Amehlo
JF-Expert Member
- May 8, 2019
- 10,104
- 29,178
wacha bhanaAcha bas mm nko na hang hang tuu
Nko kwa ndevu hapa tegeta npe location nije faster na haka kabard itakuwa burudan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wacha bhanaAcha bas mm nko na hang hang tuu
Nko kwa ndevu hapa tegeta npe location nije faster na haka kabard itakuwa burudan
Nilijivua madarakani tu mkuu 😂😂😂We mzee ulidukua kabisa akili kama zangu hizi [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] kwahiyo uliamuann baada ya kuona teyari umesalitiwa?
Kmmmk hio ni zaidi ya pigo!Kale kadem kalikuwa kananijua vzr sana kwamba huwa sikurupuki ktk maamuzi. Ilibidi kawahi kuniambia "Nina mimba lakini sio yako, naomba unisamehe"
Nikakaambia huitaji kulia, maana sijakuoa, so endelea na life lako.
Bongo nyoso balaa 😂😂😂 mapenzi ya kitapeluNdo hivyo uaminifu tunauweza kwa wenzenu walioko huko lakini humu humu ni kusalitiwa mpaka ukome
Hakukuwa na jinsi ukizingatia mwamba alikuwa kitengo TRAKwahyo mkuu mlibreak up na huyo manzi?
Nyokow, hio inaitaji ujasiri wa kijeshi ni kama kujichomoa risasi mwilini kwa kujichana na kisu!Kitu sikuwahi fanya ni kufuatilia mawasiliano mpaka ifikie hatua ya kuhack. Kuna jamaa yangu alihack sim ya mpenz wake kilichofuatia alikua anashinda tu ndani mambo hayaendi kutwa kucha anafatilia mawasiliano na mbaya zaidi 75% alikuwa anasemwa yeye vibaya na kuhudumia alikua anahudumia sana.
Kama una haya ingia pm kwake[emoji16][emoji16] mtihani uho
Acha tu mkuu.Kmmmk hio ni zaidi ya pigo!
Pole sana ndio ukubwa huo [emoji23][emoji23][emoji23]Nilijivua madarakani tu mkuu [emoji23][emoji23][emoji23]
Basi usimind Bebiwacha bhana
Kweli ulinyanyasika kihisia mkuu!Acha tu mkuu.
hahahahah hatari babuPole sana ndio ukubwa huo [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna kadem kalinizinguaga kipindi fulani, alaf mambo yalivyokaendea kombo, kakaja kuniomba msamaha kanasema "Nisamehe, kwa jinsi ambavyo nilikuwa nikikusea unachukulia kawaida, nikahisi wanaume hamuumii"Kweli ulinyanyasika kihisia mkuu!
Ungekapiga mkojo wa dharau 😎 kisha ukaendelea na mishe zako!Kuna kadem kalinizinguaga kipindi fulani, alaf mambo yalivyokaendea kombo, kakaja kuniomba msamaha kanasema "Nisamehe, kwa jinsi ambavyo nilikuwa nikikusea unachukulia kawaida, nikahisi wanaume hamuumii"
Nilikaangaliaa wee, nikaishia kuondoka tu.
Sikutaka hata shobo za ziada. Nilisepa tu.Ungekapiga mkojo wa dharau [emoji41] kisha ukaendelea na mishe zako!
[emoji23][emoji23]Utasex kwa Bluetooth, na kukis kwa whatsapp, wenzio wanakula live, hopeless kabisa
Nyokow, hio inaitaji ujasiri wa kijeshi ni kama kujichomoa risasi mwilini kwa kujichana na kisu!
Kale kadem kalikuwa kananijua vzr sana kwamba huwa sikurupuki ktk maamuzi. Ilibidi kawahi kuniambia "Nina mimba lakini sio yako, naomba unisamehe"
Nikakaambia huitaji kulia, maana sijakuoa, so endelea na life lako.
Kajinga sana kaleAlijilipua kweli kweli