Ukaribu wa Le Mutuz na watu maarufu

Status
Not open for further replies.
Kwani alimtaja jina baadae nakumbuka alisema marafiki sijui rafiki. Ameshtukiaje? Angekaa kimya tu labda kama akimtaja baadae.
 
L e mutuz achana na wajinga hao, wewe kamaa na kibajaji mpaka mumung`oe na matusi yake
 

Hahaha nimecheka sana. Ndo wabongo walivyo hii kuchangiana imekua kama lazima sikuhiz na usipochanga unaonekana mbaya
 
le mutuz njoo huku naona wadau wanakupa credit za kutosha
 
Huwa nnamashaka na akili za lemutuz,jamaa nahic anaumwa
 

nimemuona baba haji mjinga sana alipoingiza suala la "wayunani" hapo alikuwa analenga kuwatukana wakristo, ni mdini au kwasababu yeye baba haji ni muislam? alitakiwa amalizane na lemutuz pekee sio kuingiza masuala ya wayunani
NAWE PIA JINI MAHABA.
Hunte & emkey mmesomeka
 
Last edited by a moderator:
Le mutuz @ NYC:msela:
Le mutuz@ KARIAKOO:boxing: :sad::A S-rap::director:NHC
 

Sio utani mkuu, kwanini atumie uyunani kutukana mtu? amtukane yeye lemutuz kama lemutuz sio achanganye na udini, afute hiyo kauli mara moja..!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…