Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

mbona dakika hii mkuu wa nchi yupo live anaongelea hiyo habari??!
au ulitaka 24 hours waoneshe tukio moja tu
Mkuu nimemsikiliza na huo ndo uongozi.
Katika hilo Rais Magufuli ni lazima apongezwe.
 
Keeping your mouth shut can be the best way to conceal your unhinged state of mind!
Huyo jamaa hujamuelewa ungemuelewa usingemjibu hivo
Yeye amejibu kwa akili za jiwe.mara kadhaa jiwe amekua akipendelea waliomchagua na kikiri kabisa hadharani
 
Daaah Poleni sana wafiwa ila haya mambo ya kuzidisha abiria lazima wahusika watafutwe!!
 
Umefunguka bayana mkuu
 
Unaweza kuomboleza unaambiwa inatumia maafa kisiasa,nani anakuambia uendelee kutamgaza. Hamna shida update tutapata tu CNN, BBC, Sky news nk
Sidhani kabisa janga kama hili kuliportiwa live na vyombo vya habari litakuwa ni la kisiasa .Huo ni UOGA watu wameijengea wenyewe.tu.
 
Umesahau CCM walipora msiba wa wanafunzi Arusha na msiba wa mapacha walioungana Iringa hata huu wanajipanga kuupora, ni kawaida yao huwa hawapendi kushirikisha wengine wanataka nguo za kijani tu.
 
Sidhani kabisa janga kama hili kuliportiwa live na vyombo vya habari litakuwa ni la kisiasa .Huo ni UOGA watu wameijengea wenyewe.tu.
Kuogopa awamu hii muhimu kwa mjinga huenda kichekp kwa mwerevu kilio. Maafa ya kagera watu wameipeleka matulubai wakiambiwa wanafanya siasa.
 
Tofautisha 'kuwajibika' na 'kuwajibishwa', hao wote uliowataja hakuna aliyewajibika bali waliwajibishwa
 
Mkuu mamlaka zimeona huu ni muda muafaka, Mchana zoezi la uopoaji wa miili lilikuwa linaendelea

Hakuna cha Muda muafaka mamlaka zimekuwa zinajivuta sana kuhakikisha waliokwama wanaopolewa..

Fikiria kusitishwa kwa zoezi la uopoaji Miili hapo jana, kweli Watanzania wenzetu wapo chini ya maji mamlaka zinapata usingizi...Hii ni aibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…