Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Teh teh teh hayo ndo mambo ya akili kubwa, super gaddem.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Teh teh teh hayo ndo mambo ya akili kubwa, super gaddem.
Le mutuz ni tiss agent mtu mzima yule anajua anachokifanya ndio maana familia yake inaangalia bila kuongea chochote wapo kimya sababu wanajua yupo kaziniSijaona mtu mjinga kama lemutuz, nafikiri jamaa ana psychological problems, coz anapenda kufit sana, kila jambo anataka aonekane, too bad kwa umri wake.
Le mutuz ni tiss agent mtu mzima yule anajua anachokifanya ndio maana familia yake inaangalia bila kuongea chochote wapo kimya sababu wanajua yupo kazini
Kitengo chake cha kufatilia umbea na kusifia watu acha kudhalilisha kazi za watuLe mutuz ni tiss agent mtu mzima yule anajua anachokifanya ndio maana familia yake inaangalia bila kuongea chochote wapo kimya sababu wanajua yupo kazini
Acha kudhalilisha kitengo cha TISS wewe.Wakati mwingine kama hujui kitu bora ukae kimya tu.
Lile tutusa linalotoa matamko yake ya uongo na habari asizo na uhakika nazo anaweza kua TISS?
Hana lolote yule ni mtaka sifa tu mjini hapa.
Le mutuz ni tiss agent mtu mzima yule anajua anachokifanya ndio maana familia yake inaangalia bila kuongea chochote wapo kimya sababu wanajua yupo kazini
Selwa windscreen crack inategemea ndege iko futi ngapi hewani! kuna BA au BMI aircraft windscreen ilitoka kabisa! rubani mmoja akawa sucked akatoka nje kuanzia kiunoni wenzie wakamshika miguu au alinasa kwenye tundu la kioo. jamaa waliishusha ile ndege biila matatizo na rubani ali survive ingawa alipata frost bite!
Nyingine HAWAII ilitoka mlango kabisaaa na abiria 4/6 na cabin crew mmoja walikuwa sucked out na viti vyao...rubani alishusha hio ndege ikiwa na tundu kubwa sana!
source: nimeangalia aircraft investigation series nyingi sana on nat geo channels
hata mi nimemshangaa uyo, anaijua TISS au anaiskia tu.