R-K-O
JF-Expert Member
- Jun 27, 2023
- 482
- 2,178
Post hii sio ya ligi ya ukristo vs uislam, Tupeane elimu na ushauri namna ya kujenga awareness kwamba kinachofanyika ni ukatili na tushauriane mbinu nzuri mbadala.
Hii ni video ikionyesha mfano wa hali iliyozoeleka katika baadhi ya madrasa na wala si jambo geni, adhabu wanayopata watoto ni ukatili kwao hasa ukizingatia bado wana speed ndogo ya kujifunza ila mwalimu hatilii maanani anatoa kipondo heavy.
Na mbaya zaidi unakuta wazazi wala hawana tatizo na walimu kufanya haya, hii hupelekea hata watoto kuogopa kusema kwa wazazi wao endapo mwalimu akivuka mipaka.
Hii ni mbinu mbaya kufundisha ndio maana wengi huishia kukariri badala ya kuelewa, hata mtu akiwa mtu mzima unakuta kashasahau vingi alivyojifunza madrasa.
Pendekezo langu ni kwamba kwanini kusiwe na mbinu ambazo zipo balanced kufundisha watoto kwa namna ambayo itawafanya wapende kujifunza kwa hiari na si kwa vitisho?
Kuna kujifunza kwa michezo, kujifunza kwa kuimba, kujifunza kwa zawadi, n.k. vitu hivi ndivyo wanavyopenda zaidi watoto.
Hii ni video ikionyesha mfano wa hali iliyozoeleka katika baadhi ya madrasa na wala si jambo geni, adhabu wanayopata watoto ni ukatili kwao hasa ukizingatia bado wana speed ndogo ya kujifunza ila mwalimu hatilii maanani anatoa kipondo heavy.
Na mbaya zaidi unakuta wazazi wala hawana tatizo na walimu kufanya haya, hii hupelekea hata watoto kuogopa kusema kwa wazazi wao endapo mwalimu akivuka mipaka.
Hii ni mbinu mbaya kufundisha ndio maana wengi huishia kukariri badala ya kuelewa, hata mtu akiwa mtu mzima unakuta kashasahau vingi alivyojifunza madrasa.
Pendekezo langu ni kwamba kwanini kusiwe na mbinu ambazo zipo balanced kufundisha watoto kwa namna ambayo itawafanya wapende kujifunza kwa hiari na si kwa vitisho?
Kuna kujifunza kwa michezo, kujifunza kwa kuimba, kujifunza kwa zawadi, n.k. vitu hivi ndivyo wanavyopenda zaidi watoto.