Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!


Unahitaji uchunguzi gani kwa sababu ambazo ziko very clear mkubwa??

Capacity ya kivuko ni kubeba:

• Abiria wasiozidi 100 tu

• Tani za mizigo zisizozidi 25 tu

• Magari madogo yasiyozidi matatu 3 tu

Hebu cheki sasa kinachoripotiwa:

- Eti kivuko kilibeba abiria zaidi ya 500!!!
- Mizigo zaidi ya tani hizo za uwezo wake!!
- Magari makubwa badala ya madogo!!

Sasa ni uchunguzi gani zaidi unaohitajika hata kutumia pesa kwa mambo ambayo yako so open?

Hivi ktk mazingira kama haya utawezaje kuzuia watu kuusema ukweli kama huu ulio wazi kabisa?

Utawezaje kuzuia watu kusema kuwa ilishindwa kuokoa uhai wa watu waliokuwa wakizama mita zisizo zidi 200 kutoka nchi kavu eti kwa sababu ya Giza??

Kuna siasa gani hapa?? Hakuna siasa lakini hii ndiyo reality kuwa kama taifa kuna shida ktk eneo la uokozi na hatujajifunza na nadhani kuna tatizo ktk priorities zetu!!

Whether we like it or not, serikali na viongozi wake ndiyo hasa wanaotaka kulifanyia siasa jambo hili eti kwa kuzuia watu wengine tusiseme kuwa kuna tatizo somewhere!!
 
Yaani hadi leo eti bado wameendelea kukaa kwenye ofisi za umma wakijiita watumishi, sijui wanamtumikia nani hadi leo raisi anatoa agizo bado wako tu kimya. Wahukumiwe kuua hawa watu
 
Mwanza kuna polisi wanamaji, walikuwa wapi wakati chombo kinajaza kuliko uwezo wake. Ninja Lugola anapaswa kumwajibisha RPC au ajiuzulu.
 
Majonzi unayo wewe peke yako?mtaigiza Sana kulia na kujifanya mna majonzi lakini michango hatutoi,tutatoa directly kwa wahanga.
NYIE KWENU KAMA HAMNA MAJONZI , HAYO NI YAKWENU , HAYATUHUSU , TUTACHANGA
 
Kwani ndiye wliyekuwa anasubiliwa kupeleka mwanga ili zoezi la uokoaji liendelee?
 
Mmeambiwa msiba huu usitumike kisiasa na rais so tuomboleze kwanza kwa ajili ya ndugu zetu waliokufa kwenye msiba
 
Tanzania ina viongozi vichwa pumbu sana" kwa hiyo walipanda ndege na kwenda wao kama wao kwenye tukio pasipo kujiongeza kubeba vifaa " .... walikuwa wanataka kwenda kuwa shuhudia watu wanavyozama" sindio tunavyoweza kusema au ""?
 
Kaka kabla ya yote kulaumu emb angalia ishu ya kufungia Local channels kutoonyeshwa kataika hizi decoder za AZAM na DSTV.. imeathiri vip matangazo yao? na hapo naona ni figisu tu,,, ili TBC wapate tenda za kutangaza matangazo ya private broadcasters mie naona kama WAMESUSA tu

MTAZAMO binafsi
 
Eti nchi iko salama,

Makonda na jamaa zake wameruka juzi kwa waitara na kura feki wee!!

Kisa wao kwa akili zao chadema ndio inahatarisha uhai wa watanzania....

Kisingizio cha hovyo kabisa na mibunduki yao,

Amani gani watu 400 wanapanda meli ya kubeba watu 100?

Walikuwa wapi? Mbona taarifa za kuzuwia mikutano ya maalimu sefu huwa wanahabarika siku moja kabla nakuzuwia????????? Vipi wasitumie intelijensia hiyo hiyo kubaini hilo tatizo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…