😀😀😀 nipo karibu kukabithiwa viwanda vya chemicals on behalf.🤣🤣🤣 mkuuu umetisha sana
🙏🏾Na mimi nasema Asante kwa niaba ya Watz wote.
Hatuchangi. Hakuna rambirambiNiliowaona wako busy kuhusu wale wanafunzi wa Arusha hapa sijawaona pia, ubaguzi in
Nyimbo za kulisifu jiwe na kuliabudu!!Ndugu wanabodi:
Hivi sisi Watanzania nano katuloga? TBC na vyombo binafsi vimeshindwa kujiunga mubashara kwenye shughuli ya uopoaji maiti lakini hats kupiga nyimbo za maombolezo imeshindikana kweli?
Nimesema shughuli ya uopoaji kwa sababu serikali ingekuwa serious na maisha ya Watanzania wenzetu ingepeleka jenereta jana ili shughuli ya uokoaji iendelee Jana usiku.
Watanzania zaidi ya 126 ni msiba mkubwa wa taifa lakini radio na luninga ya taifa wameshindwa kujiunga mubashara hatua kwa hatua badala yake wanaendelea na mambo yao yasio na maslahi kwa Taifa.
Naamin kwa Wazungu habari ingekuwa ndio hiyo kuwa mubashara muda wote kwa kila kituo cha luninga na redio.Na wasingekubali kusitisha shughuli ya uokoaji eti kisa giza
Tumeshindwa kuthamini uhai wa wenzetu, kweli ngozi nyeusi ni wabinafsi haijapata kutokea
Mijitu yenye mtindio wa ubongo hayaachi kutoa "utumbo" kama lawama juu ya Mbowe au upinzani kutofika ukara. Hayana uwezo wa kufikiri nje ya boksi. Tutasikia mengi hata yasiyostahili kutoka vinywani mwa vichaa!Hoja ya kup.umbavu kabisa.
Jambo la muhimu ilikuwa kuzuia maafa.
Mbunge wa Ukerewa amelalamika sana Bungeni. Alieleza jinsi alivyohangaika na alivyoonana na viongozi mbalimbali wa serikali kuelezea hali ya hatari iliyokuwa ikiwanyemelea watumiaji wa kivuko cha Nyerere lakini serikali haikuwahi kufanya chochote.
Leo wakati watu wamekwishakufa ndiyo wanajikusanya kwenda kisiwa cha Ukara. Unafiki mkubwa! Msaidie mtu kulinda uhai wake na siyo kubeba jeneza lake
Serikali nzima ya CCM ikiongozwa na PM Majaliwa, CS Dr Kijazi, IGP Sirro. CDF Mabeho na kamati nzima ya ulinzi na usalama mkoani Mwanza na Mara wako Ukerewe kushirikiana na mbunge wa Chadema katika harakati za uokozi wa wapiga kura wake waliozama ziwani. Poleni sana sana Ukerewe!Huyo anayetoa matangazo ya Bender's nusu mlingoti huku anakula bata magogoni hujamuona?
Vipi Kuna watu walitegemea RAMBIRAMBI ?Njaa mbaya sana
Huyo mbunge ndio ameleta nuksi kwa maneno yakeMbunge alishapambana sn kivuko kingine kipatikane but CCM na serikali yao wakagoma kuwapatia wananchi.
Matusi ndio Sera mliyobaki nayo!.,,....mbege plus kisusio ni noma!Mijitu yenye mtindio wa ubongo hayaachi kutoa "utumbo" kama lawama juu ya Mbowe au upinzani kutofika ukara. Hayana uwezo wa kufikiri nje ya boksi. Tutasikia mengi hata yasiyostahili kutoka vinywani mwa vichaa!