Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Huwa nahisi kuna mtu ambaye ni very important kuliko wewe ambaye lazma apewe instant response. Kwangu huwa naona ni utovu mkubwa wa nidhamu nakataga simu hapo hapo.Hivi huwa ni nini ? Mi hiyo nilishaisikia sana nikiuliza majibu huwa ni hayo