Abiria hana utaalamu wa kujua uwezo wa chombo wangapi wanatakiwa zaidi ya wasimamizi.Tatizo mnataka kuwapa makosa yote wasimamizi wakati ata abiria wanamakosa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Abiria hana utaalamu wa kujua uwezo wa chombo wangapi wanatakiwa zaidi ya wasimamizi.Tatizo mnataka kuwapa makosa yote wasimamizi wakati ata abiria wanamakosa
Viongozi wa kiafrica wako bize kupambana na upinzani sio kutatua kero za waafricaNami ndo nilichoshukuru..... ila kwenye rescue mission bado tunatatizo hasa kwa nchi zote za africa..
Neno la sikuTanzania siku hizi kumekuwa na watu wanatetea jambo kwa maslahi binafsi.yuko tayari akukane au atunge uongo kwa faida yake binafsi huku huo uongo ukiwauumiza hata ndugu zake wa karibu.je kutetea Shida au maafa kwa mwenzio ndiyo kujenga mshikamano wa kitaifa au kubomoa
Unafahamu wanapewa shingapi?Sumatra hawapewi fedha za kutosha za usimamizi, pesa nyingi inanunulia ndege na wapinzani
Umesema sumatra hawana hela ccm imeletwa na nini.Wakati huo ccm ilikuwa haipo
mkuu kuna mtu anatumia device yako au ni wewe mwenyewe? ngoja kwanza naomba updates za kwa museveni hali ipoje? au ma elite wetu wamesha fanya yao huko?Mamlaka iliyooe kusimamia ni SUMATRA majini na nchi kavu lakini uzembe wao umekubuhu chombo kihajazwa kupita kiasi hawakagui wao kazi yao ni kutega pale ubungo.
Umerogwa wewe sio bure hata hujitambui.......una element za kichawi sanaIlikuwaje hadi leo hujajitolea kwemda kuokoa usiku.. mna jua kuandika huku nyuma hata majirani zenu hamuwajali.. kuwa umbele na kuhatarisha maisha yenu.. mmejaa porojo tu
Acheni kuendelea kuumiza wafiwa na maneno yenu..
Unafahamu wanapewa shingapi?
Mambo safi dogo kavuta mpunga.mkuu kuna mtu anatumia device yako au ni wewe mwenyewe? ngoja kwanza naomba updates za kwa museveni hali ipoje? au ma elite wetu wamesha fanya yao huko?
Sioni uhusiano wa swali lako na maelezo yanguUmesema sumatra hawana hela ccm imeletwa na nini.
Tena ni aibu kubwa, yaani unasitisha shughuli za uokozi kwa sababu ya giza!! Hebu tukumbuke changamoto walizokutana nazo askali wetu wakati wa vita na Idd Amin, kama viongozi wetu wangekuwa na akili ndogo kama ya hiyo ya kusingizia giza Idd angeingia hadi vyumbani mwetu, ndugu zangu, Tanzania ni yetu sote, mtu akikosea aombe radhi si kumtetea kama mnavyofanya. Kiukweli mkuu wa mkoa alikosea saana, naamini kuna watu tumewaua kwa kusitisha lile zoezi, na Mungu kathibitisha kupitia huyo Eng aliyekutwa hai huku akikaa ndani ya maji kwa masaa zaidi ya 48Sana yaani nabado maana hawataki kubadilika na kujifunza kutoakana na makosa au matukio
Costa concordia pia ilikuwa ni CCM ndio iliyokuwa madarakani.Sioni uhusiano wa swali lako na maelezo yangu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119]Wakati huo ccm ilikuwa haipo
Costa Concordia ni ya Tanzania?, acha ubishi wa kitotoCosta concordia pia ilikuwa ni CCM ndio iliyokuwa madarakani.
View attachment 875398
Hivi Sumatra ni ya Serikali au taasisi binafsi Mkuu? Naomba ufafanuzi kabla sijachangia.Mamlaka iliyooe kusimamia ni SUMATRA majini na nchi kavu lakini uzembe wao umekubuhu chombo kihajazwa kupita kiasi hawakagui wao kazi yao ni kutega pale ubungo.
Uzembe sio kuisingizia CCMCosta Concordia ni ya Tanzania?, acha ubishi wa kitoto