katika pita pita zangu huko instagram nikakuta William Malecela maarufu kama Lemutuz akimsifia tajiri Davis Mosha kwa kununua private jet
Lakini kuna comment iliandikwa akaifuta haraka sana nikafanikiwa kuichunguza nikakuta kumbe ni kweli.
Hapana Hii sio private jet ya Mtanzania ni plane kutoka south Africa yaani ndege ya kukodisha...registration ZS-LOV ni ya south africa na ni kampuni kabisaa ya charter sio ya Tanzania, tumpe sifa za kuwa na jeuri kukodisha ndege kwa lisaa dola 2500 lakini je anastahili pongezi hii? mbona hii ndege si commercial ilikuja na mtu n kuondoka na mtu ina maana billionea aliomba kupiga picha?! na kama kweli Mosha kanunua hii ndege tungeona jina lake hapaa kwenye certified plane owners wa Tanzania listi inakuwa updated monthly
Tanzania Civil Aviation Authority : Aircraft Register : List na kama kainunua ni kweli kashindwa kuibadilisha hio tail number kwa kulipia gharama ndogo tu kabla ya kuanza kutumia kwa safari? sidhani kama inaruhusiwa kutembelea hivo kama ndege ni yako ila ina registration ya SA..sio magari haya ati.
Pili Willam akaendelea kusema kua windscreen ilicrack hewani ikiwalazimu kurudi chini haraka. Je hii ni kweli? wajua kama
View attachment 256570windscreen ikicrack hewani una sekunde 13 tu hadi ndege iloose control due to loss of pressure! na nd
View attachment 256568View attachment 256568ege hupaa kwa takribani sekunde 30 na hutua kwa 40- 20 ina maana kusingekuwa na survivor...German airwings inasemekana windscreen ilicrack ndo mana ndege ikadondoka...kwa hiyo ni almost impossible kwa jet ka hiii kustahimili windscreen crack. Le mutuz naamini yumo humu. Watanzania tunafanywa ka watoto wadogo hahahahahah
Hivi hivi tulidnganywa Kinje ana private jet wakati ndege ina chataaa kubwa ya kampuni ya Kitanzania ya flightlink!!! tena hii ilikuwa ndege yao mpya embraer 120 er iliekuwa south africa kwa mda huoo...watanzania kwa kukuza mambo hatujambo
https://www.jamiiforums.com/habari-...wenye-private-jet-pekee-tanzania-nzima-5.html