Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Ukara, Ukerewe: Kivuko cha MV Nyerere chazama, miili 229 ya waliopoteza maisha imeshaopolewa!

Misiba ya kaskazini wanavyoivalia njuga Chadema lazima iwe ya kichama.Angalia msiba ule wa watoto ambao basi lilitumbukia mtoni Na wa ndesamburo Chadema walikuwa kutwa wako msitari wa mbele .Mbwa wa Nassari aliyepigwa risasi alizikwa kwa heshima zote za Chama wabunge wa Chadema Na viongozi wa Chama walihudhuria msiba ule.Mbwa wa Nassari mbunge wa Arumeru iliyo mikoa ya kaskazini ana heshima na hadhi kwao kuliko hao wakerewe waliokufa na kivuko sababu huyo mbwa ni wa kaskazini wakati hao wakerewe waliokufa Kwenye kivuko si wa kaskazini
Kumbe bila CHADEMA hamuwezi kuzika watu kwa heshima? Tafuteni na nyie mbwa wenu mkamzike kwa heshima.

Endelezeni ukanda na maneno ya kipuuzi, watu tunachapa kazi kupata chapaa. Mnatamani Mbowe aende kwenye mazishi ili iweze, Chadma ipate points? Tumewaachia Chama Cha Mazishi mjinyakulie points kwasababu hamna jingine jipya.
 
Kwa hiyo CDM wameogopa kwenda kwa sababu ya kudhalilishwa? Ila kwenye misafara ya Magufuli ya mwezi mmoja uliopita walikuwa wanashiriki? Tusitetee ujinga hapa, msiba upo nyumbani kwenu unaogopa kwenda na wengine wanatoa maneno ya kejeli kabisa.

Ni hivi tuwe wa kweli tu, kila mtu asiyeangalia kiitikadi kuna mwenendo wa kijinga umeingia kwenye nchi yetu toka awamu hii imeingia madarakani. Haya matukio yamekuwa yakitumika kudhalilisha viongozi wa cdm tena yakiongozwa na rais. Hakuna haja ya viongozi wa cdm kwenda sehemu ambayo madaraka yatatumika vibaya kuwadhalilisha. Tumeona hata kwenye hizo ziara za Magufuli viongozi wa cdm wakidhalilishwa, usidhani hatujaona, tumeona na post zimo humuhumu ndani na television wote tumeona huo udhalilishaji. Nawashauri viongoz wa cdm wawaachie ccm wabebe sifa za bei rahisi mbele ya hizo camera, kisha baada ya msiba waende kutoa pole ya kweli ya kibinadamu. Hao viongozi wa cdm wamechoka na hii tabia inayoratibiwa na rais wa nchi kuwadhalilisha. Ni bora kuonyesha kwamba hakuna mshikamano kuliko kuonyesha mshikamano na wanafiki. Kama unakubalika unakubalika tu, huhitaji kujikweza.
 
Naomba nitoe ushauri kwa mitandao ya simu yote hasa ilie mitandao uliyokuwa inatumiwa na marehemu kutumia data za serikali baada ya kjtambua wote walio kufa kwenye ajari ya MV nyerere hasa walio kuwa na mihamara ya pesa kwenye simu zao watumie busara zaidi kuzirejesha pesa kwa ndugu wa marehemu hasa kipindi hiki kigumu kwa familia.

Pia itaonesha kujali na kupunguza makali ya msiba
 
Lakini tusilaumu sana, pamoja na mapungufu yaliyokuwepo, waokoaji wamejitahidi sana, bila kushuhudia mazingira ya kazi huwezi ku feel ugumu wa kazi ukizingatia mazingira ya kazi yalivyokuwa magumu, tujifunze kushukuru hata kwa kidogo kinachowezekana na kuchukulia mapungufu kama changamoto za kufanyia kazi mbele ya safari.

Mungu awabariki waokoaji
Kwa taarifa yako...hao 40 wameokolewa na wenyeji wa pale wakati Serikali ya mkoa ikijifikiria kuitisha kikao cha usalama.
 
Idadi hiyo ni kubwa sana kwa taifa letu. Hivyo ni matarajio yangu kuwa hill si suala LA kutuma uwakilishi Bali viongozi wote wa kitaifa wa vyama vya siasa,madhehebu ya dini na taasisi binafsi wakiongozwa na Rais wa JMT walipaswa kuhudhuria.


Haya mambo yanataka ukomavu kimtazamo kwanza
 
Kuna statement ya PM imenishtua kidogo aliposema "mnara utakaojengwa uandikwe majina ya wafiwa wote"
 
Kwa taarifa yako...hao 40 wameokolewa na wenyeji wa pale wakati Serikali ya mkoa ikijifikiria kuitisha kikao cha usalama.
Ingekuwa kura ndio ungeona kila aina ya mabomu na magari ya deraya na mawashwasha.
 
Ni hivi tuwe wa kweli tu, kila mtu asiyeangalia kiitikadi kuna mwenendo wa kijinga umeingia kwenye nchi yetu toka awamu hii imeingia madarakani. Haya matukio yamekuwa yakitumika kudhalilisha viongozi wa cdm tena yakiongozwa na rais. Hakuna haja ya viongozi wa cdm kwenda sehemu ambayo madaraka yatatumika vibaya kuwadhalilisha. Tumeona hata kwenye hizo ziara za Magufuli viongozi wa cdm wakidhalilishwa, usidhani hatujaona, tumeona na post zimo humuhumu ndani na television wote tumeona huo udhalilishaji. Nawashauri viongoz wa cdm wawaachie ccm wabebe sifa za bei rahisi mbele ya hizo camera, kisha baada ya msiba waende kutoa pole ya kweli ya kibinadamu. Hao viongozi wa cdm wamechoka na hii tabia inayoratibiwa na rais wa nchi kuwadhalilisha. Ni bora kuonyesha kwamba hakuna mshikamano kuliko kuonyesha mshikamano na wanafiki. Kama unakubalika unakubalika tu, huhitaji kujikweza.
Mkija sasa hivi tunawafukuza na marungu kabisa na akili zetu za kinyama!
 
Ni hivi tuwe wa kweli tu, kila mtu asiyeangalia kiitikadi kuna mwenendo wa kijinga umeingia kwenye nchi yetu toka awamu hii imeingia madarakani. Haya matukio yamekuwa yakitumika kudhalilisha viongozi wa cdm tena yakiongozwa na rais. Hakuna haja ya viongozi wa cdm kwenda sehemu ambayo madaraka yatatumika vibaya kuwadhalilisha. Tumeona hata kwenye hizo ziara za Magufuli viongozi wa cdm wakidhalilishwa, usidhani hatujaona, tumeona na post zimo humuhumu ndani na television wote tumeona huo udhalilishaji. Nawashauri viongoz wa cdm wawaachie ccm wabebe sifa za bei rahisi mbele ya hizo camera, kisha baada ya msiba waende kutoa pole ya kweli ya kibinadamu. Hao viongozi wa cdm wamechoka na hii tabia inayoratibiwa na rais wa nchi kuwadhalilisha. Ni bora kuonyesha kwamba hakuna mshikamano kuliko kuonyesha mshikamano na wanafiki. Kama unakubalika unakubalika tu, huhitaji kujikweza.

tindo Acha kutetea huu ujinga, huwezi kukataa kwenda kuwafariji ndugu au jamaa zako sababu ya kuogopa kudhalilishwa. Maadui wanapatana kwenye misiba, ndugu misiba ndio inawakutanisha. Je umeona Mbunge wa CDM wa Ukerewe akidhalilishwa?

CDM wapo radhi kushiriki mikutano ya Magufuli ya majimboni kwao ila sio msiba, kweli ?
 
Hapa Kazi Tu.

Mmetaka Kazi. Mnapewa Kazi. Mnalia lia?

Wacha wanyooke tu...
Sasa hela ya kusafirisha maiti huna afu unamshabikia kichaa!

Wakinyooka kwenye hui msiba 2020 watafanya maamuzi sahihi!

Tuendelee kuunga mkono jitihafa za kichaa!
 
Kwa taarifa yako...hao 40 wameokolewa na wenyeji wa pale wakati Serikali ya mkoa ikijifikiria kuitisha kikao cha usalama.


Serikali ilaumiwe kqa makosa yake lakini tusiache kuweka mstari wa kuwatia moyo wazamiaji kwakuwa kama kuna mapungufu yawezekana yalisababishwa na udhaifu wa wenye mamlaka
 
tatizo lenu.
Mlikwenda kulala.mkaawacha wenzenu wakiteseka na maji.
msiba ungekuwa mdogo huu.
Je wewe mleta Uzi.umekwenda kuzika?
msiba wa kujitakia.HAUNA KILIO WALA MATANGA.
Leo ndo mnawaona marehemu wana thamani.wakati walipokuwa wanajazana kwenye kipantoni kile mlikuwa mnawaangalia tu.
 
Back
Top Bottom