Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ngojeni aje, atawajibu mmoja baada ya mwingine, ni mbishi kufa yule babu...
Huyo nae hajui chochote kajiropokea tu.
Le Mutuz anaweza kutunza siri yule? Akipewa simu tu anatangaza kila saa/siku!
uyu mtu ni shida sishangai. mbona ndege ishu ndgo!! Mtoto wake alienda kufanya majaribio Chelsea sjui iliishia wap na pia lorry za mafuta na mizigo zakutosha. Op ni yy tu bongo ana lambojini.
Ndege ishu ndogo? Acha maskhara mkuu
katika pita pita zangu huko instagram nikakuta William Malecela maarufu kama Lemutuz akimsifia tajiri Davis Mosha kwa kununua private jet
Lakini kuna comment iliandikwa akaifuta haraka sana nikafanikiwa kuichunguza nikakuta kumbe ni kweli.
Hapana Hii sio private jet ya Mtanzania ni plane kutoka south Africa yaani ndege ya kukodisha...registration ZS-LOV ni ya south africa na ni kampuni kabisaa ya charter sio ya Tanzania, tumpe sifa za kuwa na jeuri kukodisha ndege kwa lisaa dola 2500 lakini je anastahili pongezi hii? mbona hii ndege si commercial ilikuja na mtu n kuondoka na mtu ina maana billionea aliomba kupiga picha?! na kama kweli Mosha kanunua hii ndege tungeona jina lake hapaa kwenye certified plane owners wa Tanzania listi inakuwa updated monthly Tanzania Civil Aviation Authority : Aircraft Register : List na kama kainunua ni kweli kashindwa kuibadilisha hio tail number kwa kulipia gharama ndogo tu kabla ya kuanza kutumia kwa safari? sidhani kama inaruhusiwa kutembelea hivo kama ndege ni yako ila ina registration ya SA..sio magari haya ati.
Pili Willam akaendelea kusema kua windscreen ilicrack hewani ikiwalazimu kurudi chini haraka. Je hii ni kweli? wajua kama
View attachment 256570windscreen ikicrack hewani una sekunde 13 tu hadi ndege iloose control due to loss of pressure! na ndView attachment 256568View attachment 256568ege hupaa kwa takribani sekunde 30 na hutua kwa 40- 20 ina maana kusingekuwa na survivor...German airwings inasemekana windscreen ilicrack ndo mana ndege ikadondoka...kwa hiyo ni almost impossible kwa jet ka hiii kustahimili windscreen crack. Le mutuz naamini yumo humu. Watanzania tunafanywa ka watoto wadogo hahahahahah
Hivi hivi tulidnganywa Kinje ana private jet wakati ndege ina chataaa kubwa ya kampuni ya Kitanzania ya flightlink!!! tena hii ilikuwa ndege yao mpya embraer 120 er iliekuwa south africa kwa mda huoo...watanzania kwa kukuza mambo hatujambo
https://www.jamiiforums.com/habari-...wenye-private-jet-pekee-tanzania-nzima-5.html
Le Mutuz anasumbuliwa na gonjwa linaitwa 'Kujikomba Syndrome'.
Limeshambulia sehem kubwa ya ubongo wake na kumsababishia madhara mpaka katika kuwaza na kufikiri kwake.
Huwa anapenda kuwa wa kwanza kutoa taarifa zisizothibitishwa ili apate affectiona au attention ya wale watu anaowaongelea kwa kuwapamba na kuwatolea matamko mbali mbali in their favour.
Huyu babu hajui kuwa huu ni sawa na upotoshaji
Ila kwa kuwa hao watu wanamuweka mjini wacha awarambe nyayo.
- hahahahahah DAvis ni tajiri wewe ni maskini unafikiri haya maneno yako yanaweza kubadili ukweli huo? hahahahaha le mburulazzzz utakufa na kihoro tu kama wewe huna wenzako wanazo, na mimi sio tatizo lako ukitaka kujua tatizo lako angalia kwenye kioo utaona ni wewe mwenyewe
Le Mutuz
Nyo.ko wewe,utakufa utaniacha!
Umenikera sana wewe batamzinga!
Utakufa unaharisha wewe kuwasifia wanaume wenzio.
Maskini wa akili wewe.
Hahaha hahahaha binamu.. Pole sana, usikereke bhana
siku hizi kakua kiakili huwa ajibu tena
Nyo.ko wewe,utakufa utaniacha!
Umenikera sana wewe batamzinga!
Utakufa unaharisha wewe kuwasifia wanaume wenzio.
Maskini wa akili wewe.
Aiseee
Sasa kama yake kwanini jina si lake au la kampuni yake?
Eti ntakufa na kihoro!
Amekua iziraili mtoa roho za watu au amekua Mungu??
Hili boflo bwana, kazi kusifia wanaume wenzio itakuwa washakuonjesha utamu wao sio bure!