Uchaguzi 2020 Ukara: Wananchi wamuua mtu aliyetaka kumteka mgombea udiwani wa kata ya Bwisya kwa tiketi ya CHADEMA

Uchaguzi 2020 Ukara: Wananchi wamuua mtu aliyetaka kumteka mgombea udiwani wa kata ya Bwisya kwa tiketi ya CHADEMA

Mkuu Kiukweli ni mjinga tu ndio ataamini kuwa haya matukio yanaratibiwa na ccm, yaani wafanye huu utekaji na uuaji kwa makusudi kabisa huku wakijua kabisa lawama zitatupwa kwao na kuwapaka matope tena kwenye kipindi hiki cha uchaguzi?
Basi kama ni hivo watakuwa wapumbavu kweli kweli.
Mpwa, Mpwa, Mpwa ngoja nikae kimya tu! Niko JF miaka mingi kuna tarifa nyingi sana zimewahi kuwekwa hapa with vivid evidence lakini tuishie hapa
 
Hii roho mbaya ya kutekana inaonekana kushamiri. Kama waliweza kumthibiti wasingemua ili tujue ni akina nani waliowatuma.....
Kinachotafutwa ndicho hicho ili "watu" wakamatwe kwa makosa ya jinai kama mauaji nk pindi watakapojihami dhidi ya watesi wao.
Khofu itatamalaki, upedo na kuaminiana baina ya watanzania KWAHERI!
 
Mkuu Kiukweli ni mjinga tu ndio ataamini kuwa haya matukio yanaratibiwa na ccm, yaani wafanye huu utekaji na uuaji kwa makusudi kabisa huku wakijua kabisa lawama zitatupwa kwao na kuwapaka matope tena kwenye kipindi hiki cha uchaguzi?
Basi kama ni hivo watakuwa wapumbavu kweli kweli.
Wale wa Hai - Kilimanjaro waliorusha mawe ni chama gani?

Hapa ndio upate majibu kuwa CCM inahusika katika haya matukio na ndio wanaratibu 100%
 
Mkuu Kiukweli ni mjinga tu ndio ataamini kuwa haya matukio yanaratibiwa na ccm, yaani wafanye huu utekaji na uuaji kwa makusudi kabisa huku wakijua kabisa lawama zitatupwa kwao na kuwapaka matope tena kwenye kipindi hiki cha uchaguzi?
Basi kama ni hivo watakuwa wapumbavu kweli kweli.
Kwahiyo yanafanywa na nani ?
 
Mpwa, Mpwa, Mpwa ngoja nikae kimya tu! Niko JF miaka mingi kuna tarifa nyingi sana zimewahi kuwekwa hapa with vivid evidence lakini tuishie hapa
Sawa mkuu, lakini nikuachie swali wakati kule kibiti wanaccm walivyokuwa wakiuawa kila kukicha vipi ni CHADEMA wale ndio walikuwa wakifanya yale mauaji? Ulisikia tuhuma zozote kutupiwa CHADEMA kuwa ndio wahusika? Na ingekuwaje Kama wale waliokuwa wanauawa wangekuwa Wana CHADEMA hali ingekuwaje tuhuma angetupiwa nani?
 
Popote inapomwagika damu jua dhuruma ilianza kwa baadhi kujiona Wana haki kuliko wengine.

Sisi ni binadamu kama wa Somalia, Mali,Congo ama Sudani.

Hivyo yanayotoke huko hata hapa yanaweza kutokea.

Mheshimiwa Raisi Magufuli huu ndio ulikuwa muda wa kuwaunganisha Watanzania kwa vitendo.

Sababu Jicho linalotuangalia huko nje sio la kheri, Wanasubiri tusambaratike wapite katikati.

Mungu iepushe Tanzania na hili pepo linalotunyemelea.
Na serikali ya ccm na wanachama wake sasa wameshafikia hiyo hali sasa wao wanajiona ni watu zaidi kuliko wengine.

Pia wao wameshafikia hatua ya kujiona ni first class citizens na wanahaki ya kufanya chochote kwa wengine bila kuguswa.

Nchi iko kwenye mtanziko wa uongozi, hatuna viongozi wenye utu tena.
 
Dah jamani wengine tufanye kazi za kawaida tu siasa gani hizi za kuuana ni kwa sababu ya ukereketwa wa kwenda kutumikia watu au kuna sababu nyingine ambazo swala la kuchaguliwa ni kufa na kupona kwa baaadhi ya watu.
 
Sawa mkuu, lakini nikuachie swali wakati kule kibiti wanaccm walivyokuwa wakiuawa kila kukicha vipi ni CHADEMA wale ndio walikuwa wakifanya yale mauaji? Ulisikia tuhuma zozote kutupiwa CHADEMA kuwa ndio wahusika? Na ingekuwaje Kama wale waliokuwa wanauawa wangekuwa Wana CHADEMA hali ingekuwaje tuhuma angetupiwa nani?
Mauwaji ya MKIRU yalikua ya tofauti sana sana na ndio maana jeshi liliingilia kati, huenda ilikua ni zaidi ya yale tuliyokua yunayajua, all in all tupendane na kuheshimiana maana chaguzi zitapita ila maisha yatakuepo
 
Back
Top Bottom