Ukatili kwa watoto: kwanini madrasa huwa ni kawaida kuambatana na vipigo kwa watoto, walimu hawana mbinu mbadala kuwafunza?

Ukatili kwa watoto: kwanini madrasa huwa ni kawaida kuambatana na vipigo kwa watoto, walimu hawana mbinu mbadala kuwafunza?

Hapo sawa.
Ongezea hii kwenye list yako.

 
Kula chuma hicho.
 
Weka matukio mawili ya kesi za ulawiti kutokea kanisa la RC Tanzania, na mimi niweke hapa kesi za ulawiti MADRASA hapa tz
Ulisema nikuwekee matukio mawili hadi sasahivi umeona nimekuwekea mangapi? Kwa taarifa yako RC limeoza kwa ulawiti si TZ tu bali dunia nzima
 
Kula chuma hicho.
Pitia hii pia boss

 
We unaona ile dini ina jitambua?

Dini yemyewe ya kulazimisha
 
Wajinga tu hao wanaofanya ukatili kwa. Watoto washtakiwe tu.

Uislam haujafundisha hayo
Kiukweli ni mambo ya hovyo, na hili ni zao la kuiga iga vitu vingi kwa namna vinavyofanyika na waarabu.


vingine si vya kuiga.
 
We paka nimeweka baadhi tuu ila kesi zenu wavaa kobazi ni nyingi mno
Hata zako nimeweka baadhi tu unafikiri ni zote? Tena kwa taarifa yako ukiona hadi ishu ya RC imetoka uraiani ujue hakuna namna ila wanafichiana madhambi tu.
 
Back
Top Bottom