Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Nackia leo nisiku ya mnada huko kwaiyo itakua ilijaza sana
 

Hawajapata idadi kamili ya watu waliokuwemo?kwani hicho kivuko ni sawa na daladala la kariakoo ambalo watu hupanda tu?
 
Ukerewe wanahitaji meli kubwa bajeti ya kurudia uchaguzi ielekezwe huko katika miundombinu
Kwani kurudia uchaguzi ni bei gani.na kununua kivuko kipya ni bei gani?
Mbona unatuchanganya.tuache kwanza tuna huzuni.[emoji30] [emoji30] [emoji30]
 
Unaambiwa wamezama halafu unasema Mungu awanusu

Ingawa haturidhishwi na hizichaguzi bado hii inabaki kuwa ajali kama ajali zinginelabda tupewe taarifa tofauti ya uzembe
Kwanza Muulize kwa nini anamtaja taja Mungu kwa sababu ya uzembe wa watu
 
Hiki kivuko ni kidogo, wapeleke vivuko vikubwa kama mv.Sengerema , hako lazima kayumbe kwenye dhoruba
 
Kwa taarifa za mtu wangu wa karibu ananiambia kivuko hubeba watu zaidi ya 500 pamoja na magari ...
najaribu kuimagine
 
ni serikali ndugu sio ya mtu binafsi, sasa utamfunga nani hapo

U ndumila kuwili ndiyo tunaoupigia kelele tunapokuwa tunaomboleza matukio kama haya.

Haki bin haki pekee ndiyo inapaswa kutamalaki. S
ni serikali ndugu sio ya mtu binafsi, sasa utamfunga nani hapo

Mkuu kinachogomba ni huu u ndumila kuwili tunapokuwa tunaomboleza matukio kama haya.

Kinachopaswa ni haki bin haki hakuna mtu anataka au kuombea ajali si serikali wala mtu binafsi. Ikitokea hivi mtu binafsi korokoroni, serikali aah aah makengeza yanaingia.

Haki si mpaka mbinguni tu hata hapa duniani yawezekana. Onyesheni japo utashi basi tuone mko pro haki?

Cc: massabuni
 
Idadi kwanini isijulikane ina maana hao Abiria huwa hakuna record yoyote inayobaki ofisin wakati kivuko kikiwa safarin?
je hakuna tikets? Africa kila siku uzembe uzembe
 
Kwanini watu wafe?? Wakati kuna maboyance?
Mungu awapumzishe wote waliopoteza maisha yao.
 
Mungu awape pumziko la amani wale alioona inafaa kutangulia, nao majeruhi Mungu awafanyie wepesi wapone haraka ili warudi kuendelea na majukumu yao ya kila cku
 
Hapa naona nikatika hali ya kutoa watu kwenye mada ya uchanguz sasa aya matukio sielewi elewi iv maana du bt poleni watanzania wenzangu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…