kimbendengu
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 6,716
- 12,116
Dalili zimeanza kuonesha, baadhi ya Wanasiasa kudai watu flani wawajibike,wajiudhuru, mawazo ambayo yako kisiasa zaidi, ni kweli ipo sababu iliyopelekea kutokea ajali hiyo mbaya, sababu zinaweza kuwa ni za uzembe wa kibinadamu,au za kitaalamu(mechanical problems), hivyo kwenda moja kwa moja kwenye(human error) tutakuwa hatuwatendei haki wataokumbwa na sakata.
Itakuwa kisiasa zaidi, hivyo kabla ya yote Mashauri uchunguzi wakina ufanyike, isije kutokea kama ile ya Muhimbili kupasua kichwa badala ya mguu na mguu badala ya kichwa, maamzi ambayo yalipelekea kuwapoteza !adakitari bingwa wa mifupa na wenye uwezo mkubwa, ambao Mara moja Botswana iliwachukua hadi leo wanafanya maajabu huko.
Ikumbukwe mfano Prof. Kinasha alieleza kwamba alikuwa ameshafanya upasuaji wa kichwa kwa watu 1,008 na wote walipona, na huyu ambaye ni bahati mbaya alikuwa wa 1,009. Sasa akahukumiwa kwa kosa moja tu !!!!
Hii ilikuwa kisiasa zaidi ikiongozwa na Prof. Mwakyusa, Sikatai kuwa uzembe ni mbaya na unaweza kugharimu maisha ya watu, jambo ambalo kamwe halikubaliki wala kuvumilika.
Lakini pia sikubaliani kuona kuwa watu wanaadhibiwa kwa mintarafu ya kisiasa, watu kutafuta kiki za kuonekana na jamii kwamba wamechukua hatua. Ajali hutokea kokote kule hata Ulaya na marekani, mfano Nyambizi ilizama, je nani aliwajibishwa?
Ndege aina ya Conctord iliua watu kibao je nani alifukuzwa kazi? Tusilione limetokea hapa kwetu, sasa ukawa muda wa wanasiasa kuishutumu Serikali nakuitaka kufukuza watumishi wake kwa madai kwamba wamefanya uzembe.
Kikubwa hapa ili Wanasiasa waoneshe kukomaa kwao wanatakiwa kuitaka Serikali kufanya uchunguzi wa kina juu ya sababu zilizopelekea ajali hii mbaya. Huu ni Ushauri tu na si vinginevyo.
NYIE KWENU KAMA HAMNA MAJONZI , HAYO NI YAKWENU , HAYATUHUSU , TUTACHANGAMajonzi unayo wewe peke yako?mtaigiza Sana kulia na kujifanya mna majonzi lakini michango hatutoi,tutatoa directly kwa wahanga.
Kwani ndiye wliyekuwa anasubiliwa kupeleka mwanga ili zoezi la uokoaji liendelee?Nilitegemea kwa wakati huu KUB Mbowe angekuwa kisiwani Ukerewe kujumuika na mbunge wa jumbo hill ambaye ni wa Chadema pamoja na timu nzima ya viongozi wa serikali na vyombo vya dola. Kwanini Mbowe kamuacha mbunge wake akiwa mpweke katika wakati huu mgumu!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] kuzaliwa taifa moja na vichaa ni shida sanaAmeenda ndiyo, yeye ni mzalendo!
Cha mama yako, mnywa mbegeUnasemaje kinena?
Hopeless comments ever!
Excellent comment evermavi mkanye nyinyi , ahangasike mbowe, why?! Mnapoteza 80 bn Tsh kununua wapinzania badala ya vivuko 6! Rubbish! Mwifwa
Tanzania ina viongozi vichwa pumbu sana" kwa hiyo walipanda ndege na kwenda wao kama wao kwenye tukio pasipo kujiongeza kubeba vifaa " .... walikuwa wanataka kwenda kuwa shuhudia watu wanavyozama" sindio tunavyoweza kusema au ""?INAUMA SANA SANA SANA ! Ilishindikana kuleta diving equipment kutoka Dar na Zanzibar ziletwe kwa ndege na zipelekwe Ukara kwa helikopta? Mawaziri na viongozi wengine akiwemo IGP wapo eneo la tukio. Hizo ndege zilizowaleta zingeshindwa kupeleka vifaa vya uokozi kwenye eneo la tukio? Na kama mchangiaji mwingine alivyosema ni kweli ilishindikana kutafuta taa ili uokoaji uendelee usiku?
C ndo apo sasaChombo kina uwezo wa kubeba watu 100 sawa sawa na tani 25,sasa hao watu 400 ilikuaje watu wazidishwe
Kaka kabla ya yote kulaumu emb angalia ishu ya kufungia Local channels kutoonyeshwa kataika hizi decoder za AZAM na DSTV.. imeathiri vip matangazo yao? na hapo naona ni figisu tu,,, ili TBC wapate tenda za kutangaza matangazo ya private broadcasters mie naona kama WAMESUSA tuNdugu wanabodi:
Hivi sisi Watanzania nano katuloga? TBC na vyombo binafsi vimeshindwa kujiunga mubashara kwenye shughuli ya uopoaji maiti lakini hats kupiga nyimbo za maombolezo imeshindikana kweli?
Nimesema shughuli ya uopoaji kwa sababu serikali ingekuwa serious na maisha ya Watanzania wenzetu ingepeleka jenereta jana ili shughuli ya uokoaji iendelee Jana usiku.
Watanzania zaidi ya 126 ni msiba mkubwa wa taifa lakini radio na luninga ya taifa wameshindwa kujiunga mubashara hatua kwa hatua badala yake wanaendelea na mambo yao yasio na maslahi kwa Taifa.
Naamin kwa Wazungu habari ingekuwa ndio hiyo kuwa mubashara muda wote kwa kila kituo cha luninga na redio.Na wasingekubali kusitisha shughuli ya uokoaji eti kisa giza
Tumeshindwa kuthamini uhai wa wenzetu, kweli ngozi nyeusi ni wabinafsi haijapata kutokea
Hakuna kwenda kazin,Mnisaidie. Kwahiyo hatuendi kazini?
Sijui maombolezo si mapumziko?