Earthmover
JF-Expert Member
- Sep 28, 2012
- 24,977
- 23,799
.Duh, na huyo mbunge bado yupo anapita mnamwangalia tu? Ninyi ni wapole sana lakini mimi huwezi kuniumizia ndugu yangu kiasi hiki nikakuacha salama. Nitakuwinda kama ndege popote pale, huu ni unyama siwezi kukuacha salama.