Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

Status
Not open for further replies.
- hahahahahahahahahaha umenivunja mbavu maana hujui unachotaka halafu unafikiri Degree 3 nilisomea kwa kiswahili au what? hahahahahahah

Le Mutuz

wewe usome degree tatu zipi?labda zakununua ila kusoma huna akili hiyo man
 
Mbona ulitangaza kwa mbwembe kuwa unaanzisha redio? vip imeishia wapi?
 
Screenshot_2015-04-24-10-35-04.pngwakati wenzako wenye miaka kama yako wanaongea about majumba yao masaki salasala mbweni au mbezi beach wewe babu lemutuz unatupigia kelele kumiliki kiappartment cha chumba kimoja au studio flat jamani kweli wewe babu jinga haha, kijumba cha msajili unalipa elfu 50 unafanananisha na apprtment inayolipiwa dollar 1000 hadi 2000 newyork haha kweli wewe mtindio wako wa akili umefyatuka zaidi, hebu nisaidieni kuna nyumba gani ya msajili yenye vyumba vitatu halafu ina kijiko kidogo kama hiko haha au babu lemutuz unakaa mortuary nini
 
...picha imeshakuwa tamu......ngoja arudi toka kwa mastaa wenzake........ila lemukubwaz ,.. hivi ni kweli X wako amepora mume wa mtu?? una ushahidi wowote???..mi sipo upande wowote, but I have the same experience!..na mwisho ikawa aibu...

Le Gunz
 
View attachment 246247wakati wenzako wenye miaka kama yako wanaongea about majumba yao masaki salasala mbweni au mbezi beach wewe babu lemutuz unatupigia kelele kumiliki kiappartment cha chumba kimoja au studio flat jamani kweli wewe babu jinga haha, kijumba cha msajili unalipa elfu 50 unafanananisha na apprtment inayolipiwa dollar 1000 hadi 2000 newyork haha kweli wewe mtindio wako wa akili umefyatuka zaidi, hebu nisaidieni kuna nyumba gani ya msajili yenye vyumba vitatu halafu ina kijiko kidogo kama hiko haha au babu lemutuz unakaa mortuary nini

- Huna nyumba huko unaishi kwenye kijumba cha mwaka 1919 huyu mume wa mtu anapokuja watoto wanasema wanabidi walale sebuleni, ungenymaza tu maana ni huzuni mtu anayeishi vizuri huko hawezi kulala macho kutafuta jana nilikuwa wapi bongo, ulikuwa mjanja huko na maisha makubwa na mazuri ulipokuwa na mimi maana nilikuwa nayo kabla sijakuleta now umeona cha moto utalia hapa JF mpaka miwsho wa maisha yako hakuna wa kukusaidia hahahaha

Le Mutuz
 
...picha imeshakuwa tamu......ngoja arudi toka kwa mastaa wenzake........ila lemukubwaz ,.. hivi ni kweli X wako amepora mume wa mtu?? una ushahidi wowote???..mi sipo upande wowote, but I have the same experience!..na mwisho ikawa aibu...

Le Gunz

- Hawezi kuwa na Mwanaume wake ni mimi tu ndio nilikuwa nampa cover watu wanamuona ana akili mpaka nilipomuwacha ndio ukweli ukawa wazi nani ana akili nani hana, mtu mwenye akili timamu unaweza kwenda kumpora mwanamke mwenzako mume wake kwa kumtumia tiketi za kwenda US huku unapiga panga watoto hela zao hahaha ananichekesha can you imagine mimi sasa hivi kuanza kutembea na mke wa mtu labda niwe nimekufa!!

- Mkuu hivi kweli unamjua mwanaume anayeweza kukataa kutumiwa tiketi kwenda US na kurudi na mwanamke asiyejitambua? hahahahaha

Le Mutuz
 
- Huna nyumba huko unaishi kwenye kijumba cha mwaka 1919 huyu mume wa mtu anapokuja watoto wanasema wanabidi walale sebuleni, ungenymaza tu maana ni huzuni mtu anayeishi vizuri huko hawezi kulala macho kutafuta jana nilikuwa wapi bongo, ulikuwa mjanja huko na maisha makubwa na mazuri ulipokuwa na mimi maana nilikuwa nayo kabla sijakuleta now umeona cha moto utalia hapa JF mpaka miwsho wa maisha yako hakuna wa kukusaidia hahahaha

Le Mutuz

Le mbululaz naona bado unambapambana na Id fake huku ukiendelea kujivua gagulo..
 
Hata akikaa kimya heshima kashapoteza umewai kuona hao so called friends wake wanadhalilishwa mitandaoni, it's always lemutuz sasa we acha atuburudishe tuangalie Le Movie, eeeh Endelea Baba kubwa

- Wewe utabadili majina mpaka utachoka utafuatlilia maisha yangu mpaka utakufa ila huwezi nifanya lolote, maisha yangu yanaendelea nimetoka kwenye Semina ya Masta jioni nimealikwa na rafiki yangu wa karibu sana Naibu Waziri wa Afya ya Zanzibar Serena Hotel kwenye event yake maalum, wewe mwenye heshima wanakualika wapi mbona sijawahi kukuona nyamaza wewe mjinga hahahaha

Le Mutuz
 
Mbona hii ya kulia ukonga aujakanusha wala kujibu chochote, Haya tumwagie maubuyu ilikuwaje mwanawani hadi ukaangusha choziii ni mambo ya contact na watoto hahahahahahaha lemutuz

- Nilikuja na shemeji yako kwenye gari, nikawaona watoto nikarudi kumuaga baba yao nikaondoka kumshusha shemeji yako nyumbani kwake nikaenda airport kupanda ndege ya kwenda mbeya mimi nikilia wewe utakuwa kaburini sijawahi kulia u know that hahahaha mimi nilie mimi are you kidding nimetishiwa bastola kichwani sikulia nitalia kwa sababu yako? hahahahaha

Le Mutuz
 
- Ona mjinga mwingine huyu anasema ameshanidharau ok ulipokuwa unaniheshimu uliongezea nini mkuu ambacho kitapungua sasa umenidharau au umejidharau mwenyewe? hahahahahahahah Wanaonidharau hawana muda na mimi ila wewe hunidharau unajidharau mwenyewe

- Niachane na uzi huu ili uniheshimu wewe maana wewe ni Mungu mazafantaza nyamza kama huwezi badili channel ok hahahahaha relax man!!

Le Mutuz

Hhhhhaaaaaaa lo maneno kuntu😜😜😜😜
 
- Wewe utabadili majina mpaka utachoka utafuatlilia maisha yangu mpaka utakufa ila huwezi nifanya lolote, maisha yangu yanaendelea nimetoka kwenye Semina ya Masta jioni nimealikwa na rafiki yangu wa karibu sana Naibu Waziri wa Afya ya Zanzibar Serena Hotel kwenye event yake maalum, wewe mwenye heshima wanakualika wapi mbona sijawahi kukuona nyamaza wewe mjinga hahahaha

Le Mutuz

Kwa nini nibadili jina mzee wa marafiki wa karibu le bilionea, i have been using this name for ages?
 
Nyie mtakuwa mnapendana bado, msituzuge bana.

- hahahahaha miaka 4 ningekuwa na shida naye ningeshamuomba kumrudia, na alipomtuma rafiki yake kumuomba Davis eti anilazimishe nimrudie ningemrudia haraka sana kama nina shida naye namuombea Mungu amsaidie aachane na mimi kabisa cause bado ana mamumivu sana ukiona mtumzima anakuja kujivua nguo hapa ujue yamemkuta pole sana!!

Le Mutuz
 
- Ingekuwa kweli usingekuja kulia unajua nani anajivua nguo hapa hahahahahahaha

Le Mutuz

Ww unayegombea nafasi CCM huko, mgombea gani JINGA KABISA, Vp ulivyotoswa umoja wa vijana sijui nini ile naona walijua kabisa wewe ni BOYA
 
Ww unayegombea nafasi CCM huko, mgombea gani JINGA KABISA, Vp ulivyotoswa umoja wa vijana sijui nini ile naona walijua kabisa wewe ni BOYA

- Mjinga wewe mimi ni !. MJUMBE MKUTANO MKUU WA CCM UNAOCHAGUA RAIS 2. MJUMBE BARAZA LA WAZAZI/CCM TAIFA 3. MJUMBE BARAZA KUU UVCCM TAIFA

- Mnarukia watu msiowajua unaona sasa unajivua nguo hahahahaha

Le Mutuz
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom