Ukaribu unaua hisia (Mapenzi ya mbali yananoga)

Ukaribu unaua hisia (Mapenzi ya mbali yananoga)

Mkuu acha tu. Natamanigi sana kuandika thread kuhusu love life yangu, ila naishiaga kufuta kutokana na hisia ninazopata. Mwanaume kama huna hela kazi ya kumlinda mpenzi wako muachie Mungu. Alaf kama upo mbali nae, acha kujifanya unapiga piga simu kila muda, maana unamsumbua mpenzi wa watu.

Qmamake mapenzi sometimes ni nyoko.
Pole sana
 
Kwahyo mkuu mlibreak up na huyo manzi?
Kuna mwanamke alikuwa ananifanyia hivyo, mapenzi ya kibongo bana. Nikawa nampigia after 10 mins unakuta namba iko busy, ile feeling dah! My first heartbreak was severe 🤕
 
Ni nzuri kukwepa maneno ila unajua long distance huchangia 80% ya mahusiano kufa. Kuna msemo flani ambao huwa una reflect ukweli..."Kadri Umbali machoni unavyoongezeka na umbali moyoni unaongezeka"

Key ni mawasiliano mazuri ila kama pia hapo patakuwa panasua sua ujue mambo yataharibika soon. Kiuhalisia sio kwamba mpenzi wako hashiki simu ila tu priority inakuwa sio wewe maana ukipeleleza utagundua kuna mtu ametumia good morning texts. Kuna kipindi nili track simu nikawa naona mume mwenzangu akitumiwa picha na kupigiwa simu lunch, usiku tena mida ya saa 3 hapo.

Ikifika saa 4 mie napigiwa simu brief ya kuagwa kuwa amechoka anataka kupumzika. Aisee mapenzi ya kibongo kumanyoko.Ila nashukuru the pains taught me to be tough!

Kitu sikuwahi fanya ni kufuatilia mawasiliano mpaka ifikie hatua ya kuhack. Kuna jamaa yangu alihack sim ya mpenz wake kilichofuatia alikua anashinda tu ndani mambo hayaendi kutwa kucha anafatilia mawasiliano na mbaya zaidi 75% alikuwa anasemwa yeye vibaya na kuhudumia alikua anahudumia sana.
 
Broz, yani hayo yote nimepitia kwa uchungu sana. Hadi nikaamua kuwa na attitude ya kibaharia.

Sahizi naweza nikachuna full day long simpigii manzi simu. IDC at all bro! Akijiskia kunitafuta atanitafuta najitahidi kuwa busy na mambo yangu tu. Ile hali ya kujiliza liza kwa wanawake nimeiacha sijui ndo kuwa sugu au kukua ila najua kila mtu anawajibu wa kumtafuta mwenzie.

Kama mtu ataamka asubuhi apige mswaki bila kukosa sidhani kama kuna ugumu wa kupiga au kutuma good morning text kwa mtu unayemthamini. Nakupigia leo na kesho then keshokutwa nauchuna. Wanawake can be crazy. Hamna kitu nakithamini kama mawasiliano maana moyo wa mapenzi uko hapo kila mtu lazima awe active.
Pole sana, mwanamke huwa anapenda vitu asivyovielewa, akikuzoea sana anakuona wa kawaida hata kama anakupenda, usiwe soft ever. Timiza majukumu kama mwanaume akizingua usilie wala usimuombe ila mwambie, asipo elewa lala mbele. Mimi bado ni old school nataka heshima na uaminifu visipokuwepo naendelea na mambo mengine.
 
Ni nzuri kukwepa maneno ila unajua long distance huchangia 80% ya mahusiano kufa. Kuna msemo flani ambao huwa una reflect ukweli..."Kadri Umbali machoni unavyoongezeka na umbali moyoni unaongezeka"

Key ni mawasiliano mazuri ila kama pia hapo patakuwa panasua sua ujue mambo yataharibika soon. Kiuhalisia sio kwamba mpenzi wako hashiki simu ila tu priority inakuwa sio wewe maana ukipeleleza utagundua kuna mtu ametumia good morning texts. Kuna kipindi nili track simu nikawa naona mume mwenzangu akitumiwa picha na kupigiwa simu lunch, usiku tena mida ya saa 3 hapo.

Ikifika saa 4 mie napigiwa simu brief ya kuagwa kuwa amechoka anataka kupumzika. Aisee mapenzi ya kibongo kumanyoko.Ila nashukuru the pains taught me to be tough!
I can imagine
 
Ukishaona mkizinguana kidogo marafiki wanahisika sana basi jua hao ndio wanaojenga au kubomoa mahusiano yako. Sometimes unaweza kosea kidogo lakini kwa influence ya marafiki ukaonekana hufai tena umekosa pakubwa mno ndio maana me sipendi kabisa kuwa na ukaribu na marafiki wa mpenzi wangu watanichora tu maana hao huwa wanajua kila kinachoendelea kwa rafiki yao japo sio wote.
Na ukiona mwanamke anafata na kutegema mawazo ya rafiki zake, jua fika hamna mtu hapo kuna kenge tu, unajua lazima mtu ukomae ujue nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi. Mtu asiyeweza kutumia akili zako unakuwa nae wa nini.
 
Na ukiona mwanamke anafata na kutegema mawazo ya rafiki zake, jua fika hamna mtu hapo kuna kenge tu, unajua lazima mtu ukomae ujue nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi. Mtu asiyeweza kutumia akili zako unakuwa nae wa nini.

Hakuna haja ya kuwa nae maana maamuzi hufanya na kamati kuu ya marafiki badala ya kufanya maamuzi na wewe mwanaume wake.
 
Hakuna haja ya kuwa nae maana maamuzi hufanya na kamati kuu ya marafiki badala ya kufanya maamuzi na wewe mwanaume wake.
Hasara kubwa kwa kizazi chetu ni mlipuko wa mitandao, Luna magroup huko WhatsApp unakuta mwalimu mwenyewe ndoa au mahusiano
yamemshinda sasa kama baby wako ni mburukenge anaingia mazima. Mwisho wa siku lazima uwe na misingi yako kama mwanaume na uwe na msimamo.
 
Hasara kubwa kwa kizazi chetu ni mlipuko wa mitandao, Luna magroup huko WhatsApp unakuta mwalimu mwenyewe ndoa au mahusiano
yamemshinda sasa kama baby wako ni mburukenge anaingia mazima. Mwisho wa siku lazima uwe na misingi yako kama mwanaume na uwe na msimamo.

Me nachoamini mahusiano ni ya watu wawili, mkishindwa kuwekana sawa kwa upendo hakuna kitakachosaidia hata aje mkuu wa nchi .Mbaya zaidi ni mwanaume kukubali kuendeshwa miaka nenda rudi, mwanaume inatakiwa uwe na msimamo hata kama haupo vizuri kiuchumi.
 
Back
Top Bottom