Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Nataka kujuwa hao divers are they professional trained and awarded certificates na wana utaalamu kiasi gani au ni divers wa mtaani tu wamejitolea kuokoa
 

Hii comment ilitakiwa iwe Ndio uzi ili jamii ipate taarifa sahihi na sio huu upotoshaji unaofanywa na wanaojali matumbo.

Mkuu pole sana kwa kupoteza ndugu. Umetoa ushuhuda ambao wengi Naona hawajatilia maanani. Hakuna lisilo na mwisho wapotishaji na wazembe wakati wao wa hukumu utafika tu
 
Naomba mnijibu, nataka kujuwa hao divers are they professional trained and awarded certificates na wana utaalamu kiasi gani au ni divers wa mtaani tu wamejitolea kuokoa
 
Naomba mnijibu, nataka kujuwa hao divers are they professional trained and awarded certificates na wana utaalamu kiasi gani au ni divers wa mtaani tu wamejitolea kuokoa
 
Naomba mnijibu, nataka kujuwa hao divers are they professional trained and awarded certificates na wana utaalamu kiasi gani au ni divers wa mtaani tu wamejitolea kuokoa
 
hilo halikuhitaji hata uwe mtaalam ndiyo utoe maamuzi kama kiongozi.
wewe watu wapo ndani ya maji unashauriwa kuahirishwa uokozi kisa taa seriously...ok fine...hata kuwahamasisha psychologically.. waendelee kufanya kazi umeshindwa! lord have mess...
Kwa hiyo waokoaji hawaruhusiwi hata kula?
 
Naomba mnijibu, nataka kujuwa hao divers are they professional trained and awarded certificates na wana utaalamu kiasi gani au ni divers wa mtaani tu wamejitolea kuokoa


Then ndiyo nijue mkuu wa mkoa alikua ana relay hizo infor za kuhairisha uokoaji kwa kuzingatia misingi gani
 
Umejibu vyema sana. Tatizo vijana wengi wa CCM ni ushabiki mwingi, bila kujali uhai wa watu. Je angekuwemo kiongozi mkubwa mle ndani, wangesitisha uokoaji kwa sababu ya giza au hali mbaya?? Waache madharau
 
Kwa kweli walahi!
Kuna mijitu kazi yao ni ku act kwenye matukio na kuongea upupu tu walahi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…