Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,039
- 7,465
Kumbe bila CHADEMA hamuwezi kuzika watu kwa heshima? Tafuteni na nyie mbwa wenu mkamzike kwa heshima.Misiba ya kaskazini wanavyoivalia njuga Chadema lazima iwe ya kichama.Angalia msiba ule wa watoto ambao basi lilitumbukia mtoni Na wa ndesamburo Chadema walikuwa kutwa wako msitari wa mbele .Mbwa wa Nassari aliyepigwa risasi alizikwa kwa heshima zote za Chama wabunge wa Chadema Na viongozi wa Chama walihudhuria msiba ule.Mbwa wa Nassari mbunge wa Arumeru iliyo mikoa ya kaskazini ana heshima na hadhi kwao kuliko hao wakerewe waliokufa na kivuko sababu huyo mbwa ni wa kaskazini wakati hao wakerewe waliokufa Kwenye kivuko si wa kaskazini
Endelezeni ukanda na maneno ya kipuuzi, watu tunachapa kazi kupata chapaa. Mnatamani Mbowe aende kwenye mazishi ili iweze, Chadma ipate points? Tumewaachia Chama Cha Mazishi mjinyakulie points kwasababu hamna jingine jipya.