Na kuzipeleka kusikojulikana nao sio utamaduni wetu!Nakubaliana na wewe kabisa, siyo destuli yetu. Sasa ukitoa zisifike unatoa za nini?
Mwingine huyo ni nani?
Kwani tatizo lilitokana na ubovu wa kivuko au makosa ya kibinadamu?Bajeti ya kununua hivo vivuko inapitishwa na wanasiasa.
Matengenezo yanategemea msukumo wa wanasiasa.
Usimamizi unategemea wataalamu na wanasiasa.
Hilo eneo lilihitaji zaidi ya kivuko kilichozama, pia ilihitaji wanasiasa wafanye maamuzi,
Vifaaa vya uokozi kwa jeshi la polisi na majeshi mengine yanahitaji wanasiasa wapitishe bajeti
Unatenganisha vipi siasa na matukio ya kizembe kama haya iwapo kina watu wanapaswa kuwajibika?
Mkuu wa Mkoa awajibike
Waziri wa uchukuzi awajibike
Polisi wawajibike kwa uzembe
SUMATRA wawajibike
Hiyo miili wanaiona ilipo?Watakuwa wamekamilisha zoezi la kutoa miili yote.Ulitaka wafanye hiyo kazi kwa siku ngapi?
Acha ukuda...grow up...CCM oyeeee
Vyovyote vile lakin yeye ndo alitakiwa aikoseshe raha na amani serikali kwa kupigania matengenezo ya kivuko hichoUnajua matengenezo yaliyotakiwa yalihitaji fedha kiasi gani??
Tibaijuka, Muhongo, Kitwanga, Nape, Nchemba, waliwajibika, au waliwajibishwa?.Nimesoma kwa kina andiko lako Pascal Mayalla, naamini mtu yeyote aliyesoma shule na hiyo elimu ikamstaarabisha hawezi kukubaliana na hoja yako kwamba eti watu hawawajibiki kwa makosa ambayo ama ni moja kwa moja wamehusika au ni kwa migongo ya wsnawaongoza, Tumeshuhudia, akina Tibaijuka. Muhongo, Kitwanga. Nape, Nchemba, Je hao walipowajibika ilikuwa enzi ya Baba wa Taifa hili? Hasira yako hakika inatokana na ndugu yako kuwajibika ? Au inatokana na chuki yako binafsi? Binafsi nakufahamu sana pengine kuliko hata unavyojifahamu wewe. Kila Mara mandiko yako huwa ni ant system, lakini unasahau kuwa Taifa hili limekusomesha , linakupa fursa ya kujivinjari mitandaoni kwa gharama nafuu kabisa, kuwa na shukrani kwa Serikali yako. Siyo kila siku kuibeza.
Unajua matengenezo yaliyotakiwa yalihitaji fedha kiasi gani??
Wewe ume grow up?Acha ukuda...grow up...
Hapa tunapoteza point kama Wafarisayo enzi za Yesu.Bajeti ya kununua hivo vivuko inapitishwa na wanasiasa.
Matengenezo yanategemea msukumo wa wanasiasa.
Usimamizi unategemea wataalamu na wanasiasa.
Hilo eneo lilihitaji zaidi ya kivuko kilichozama, pia ilihitaji wanasiasa wafanye maamuzi,
Vifaaa vya uokozi kwa jeshi la polisi na majeshi mengine yanahitaji wanasiasa wapitishe bajeti
Unatenganisha vipi siasa na matukio ya kizembe kama haya iwapo kina watu wanapaswa kuwajibika?
Mkuu wa Mkoa awajibike
Waziri wa uchukuzi awajibike
Polisi wawajibike kwa uzembe
SUMATRA wawajibike
Huo ndio ukweli na uungwana pia...mimi nadhani tumlaumu Mbunge wa Ukerewe anayetokea chama cha Chadema.
..kwanza, alipiga kura kukataa bajeti ya wizara ya uchukuzi.
..Mbunge alitegemea serekali itatoa wapi fedha za kununua au kukarabati vivuko?
..Pili Mbunge anapata milion 58 kila mwaka kwa ajili ya mfuko wa maendeleo. Angetumia fedha hizo kukarabati kivuko huenda ajali hii isingetokea.
Cc tindo
Huo ndio ukweli na uungwana pia.
Tatizo chadema wamezoea kutumia misiba na majanga ya kitaifa kama kick za kisiasa, kujipatia popular majority.
Rejea ajali ya saint vicent,msiba wa mzee ndesamburo (ambako familia ya marehemu na baadhi ya vigogo cdm haziwivi mpaka leo).
Rejea msiba wa Alphonce mawazo jinsi mwili wa marehemu ulivyosumbuliwa, kisa kutafuta kick za kisiasa kanda ya ziwa.
No.
Hii ndio hulka ya upinzani wa kitanzania.
..inawezekana hawana VIFAA.
..pia hawana wazamiaji wengi wanaotosha kufanya kazi masaa 24.
..unajua wazamiaji wana muda maalumu wa kukaa ndani ya maji, wanapozidisha wanakuwa wanahatarisha maisha yao.
cc Richard
Hata mimi nimeisikia hiyoAKILI KUBWA INANIAMBIA AJALI HII NI KAFALA LA MWAKA KAMA LILE LA WANAFUNZI WA ARUSHA.
Si mumshauri mbunge wa jimbo husika aanze yeye kujiuzulu, hela zote za mfuko wa jimbo huwa anazitumiaje!Wakijiuzulu watoto wao utawalipia karo na kuwapa chakula?
Mkuu Tanzania Uongozi ni biashara kama biashara nyinginezo. Uwajibikaji ni sifuri. Ndo maana wakiteuliwa wanafanya sherehe na kuiba. Hakuna kitu kama kuhudumia wananchi.
The sad part of it, hao hao viongozi kesho watakuja kuomba kura kwa kutumia hicho kivuko kama mtaji. NA wananchi walivyo na akili nyingi watawachagua kwa kishindo!
Africa bado tuna safari ndefu sana!