CCM wanadhani nchi ikiwaka moto wao watakuwa salama kitu ambacho si kweli tuwe wazalendo Tuipende Tanzania,CCM siyo chama cha siasa tena bali ni genge la wahuni
Tangu lini genge la wahuni likawa na weledi na busara zaidi ya uhuni tu ??
hongera nyingi kwaoMtu mmoja ameuawa asubuhi hii na wengine wawili kufanikiwa kutoroka baada ya kujaribu kumteka mgombea udiwani wa kata ya Bwisha Ukara kwa tiketi ya CHADEMA.
Inadaiwa watu hao wamezingirwa baada ya mgombea huyo kupiga ukunga na ndipo walipozingirwa na kushushiwa kipigo ambapo mmoja ameuawa huku wawili wakifanikiwa kutoroka.
Hilo ni tukio la kwanza la mauaji yanayohusishwa na mambo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambapo kunatabiriwa kuwepo kwa visa vingi vya vurugu kutokana na sintofahamu ambazo zimeanza kujitokeza.
Habari hii imethibitishwa na Katibu wa kanda ya Victoria- CHADEMA ndugu Zacharia T. Obad
Nipande za mwanza mkuu wilaya ukeleweDah! Ukara ni wapi huko ambako hawataki masihara?
Hata train ya kwanza ya mkoloni kufika Kigoma watu walifurika kuitazama na kuwashangilia wazungu. Kwa hiyo yaliyotokea jana Arusha siyo tukio geni.Yaani hii ni ishara kuwa CCM ni mbovu hakuna mfano na ukiona MTU anaiunga mkono lazima ana matatizo kichwani.
Angalia jinsi wanavyo hangaika kujitangaza! Hata treni kuanza CCM yote inaambatana na mitelevision kila kona utadhani hicho ni kitu cha ajabu !
It is a pity!Mtu mmoja ameuawa asubuhi hii na wengine wawili kufanikiwa kutoroka baada ya kujaribu kumteka mgombea udiwani wa kata ya Bwisha Ukara kwa tiketi ya CHADEMA.
Inadaiwa watu hao wamezingirwa baada ya mgombea huyo kupiga ukunga na ndipo walipozingirwa na kushushiwa kipigo ambapo mmoja ameuawa huku wawili wakifanikiwa kutoroka.
Hilo ni tukio la kwanza la mauaji yanayohusishwa na mambo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambapo kunatabiriwa kuwepo kwa visa vingi vya vurugu kutokana na sintofahamu ambazo zimeanza kujitokeza.
Habari hii imethibitishwa na Katibu wa kanda ya Victoria- CHADEMA ndugu Zacharia T. Obad
Mtu mmoja ameuawa asubuhi hii na wengine wawili kufanikiwa kutoroka baada ya kujaribu kumteka mgombea udiwani wa kata ya Bwisha Ukara kwa tiketi ya CHADEMA.
Inadaiwa watu hao wamezingirwa baada ya mgombea huyo kupiga ukunga na ndipo walipozingirwa na kushushiwa kipigo ambapo mmoja ameuawa huku wawili wakifanikiwa kutoroka.
Hilo ni tukio la kwanza la mauaji yanayohusishwa na mambo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambapo kunatabiriwa kuwepo kwa visa vingi vya vurugu kutokana na sintofahamu ambazo zimeanza kujitokeza.
Habari hii imethibitishwa na Katibu wa kanda ya Victoria- CHADEMA ndugu Zacharia T. Obad
Mtu mmoja ameuawa asubuhi hii na wengine wawili kufanikiwa kutoroka baada ya kujaribu kumteka mgombea udiwani wa kata ya Bwisha Ukara kwa tiketi ya CHADEMA.
Inadaiwa watu hao wamezingirwa baada ya mgombea huyo kupiga ukunga na ndipo walipozingirwa na kushushiwa kipigo ambapo mmoja ameuawa huku wawili wakifanikiwa kutoroka.
Hilo ni tukio la kwanza la mauaji yanayohusishwa na mambo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 ambapo kunatabiriwa kuwepo kwa visa vingi vya vurugu kutokana na sintofahamu ambazo zimeanza kujitokeza.
Habari hii imethibitishwa na Katibu wa kanda ya Victoria- CHADEMA ndugu Zacharia T. Obad
CCM wameshapoteza hata chembe ya utu, sababu kubwa ni kwamba hawawatumikii tena wananchi bali wamebakiza jambo moja la kubaki madarakani haijalishi wanafanya nini madarakani.CCM wanadhani nchi ikiwaka moto wao watakuwa salama kitu ambacho si kweli tuwe wazalendo Tuipende Tanzania,
TANZANIA NI YETU SOTE TUWE WAZALENDO NYUMBA IKIUNGUA HAKUNA ALIYE SALAMA