- Super Bilionea Davis Mosha ni my business patner uhusiano wetu ni wa kibiashara, tupo kwenye Capitalism mkuu ukiwa na akili kuba kama yangu unakua na idea unaiuza kwa Wawekezaji Wakubwa kina Davis Mosha and then idea inafanyiwa kazi na sasa hivi Super Bilionea wa Uganda Michael Mukula naye amejiunga na hii idea sijui kama unajua kuwa anamiliki Radio na TV Stations kama 50 Afrika nzima so atatupa power ya kufikia bongo nzima na East Afrika nzima,
- Wabongo amkeni kwenye usingizi mzito wa kuamini kuwa ni mpaka uwe na hela kubwa ndio unaweza kuanzisha miradi mikubwa, matokeo yake wageni kibao wanakuja hapa na ideas tu wanawauzia Wawekezaji wanavuta pesa sisi tumekalia majungu tu yule sio kampuni yake, pole sana mkuu akili ni mali kila mtu ana zake na for sure wewe huna hahahahahaha mkuu ni kweli Pesa nzima ya kununua mitambo ya Radio na TV mimi binafsi sina ila nina AKILI KUBWA ya kuwashawishi wenye pesa kubwa wakawekeza kwenye my idea na ikaishia kunilipa, nilimuuzia Tajiri mmoja hapa mjini idea ya ICD akakubali akawekeza na sasa hivi anavuta pesa kubwa na mimi ninavuta my share, ndio maana ya AKILI KUBWA ambayo wewe hunazzz hahahahahaha U know
Le Mutuz