje ukiwa kazini. Mimi mgambo wa jihi, nitampigaje marungu mama lishe nikiwa naomboleza bana??!!

Acheni uhuni
 
Unadhani nini kumepelekea Meri kuzama. Je, ni kulemewa kwa meri au ubovu wa meri? Tuanzie hapo.
Kwa maelezo ya waliopona vyote viwili vimechangia!!! Ila cha ubovu kinawezekana ndio kimepelekea zaidi!! Kwani kuna mmoja amesema kuwa baada ya kukaribia kwenye gati kilikata kona gafla, ambayo ilipelekea gari lililokuwemo na mizigo mingine kama magunia ya mahindi kulalia upande mmoja na kivuko kupinduka!! Sasa hiyo kona ilikuwaje? Ni makosa ya nahodha au ubovu wa kivuko?
 
Hilo ni kweli kabisa na engines zilinunuliwa na serikali sikivu ya JPM na zikafungwa vizuri kwenye pantoni kutekeleza ombi la mbunge lakini kilichosababisha ajali sio ubovu wa engine bali over loaded
 
Binafsi nimeskitishwa sana na baadhi ya wanasiasa Wa kitanzania juu ya walicho kizungumza kuhusiana na ajari ya kivuko iliyotokea Siku ya alhamis huko Mwanza na kupelekea watanzania wenzetu kupoteza maisha.
Ajabu ni kwamba wanasiasa wametumia tukio hili la ajabu kama sehemu ya kujinadi kisiasa kwa kuikejeri serikali bila hata kusubri angalau mda wa siku 4 za maombolezo kupata na report ya ajali kutoka ili kujua chanzo ni nini.

Ningependa wafahamu sio kila kitu ni siasa..mambo mengne niyakushauri na sio kuponda kila juhud inayofanywa

WANASIASA Tambueni kua nyakati zimebadrika..Kalibu nusu ya watanzania wamesoma na wanaweza kufanya maamuzi sahihi..punguzen unnecessary comments ..on everything.
 
Wewe ni mfanyakazi wa serikali?
😁 mbona unaniulizauliza maswali sana unataka nikutumie invitation letter nini? Sema kama unataka uje unywe beers 🍻 mpaka uchanganyikiwe

Are you prefer vodka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…