William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Hivi lemutuz umewahi kujiuliza siku ukifa waombolezaji watakuwa wanaongea maneno gani msibani kuhusu marehemu? Hahahahaha au kwenye social media watu wataandika nini kuhusu wewe???
- Well hizi ni chuki tu pole sana ila wrong number makosa kwenye habari ni kawaida sana, hata hapa JF huwa kuna habari nyingi zinakosewa zinarekebishwa so relax huna hoja!!
Le Mutuz
- Ina maana wewe ni kijana mdogo sana mwenye akili nyingi na nzuri sana lakini kumbe unaingia kwa mwenye blog ya mtu kama mimi asiye na akili na mwenye umri mkubwa kuliko wewe? that is wasap maaan hahahahahahahahah
Le Mutuz
Mbona neno chuki unalirudia sana?Kwa wanasaikolojia wanajua mtu wa Aina gani anapenda kuhisi anachukiwa!Swali ni je kwenye ile sheria yetu usingetiwa hatiani?acha kuruka ruka
Nakupenda mpaka naumwa you know.......
BTW kwanini uliniblock... kuguna tu ndio uniblock
- Nilikukuta umeandika lugha mbovu mahali pengine nikaku block ndio maana yake
Le Mutuz
- Nilijua kuwa huuwezi huu mjadala ulizana vizuri sasa tayari umeishiwa hahahahahahahaha sasa kwa nini huwa mnanichokoza na huku mnajua kwamba hamuezi debate na AKILI KUBWAZZZZ U know hahahahaha
Le Mutuz
Sasa ukimblock unampunguzia nini? Sana sana ni faida kwake asipate muda wa kusoma pumba zako tu unazoropoka huko na wajinga wajinga wenzako wa Insta.
Ohooo sory akili kubwa hapo iko wapi? Nimeuliza tu le mutuz ni jina lako? Ww ndo huwezi huu mjadala ndg, maana ulikua unaongelea fake ID,
Tatizo la Lemutuz ni ukapuku full stop.
Nimeshangaa sana maana huu mjadala ulikua unahusu michango ya harusi lakini umebadilika na kua between le mutuz.vs other people!! Anyway mie leo ndo nimemuunga mkono kidogo le mutuz , michango ya harusi haipo kwenye budget zangu kabisa, kuoa aoe yeye zigo warushiwe wengine "WHY?????
- Kama ni ukweli unatakiwa umsaidie mwenyewe to me ni pure nonsense, angalau angesema yeye ana maisha bora kuliko mimi yeye anataja marafiki zangu ambao ninashirikiana nao kwa karibu sana na kila siku, hapa mjini mtu akidhani wewe sio level yake hawezi kujishirikisha na wewe now hao anaowasema mimi binafsi nawaona wa kawaida tu thewy have life and I have life too hahahahahaa mnanichekesha sana na maneno mengi sana hewa
Le Mutuz
Jichekeshe ivo ivo...
Le mbebez...
- hahahahaha wewe jikasirishe tu haina shida hahahahahah
Le Mutuz
You are such a clown! You are such an amusement! A gesture of an awful comedy...siwezi kununa u knw!