Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Lawama zote ziende kwa waziri husika na ikibidi atumbuliwe maana kama angekuwa mkali wizarani kwake watu wangekuwa wanafuata taratibu walizo jiwekea
Actually, ndo matarajio ya wengi. Amepyaya sana. Nilimuonea huruma alivyokuwa akitoa taarifa yake; angalau RC alikuwa stable.
 
Yeye ndio alikatisha Tiketi?
Unaona Waziri anahitimisha hesabu kisha analetewa hesabu mpya kuwa kuna maiti nyingine imeibuliwa!
Sheria ya takwimu ianzie kwa waziri kumlamba kama lile LA kufukuzwa limeshindikana
 
Acha unafiki,wewe kiongozi wako mkuu ameenda mazishini?Nyie watu mmeumbwaje vichwani mwenu?
 
Haya basi wamezidi 300 furahi basi.. Ovyooo
 
Sawa lakini hiyo huwa si kazi ya rambi rambi. Au nyie watu wa CCM hamjawahi kufiwa nini au pia mkifiwa huwa hampewi rambirambi?
Kwani ile michango ya Msiba wa Mbwa wa Nassari mliiipeleka wapi mkuuu, hebu leta mchanganuo basi.
 

Mkuu Idawa kuna jambo la kujiuliza hapa kuhusu serekali. Inakuwaje serekali ilikuwa inakusanya hela nyingi kuliko kiwango inachopaswa kwa trip na haichukui hatua kujua kwamba inazidisha abiria? Huoni hapa serekali ilibariki hii overload kwa kukusanya mapato zaidi?
 
Hiyo ni idadi ya marehemu tu, waziri hakujumlisha na idadi ya waliotoka hai(wazima) au umesahau pia kuna wailookoka humo ambao wanaweza kufikisha idadi ya watu 300
 


Hasira za kukosa nafasi ya kuwadhalilisha.
How often wakiwa katika maeneo yao (kama mlivyowaamulia) mmewadhalilisha na kutowapa heshima zao?! Sembuse huko mbali na maeneo yao ya kibunge??
Wote tunajua kuwa the moment wangetia team lazima hata gathering ndogo tu ya kusalimiana yangeitwa maandamano.
Kila mzt aliyeguswa na msiba huu amekuwa na MTU wa kulaumu au kunyooshea kidole kama mzembe- ndio maana mkuu sana kavunja bodi ya temesa- but viongozi wa upinzani walipotoa mtazamo wao immediately imeonekana ni kutafuta kick za kipolitic, sasa ulitaka waje mseme zaidi??!!. Kuhani msiba huwa hakuishi- watakuja siku nyingine na wengine.
Au watamsindikiza mkuu sana atakapoenda kuwasalim na kuwapa kivuko kingine.

Above all, ukerewe wala samaki- akili kubwa wale. Hawana utapia mlo, hizi propaganda za ovyo haziwafanyi kitu.
Wana uwezo was kudeal nazo na kujua pumba ni IPI na mchele ni UPI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…