Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Mlikopeleka akili zenu nyie watu Mungu ndo anajua, hivi kwelikuna binadamu anaweza kukaa ndani ya maji tokea saa nae mchana hadi usiku akawa hai? anapumua kwa matamvua? kivuko kimepinduka karibuna ufukweni ho watu waliokuwa wakitapata usiku kucha uliwaona pekeako? according to you ni hekima kurisk uhai wa walio hai (waokoaji)ili kurecover maiti?!!! upuuzi wa hali ya juu.
Una uhakika 100% hakuna alie hai kwenye hicho kivuko?
 
Ndo mlisubiri mazishi na rambirambi.
Mpaka siku kiongozi azame ziwani ndo mamlaka zitashtuka.
Kweli mnatuletea mambo ya mzaha Ndugu zetu wamepotea.
Hata orodha ya majina kama kwenye mabasi inajulikana leo kivuko hata kuandika majina kwa daftari ya shillingi 500 na kuiacha bandarini napo tunasubiri nchi marafiki /wahisani?
Miaka 22 iliyopita watu hawakujulika wengi kwenye ile meli na leo ni yale yale, tunajifunza kwenye kama Taifa? Kweli tupo serious?
SUMATRA hili sio jukumu lenu? Bandari mpo? Wizara ya uchukuzi je?
 
Kwani jinsi ilivyo binuka hivyo wakizamia kwa chini wanaona hao watu au ndo kipofu kupapasa nisaidien kwa hili nijue
 
Yani Tanzania tupo nyuma katika kila kitu.
Picha hiyo ya wanajeshi wakiokoa sio picha ya tukio la jana,lakini kwa upopoma na uvivu wa baadhi ya vyombo vyetu vya habari wameipakua mitandaoni na kuitumia kama ya jana.


Ukifuatilia Media za Kenya ndio utagundua ni jinsi gani Tanzania hakuna vyombo vya habari.
 
Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Issack Kamwelwe amesema uokoaji wa miili ya waliofariki dunia baada ya kuzama kwa kivuko cha MV Nyerere utakamilika leo Septemba 21, 2018 kabla ya saa 12 jioni.



Amesema hata majeneza kwa ajili ya mazishi ya waliofariki dunia yameshaandaliwa na yapo tayari.
Kamwelwe ametoa kauli hiyo leo mchana wakati akihojiwa na kituo cha Utangazaji cha Taifa (TBC), akiwa eneo la tukio Kisiwa cha Ukara wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza.



Soma Zaidi: VIDEO: Mbatia: Ajali ya MV Nyerere ni ya kujitakia
Amesema uwepo wa majeneza hayo unaashiria kuwa shughuli ya mazishi itafanyika kadri itakavyowezekana.
“Hapa leo hatulali maana nimekuja na timu nzima jeshi lipo hapa, polisi wapo hapa na masanduku pia,”amesema.



“Shughuli za mazishi zitafanywa kwa kufuata taratibu zote ikiwemo kuzingatia mila na desturi na kwa kuzingatia taratibu za kidini kwa vile viongozi wote wa dini wapo.”



Alipoulizwa kuhusu sababu za kuzama kwa kivuko hicho, Kamwelwe amesema hawezi kulielezea jambo hilo kwa maelezo kuwa jambo hilo litafahamika baadaye.
 
Itakamilika leo jion baada ya kuwapata wote au itakamilika kama jana
 
Ndo mlisubiri mazishi na rambirambi.
Mpaka siku kiongozi azame ziwani ndo mamlaka zitashtuka.
Kweli mnatuletea mambo ya mzaha Ndugu zetu wamepotea.
Hata orodha ya majina kama kwenye mabasi inajulikana leo kivuko hata kuandika majina kwa daftari ya shillingi 500 na kuiacha bandarini napo tunasubiri nchi marafiki /wahisani?
Miaka 22 iliyopita watu hawakujulika wengi kwenye ile meli na leo ni yale yale, tunajifunza kwenye kama Taifa? Kweli tupo serious?
SUMATRA hili sio jukumu lenu? Bandari mpo? Wizara ya uchukuzi je?
Jinga kuu wewe walahi!
 
Chadema wengi ni mambumbu, hajui kuwa mambo kama haya ndio huwa yanawapa credit ccm!

Wao wanafiki kupata credit kwa wananchi ni kuitisha mikutano au maandamano na kuanza kubwata hili na lile!

Majanga kama haya yanapotokea wananchi wanaona nani kaja kuwa pamoja nao! Sasa wewe endelea kuita ni ujinga.
Mh sasa Jana kama hawakuokoa leo wanaokoa nini?
 
Baada ya maafa ndo wapo care..mbunge alitahadharisha hiki kitu mapema tu...#bastard..#we are the co-author of our own misfortune
Nyinyi mijitu ya chadrama kweli mnapenda drama tu walahi!
Pathetic DNA walahi
 
Back
Top Bottom