Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Wakati Mungu anamuamrisha Nabii Nuhu ajenge boti kubwa lenye uwezo wa kubeeba viumbe na baadhii ya binadamu nadhani nuhu mwenyewe alijua mawazo ya munguni huwa hayana makosa,na kweli safari ilikuwa salama salimini.
Sasa ngoja uyasikie ya SUMATRA hawa jamaa walipopewa mamlaka ya kudhibiti chombo hicho chicho ndio unasikia vilio kila teo ni kwa nini chombo kilichopendekezwa kubeba kizazi cha watu wema ambacho katika maoni yangu ndio chombo salama muliko vyote SUMATRA wazembee kiasi hicho.
Kama SUMATRA wangelipewa jukumu la SAFINA si wangemgomea NUHU kwamba "Mzee hapandi mnyama yoyote hapa tunaijaza hii boti na mapipa ya mvinyo kwanza halafu ndio hivyo vinyama vya mwitu vitakuja juu yake"
View attachment 875233
SUMATRA WANGEPEWA KAZI YA KUISIMAMIA SAFINA MAMBO YANGEKUWA HIVI.
Kwikwikwiiiiiiiii!!!!Hiiiiiiii Wajameeeni nimechekaga sana!!!!
Sasa mm naulizaga hivi....ina maana Nuhu wa sasa ni Magufuli na Safina ni MV Nyerere au?Hiihiii wajameni alakini naokopaga Yale Majitu yasiyojulikanaga kwa sasa!!!!!!