Mangisandy
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 2,652
- 2,273
Nawashangaa!!! Angalau John Stones (wa Man City!!!) hawakumchagua kwa hivyo asipowazika tutamuelewa!!Hawa bado wana ile Sera ya majimbo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawashangaa!!! Angalau John Stones (wa Man City!!!) hawakumchagua kwa hivyo asipowazika tutamuelewa!!Hawa bado wana ile Sera ya majimbo?
Nakuonea Sana huruma, unataka Kusema katika watu 209 waliopoteza Maisha hakukuwa na mwanaccm? Jamani hizi siasa nyepesi mnazofanya awamu hii zitatuharibia nchiMisiba ya kaskazini wanavyoivalia njuga Chadema lazima iwe ya kichama.Angalia msiba ule wa watoto ambao basi lilitumbukia mtoni Na wa ndesamburo Chadema walikuwa kutwa wako msitari wa mbele .Mbwa wa Nassari aliyepigwa risasi alizikwa kwa heshima zote za Chama wabunge wa Chadema Na viongozi wa Chama walihudhuria msiba ule.Mbwa wa Nassari mbunge wa Arumeru iliyo mikoa ya kaskazini ana heshima na hadhi kwao kuliko hao wakerewe waliokufa na kivuko sababu huyo mbwa ni wa kaskazini wakati hao wakerewe waliokufa Kwenye kivuko si wa kaskazini
Lile ni jimbo la Chadema toka 2010, na ni ngome yao kuu kanda ya Ziwa, hawa viongozi waliokufa maji leo ndio waliowezesha Chadema kuongoza jimbo kwa awamu Mbili, kifupi jimbo zima la Ukerewe ni Chadema.
Naomba Chadema kitoe sababu za msingi kwa nini hakijashiriki mazishi ya viongizi wake.....au mnawathamini nyakati za uchaguzi tu...
===========================
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Ukerewe kimepata pigo baada ya viongozi wake kufariki dunia katika ajali hiyo.
Katibu wa Chadema wilayani humo, Deodatus Makalanga alisema viongozi waliopoteza maisha ni wa ngazi ya shina, vitongoji, vijiji na kata.
“Viongozi hawa wanatoka katika kata nne za Bwisya, Nyamanga, Bukiko zinazounda tarafa ya Ukara,” alisema Makalanga.
Tarafa ya Ukara ni kati ya ngome muhimu za Chadema wilayani Ukerewe. Chama hicho kinaongoza kata tatu kati ya nne zinazounda tarafa hiyo tangu 2015.
Jimbo la Ukerewe pia linaongozwa na Chadema tangu uchaguzi Mkuu wa mwaka 2010.
Chanzo Mwananchi.
Matajiri tena? si ndio maadui wa baba yangu!Nawaomba sana wakuu wangu kwa heshima na taadhima , Michango yenu bado ni muhimu mno , toeni kusaidia wahanga pamoja na familia za marehemu na Mungu atawalipa , natambua changamoto zilizotokea kwenye michango ya Tetemeko la Kagera lakini n vema tukakubali kwamba YALIYOPITA SI NDWELE , tuendelee kuiamini serikali .
Natanguliza shukrani .
Ndio mbunge na mwenyekiti wa council walipewa fursa ya kuzungumza!Mbunge alipewa hata nafasi ya kuongea?
Machadema yataficha wapi nyuso zao?Nyie ndo mmepata aibu.
Ajali imetokea mchana.
Ilipofika usiku mkaacha kuokoa watu mkaenda kulala.
JE ILE AJALI INGETOKEA USIKU INGEKUWAJE?
Jukumu namba moja lipo kwa rais, ukiacha habari ya siasa zenu nyepesi wale ni watanzania,rais alitakiwa kwenda huko maana yeye ndiye mfariji namba moja katika Taiga, siasa zenu nyepesi ndo zinapelekea ninyi kuhoji ujinga wenu huuSasa kwa nini wana Ukerewe wanakejeliwa na wana CDM, hata huu uzi kuna kila aina ya kejeli kutoka kwa nyumbxxx wa CDM kwenda kwa wana Ukerewe. Wengine wamefikia kusema acha wafu wazikane, wengine wana kejeli waliowaua ndio wawazike wengine hata kuona CDM haina jukumu la kufariji wana Ukerewe. Hizi dharau na kejeli zitawarudia tu, tutakumbushana hapa 2020.
Kumbe CHADEMA wamekula pesa ya kununua tochi za kumulikia waokoaji usikuPesa yote wamekula chadrama we acha tu walahi
Umeshupaa shingo utafikiri ni mpiga kura kweli. Nani aombe kura kwa ma.ng'aa kama wewe? Wacha kutokwa povu wewe na hilo YEHODAYA . JF wanawajua kwa fitna.Kuuliza ushiriki wa CDM ni upumbavu? Kuuliza kwa nini CDM wanatoa maneno ya kejeli na uzushi ni upumbavu? Jimbo lipo chini ya CDM tena tangu 2010 kuzidi majimbo mengi tu ya Arusha na Moshi ila mmewadharau sana wana Ukerewe. 2020 CDM yyte akiniomba kura nitamtemea mate kuonyesha dharau yangu kwake pia.
Wengine hatupendi kwenda kwenye ubaguzi na ukanda lakini kwa hali hii inatufanya tufike huko.
Hiki chama kimeishiwa pumzi!Kwa kauli hizi tunaomba msisogeze pua zenu huku 2020, tutawachanja mapanga. Kama Ukerewe hawana umuhimu kwenu kwenye dhiki kwenye faraja msisogeze mapua yenu 2020.
Binadamu hamna jema hata siku moja CHADEMA wasipoenda mnalalamika,wakienda mnasema wanatumia msiba kutafuta kiki za kisiasa.
Kiongozi Mkuu wa Nchi Mh.Magufuli anafahamu hili?Mazishi yalishafanyika rambi rambi Na kuwa karibu Na wafiwa zoezi hilo huwa la maana Na kuthaminiwa hutakiwa kufanyika kabla ya Mazishi
kumbe bajeti imekwishapangwa tayari ?Tatizo pesa haiendi kwa watu moja kwa moja kwanini kila mtu asiwekewe kwenye account zao za wafiwa badala ya kujenga minara