William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Mkuu mimi ndio maana licha ya kumpinga Majid Mjengwa kwa unafki wake lakini kiukweli blog yake ndio huwa natembelea maana siyo ya copy and paste yule anakwenda field mwenyewe, siyo hawa viblock uchwara mtaji laptop, modem, camera na smartphone ujinga mtupu kila mtu anaweza kuwa bloger lakini blog ni habari nyingine siyo hizi za kina Le mtumbozi.
Unafahamu Masogange alivyokamatwa na madawa ya kulevya ni kina ndio waluomsindikiza JK international airport? Wacha kurukia usiyoyajuwa usidhani kila ofisi inalipiwa na biashara unayoijuwa wewe, biashara nyingi za mjini ni cover tu zuzu wewe.
Mkuu Wayunani si ni Wagiriki?
Kuna uhusiano gani kati ya Ukristo na taifa la Wayunani hata uwafanye Wayunani wawe kielelezo cha Ukristo...
Kubwa zima unakuwa mpambe wa Diamond hovyooooooo.
- Ndipo tofauti yetu inapokuja mkuu ni kwamba mimi binafsi siwezi kufanya kazi inayonizua kuwa huru hata kwa dakika moja tu, uhuru nilionao nimeupata kwa taabu sana I am a free human being unakumbuka hata nikiwa USA nilikuwa kama nilivyo sasa free, now kushare hisia zako kwa kutumia majina ya bandia unajua kabisa kwamba mbele ya watu wenye akili sana huwezi kuwa mmojawapo kwa sababu huwezi kuwa na elimu kubwa ukawa muoga,
- Imagine kina Mandela au Martin Luther King wangekuwa aoga to that extent kweli tungewajuaje au leo tungekuwa na what kind of legacy na harakati za Freedom? Please mkuu just back off wewe huwezi ukaingia hapa kwa majina ya bandia halafu ukasema mimi ninayeingia kwa majina yangu kamili sina akili please nani hana akili hapa? that was the ishu here naona umeingia bila kuelewa hakuna anayekukataza kuja hapa na Fake ID ila in the process ya your participation here huwezi kuita wengine wajinga wakati ukweli ni kwamba wewe ndiye mwenye matatizo ndio maana unaogopa mpaka kuingia kwa ID fake,
- Ninaamini hii forum iliwekwa kwa ajili ya majadiliano helpful kwa wote, sasa kwa kutumia matusi kulazimisha hoja yako unajaribu ku accomplish what? Ndio maana utakumbushwa kwamba by the way kutumia majina ya bandia ni dalili za uoga na uoga unatokana na kutokuwa na akili kubwa ya kutosha kuelewa hakuna lolote litakalokukuta kwa kusema ukweli like me!!
Le Mutuz
Whast ur problem with a person using "fake" ID ilhali hatukani, anaku question kwa hoja au anakuuliza maswali? EG i use santa diaba, inamaanisha broken angel, and ts not fake ila ina maana ktk maisha yangu, I guess t is high time ujitahidi kujibu hoja,
Hiyo ni tafsiri yako! Ungetafuta ufafanuzi kutoka kwake ungekuwa umefanya la maana.nimemuona baba haji mjinga sana alipoingiza suala la "wayunani" hapo alikuwa analenga kuwatukana wakristo, ni mdini au kwasababu yeye baba haji ni muislam? alitakiwa amalizane na lemutuz pekee ila sio kuingiza masuala ya wayunani ambao context yake alikuwa analenga kuwa desturi za kikristo ndizo zinamfanya lemutuz amtukane yeye kwasababu ni muislam. hawa bongo muvie ni washamba sana na wengi ni kachumbari tu.
Unaamini kuna watu wengine wanapenda kubaki anonymous? And anaeza akawa na ID tofauti na jina lake ila hatukani? And amefikiria faida na hasara za kujiexpose mtandaoni, mf ww maisha yako unayaendesha kwa biashara ya mtandaoni so I guess ts fair kujiexpose, pima mtu anachoongea.. mf I personaly dont knw u, actually nimeanza kukusikia IG baada ya fuds zako na seth, and one thing nilichoobserve u dont want a person to challenge U, u might rise a topic analysing it and u just want people to agree,- Well, tatizo langu ni mtu anayetumia ID Fake anapouliza uwezo wangu wa kufkiri maana ninahisi wake ndio wenye matatizo cause huwezi kua na akili timamu ukategemea watu wenye akili timamu watakuchukulia serious unapodai unaandika ukweli kwa kutumia ID Fake, hahhahahahahahhahaha
Le Mutuz
Lemutuz aka kubwa jinga
Kuwa na kampuni ya wafanyakazi watano, kuwa na ofisi downtown na kuwa na acc ya insta inayokupa vicent na pia kuwa na kablog uchwara hakuendani kabisa na hadhi yako unayojisifia unayo
AKILI KUBWA NA DIGIRII TATU
Watu batupendi tu kujitangaza mali zetu wala tunavyo miliki, lakini nikwambie tu kwa umri wako wa miaka zaidi ya hamsini ni sawa na kufaleli maisha kama hivyo ulivyotaja ndio vyanzo vyako vya income pamoja na degirii zako tatu na exposure ya kuishi mbelez
Nina miaka 24 tu but sor far kwa huo "utajiri" wako nakuona pimbi tu
Umri wote huo eti bado unapigania utoke vipi kwa kutukanana na watu kwenye media kupata hela?
Umechezea ujana wako unaruka ruka tu na ngebe nyingi kwa maid fake kwenye social media kumbe ulikua kilaza tu
Umri wako wewe sio wakukaa unasifia vitoto kama akina Diamond na wengine kwaita eti super bilionea wakati we kapuku tu
Tambua upo kwenye fainal mkuu ujana wako wote umeshindwa kutafuta pesa za maana unadhani utakuja kuzipati instagram?
Uli wahi kuambiwa una influence kubwa na ukitaka kuitumia kwenye siasa ukafeli sasa itumie kutafuta hela ya maana na si vilaki laki vya kutukanana na watoto insatagram
Sheria ya maisha inasema kama baba yako alikua na influence kwenye mafanikio basi watoto wananafasi kubwa kuendeleza iwapo wana akili, lakini wewe masikini ni kalaghabaho
Leo hii usitegemee watoto wa obama au bill clinto kuwa vilaza
Angalia watoto wanye baba kama wewe ndio utajitambua ni kilaza kisasi gani
Whast ur problem with a person using "fake" ID ilhali hatukani, anaku question kwa hoja au anakuuliza maswali? EG i use santa diaba, inamaanisha broken angel, and ts not fake ila ina maana ktk maisha yangu, I guess t is high time ujitahidi kujibu hoja,
Unaamini kuna watu wengine wanapenda kubaki anonymous? And anaeza akawa na ID tofauti na jina lake ila hatukani? And amefikiria faida na hasara za kujiexpose mtandaoni, mf ww maisha yako unayaendesha kwa biashara ya mtandaoni so I guess ts fair kujiexpose, pima mtu anachoongea.. mf I personaly dont knw u, actually nimeanza kukusikia IG baada ya fuds zako na seth, and one thing nilichoobserve u dont want a person to challenge U, u might rise a topic analysing it and u just want people to agree,
Umemwambia ukweli, atajibu pumbapumba na kubadili maneno.
- Well, ningekuwa sipendi challenge nisingekuwa hapa najibu haya maswali kama yako, for some reason Wabongo hawawezi kuku challenge kwenye Social Media bila kutumia matusi now my Instagram inatumika sana kwa matangazo ya biashara wenye matangazo hawapendi matusi ndio maana ukiandika matusi ninakutimua,
- Kama unatumia ID fake ninasema tena huna any right ya kuuliza wanaotumia real ID kama mimi uwezo wa wetu wa kufikiri ninadhani unahitaji kuangalia uwezo wako kwanza kama upo sawa, mengine yote hayana nafasi kwenye maelezo yako!!
Le Mutuz
Kwa majibizano haya ya Le Mutus vs Wadau, Baba Haji must be laughing his a** off right now Hahaaaaa.
Oh Lord, so simply because sm1 is not using his or her real name auto mawazo yake yanakua shallow?? Oops, and is LE MUTUS ur real name? Cuz handke yako IG inajina hilo
- Wafanyakazi wangu walifanya makosa ambayo ni kawaida kwenye Media ndio maana hata New York Times wana ukurasa maalum wa marekebisho ya makosa waliyoyafanya the day before, the blog is doing great niliifungua 2012 now ni money machine mimi ninaelekea kwenye Radio na TV, najua kwenye kuendelea kutakuwa na kelele za wasiokuwa na maendeleo kama nyinyi but sisi tunasonga mbele tu!!
Le Mutuz
- Nilijua kuwa huuwezi huu mjadala ulizana vizuri sasa tayari umeishiwa hahahahahahahaha sasa kwa nini huwa mnanichokoza na huku mnajua kwamba hamuezi debate na AKILI KUBWAZZZZ U know hahahahaha
Le Mutuz
Lakini kwenye ile sheria yenu ungefungwa!my point ilikua nikuonyeshe saa nyingine usidandie vitu na kuvipigia debe mbele vikaku back fire!refer Obasanjo na Kaunda walivyokua hawataki kuondoa sheria inayompa Rais uwezo wa kumuweka mtu kizuizini na baadae zikawaumiza wenyewe