Hahah same here...Madogo walinicheka sanaMuhuni alikonda akaisha alikuja kuwa sawa baada ya kama miezi minne.
Videm vya kibongo bana, vikishagonga mwamba ndio vinajirudisha uso chini vikiomba ridhaa upya. Piga chiniii!!!!Sikutaka hata shobo za ziada. Nilisepa tu.
Hahah same here...Madogo walinicheka sana
Aniulize mmhivi we unajua stress za long distance relationship wewe[emoji853]
umueleze kinagaubagaAniulize mm
Ila usije kumtrack mpenzi wako tena utakufa kwa pressure.hahahahah hatari babu
Unamtrack mtu ili ujue ni mkweli kiasi gani kwako, ukishagundua ni mnafiki basi wala huna haja ya kum track tena.Ila usije kumtrack mpenzi wako tena utakufa kwa pressure.