Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

20:00 - NAHODHA WA KIVUKO ANASHIKILIWA KWA UCHUNGUZI
Nahodha wa MV Nyerere anashikiliwa na vyombo vya ulinzi kwa kosa la kumuachia mtu asiye na uwezo(Deiwaka) kuendesha kivuko na yeye kutosafiri.
hapa mnamanisha nini?kulikuwa na manahodha wangapi?
 
0820HRS: Nahodha na Mkuu wa Kivuko cha MV Nyerere ni miongoni mwa watu waliofariki

Nahodha na Mkuu wa Kivuko cha MV Nyerere kilichozama juzi kikiwa safarini kutoka kisiwa cha Bugorora kwenda Ukara wilayani Ukerewe, Mwanza, ni miongoni mwa watu waliofariki dunia katika ajali hiyo.
na hawa walikuwa manahodha wa wapi?
 
Ila hawa wajinga wabishi sana.
Wezi wa tisa huu magufuli aliwaongelea sana alipoenda kuzindua ujenzi wa meli. Akasema anajua pesa inavyopigwa akwaambia waanze kutumia electronic tickets.

Ingekuwa mm ndio rais ningenyonga wote hawa wahusika.
 
296D2CA4-A6B8-4090-BD01-99B347CB3777.jpeg
8066F8CF-EE6A-40AF-A490-DA9E934D2F4E.jpeg
 
Just imagine capacity yake ilikuwa watu mia, ina maana kila wakati walikuwa wakiwasilisha mauzo ya 100 lkn wanabeba zaidi ya abiria 300, hii excess ilikuwa inawakilishwa kwa nani? je, mizogo excess ilikuwa inawakilishwa kwa nani? tunapofanya uchunguzi wa hili jambo turudi juma kuuliza walianza kubeba hii excess tangu muda gani na walikuwa wanaiwakilisha kwa nani? iundwe tume kuchunguza kwanza hizi pesa zilikuwa zinaenda kwa nani, na hao watu wakamatwe na wafilisiwe. Mods msiunganishe huu uzi, tuanzie hapa kwa uchunguzi ili wale samaki wakubwa wapatikane.

Mv Nyerere imekuwa ikibakwa sana sasa imechoka! Imeonewa sana kwa mudu mrefu mon…hao waliokuwa wakiendesha wawajibishwe!
 
Just imagine capacity yake ilikuwa watu mia, ina maana kila wakati walikuwa wakiwasilisha mauzo ya 100 lkn wanabeba zaidi ya abiria 300, hii excess ilikuwa inawakilishwa kwa nani? je, mizogo excess ilikuwa inawakilishwa kwa nani? tunapofanya uchunguzi wa hili jambo turudi juma kuuliza walianza kubeba hii excess tangu muda gani na walikuwa wanaiwakilisha kwa nani? iundwe tume kuchunguza kwanza hizi pesa zilikuwa zinaenda kwa nani, na hao watu wakamatwe na wafilisiwe. Mods msiunganishe huu uzi, tuanzie hapa kwa uchunguzi ili wale samaki wakubwa wapatikane.
kama magufuli anavyopiga hela zetu za kodi??!!!
 
Back
Top Bottom