King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Inasikitisha sana , TEMESA , SUMATRA wanakula pesa tu za bure,hawasimamii kabisa kazi/sheria zao za msingi....Hawa jamaa washenzi kweli ina maana hawana kitabu/mashine ya tiketi? Watu wanapanda kama daladala asehhh
Ikisha pinduka miguu juu inabaki inaelea?Mtoa taarifa hajasema imezama amesema imepinduka mijuu guu
Kwani kurudia uchaguzi ni bei gani.na kununua kivuko kipya ni bei gani?Ukerewe wanahitaji meli kubwa bajeti ya kurudia uchaguzi ielekezwe huko katika miundombinu
Yes, huwa siku ya Alhamis kuna mnada mkubwa sana hapo Bugorola (upande wa Ukerewe).Nackia leo nisiku ya mnada huko kwaiyo itakua ilijaza sana
Si kweli.Kilikuwa cha kamba km kile kilombero zamani?
Kwanza Muulize kwa nini anamtaja taja Mungu kwa sababu ya uzembe wa watuUnaambiwa wamezama halafu unasema Mungu awanusu
Ingawa haturidhishwi na hizichaguzi bado hii inabaki kuwa ajali kama ajali zinginelabda tupewe taarifa tofauti ya uzembe
Hiki kivuko ni kidogo, wapeleke vivuko vikubwa kama mv.Sengerema , hako lazima kayumbe kwenye dhorubaTaarifa nilizozipata haraka sasa hivi ni kuwa watu wengi sana wanahisiwa kufa maji baada ya kivuko kubinuka juu chini, chini juu katika kisiwa cha UKALA wilayani Ukerewe.
====
Taarifa Kwa Umma Kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme-TEMESA Kuhusu Kuzama Kwa Kivuko Cha MV.Nyerere
View attachment 872340
Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hazijajulikana.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Jonathan Shana amesema kivuko hicho kimezama wakati kikielekea katika Kisiwa cha Ukara. Kiliondoka saa 6 mchana na ilipofika saa nane kamili mchana kilipinduka.
Amesema bado hawajapata idadi kamili ya waliokuwemo kwenye kivuko hicho.
Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa), Hassan Karonda amekiri kuzama kwa kivuko hicho na yuko njiani kulekea huko na watatoa taarifa baadaye.
Kivuko cha MV. NYERERE kilinunuliwa na kuanza kutoa huduma mwaka 2004. Kilifungwa injini mbili mpya zenye thamani ya shilingi milioni 191 JULY 2018. Kivuko cha MV. Nyerere kina uwezo wa kubeba tani 25 sawa na abiria 100 na magari 3 kwa wakati mmoja.
View attachment 872299
Wanajeshi na raia wakitoa msaada wa uokoaji
eHee.., mbona unatutisha wa huku Kigamboni? ,ndio maana nasema pajengwe daraja pale, hamsikii..
Ni zaidi ya mita 100.Kama hapazidi mita 100 wakara wenzangu inakuaje washindwe kujiokoa?....maana enzi zetu hizo mita mia ilikua ni kichanga cha pili au cha tatu na ukiishia hapo nikwamba hujui kuogelea
ni serikali ndugu sio ya mtu binafsi, sasa utamfunga nani hapo
ni serikali ndugu sio ya mtu binafsi, sasa utamfunga nani hapo
Hapa naona nikatika hali ya kutoa watu kwenye mada ya uchanguz sasa aya matukio sielewi elewi iv maana du bt poleni watanzania wenzanguTaarifa nilizozipata haraka sasa hivi ni kuwa watu wengi sana wanahisiwa kufa maji baada ya kivuko kubinuka juu chini, chini juu katika kisiwa cha UKALA wilayani Ukerewe.
====
Taarifa Kwa Umma Kutoka Wakala wa Ufundi na Umeme-TEMESA Kuhusu Kuzama Kwa Kivuko Cha MV.Nyerere
View attachment 872340
Kivuko cha MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na kisiwa cha Ukala katika ziwa Victoria kimezama huku taarifa za idadi ya watu waliokuwemo ndani ya kivuko hazijajulikana.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Kamishna Msaidizi wa Polisi (ACP) Jonathan Shana amesema kivuko hicho kimezama wakati kikielekea katika Kisiwa cha Ukara. Kiliondoka saa 6 mchana na ilipofika saa nane kamili mchana kilipinduka.
Amesema bado hawajapata idadi kamili ya waliokuwemo kwenye kivuko hicho.
Meneja wa Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa), Hassan Karonda amekiri kuzama kwa kivuko hicho na yuko njiani kulekea huko na watatoa taarifa baadaye.
Kivuko cha MV. NYERERE kilinunuliwa na kuanza kutoa huduma mwaka 2004. Kilifungwa injini mbili mpya zenye thamani ya shilingi milioni 191 JULY 2018. Kivuko cha MV. Nyerere kina uwezo wa kubeba tani 25 sawa na abiria 100 na magari 3 kwa wakati mmoja.
View attachment 872299
Wanajeshi na raia wakitoa msaada wa uokoaji