Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

Hi Kamanda!

Kamanda Malisa pole na hongera sana kwa kazi ya Utume unayoifanya ya kuihudumia jamii ya Watanzania. Mungu akulipe kila lililo jema.

Kamanda Malisa mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Singida Wilaya ya Ikungi kutoka Kijiji cha Minyughe. Tuna ndugu yetu aitwaye Petter Mtinangi ambaye alikua ni Kamanda mwenzetu alikua Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Minyughe, alishambuliwa vibaya sana na Mbunge wetu wa jimbo la Singida Magharibi E. Kingu akiwa na timu yake wakamuingiza kwenye gali wakaanza kumpiga na kumuumiza vibaya sana maeneo ya kichwa hata kumuingilia kimaumbile ndani ya gali walilokuwa wakisafilia.

Haya ni maelezo Mhusika mwenyewe Petter Mtinangi. Sababu ni kwamba yeye Petter alinyanyua vidole viwili kama ishala ya CHADEMA au haki wakati mbunge anapita na timu yake wakiwa zialani, hakuna sababu nyingine zaidi ya hiyo hata ukiuliza wananchi wote waliokuwepo kwenye eneo hili.

Alifanyiwa tukio la kinyama sana kisha wakampeleka kituo cha polisi Ikungi na kumfungulia kesi ya kushambulia gali ya Mbunge bila kujali wamempiga na kumuumiza vibaya sana.

Kule mahakamani walitishia kumfunga wakamwambia salama yake ni kuhamia CCM na kukanusha aliyofanyiwa na mbunge, alihamia CCM wakamfutia kesi mala moja hata hawakumhudumia hata kumpa japo panado akiwa mgonjwa. Alipoona amefutiwa Mashtaka akarudi tena CHADEMA kuendeleza akijua hana kesi tena. Pamoja na yote CHADEMA hakikusaidia wala CCM hawakusaidia.

Cha ajabu na cha kushangaza sana Mbunge akiambiwa kua taalifa za kitabibu alikokuwa akipatiwa matibabu swali zinaonyesha hali aliyonayo inatokana na kupigwa na kuumizwa vibaya kichwani kupelekea mishipa ya ubongo wake inayohusika na macho kuona haifanyi kazi na kupelekea kupelekea kupofuka macho lakini mbunge Kingu anajibu kwa zalau kwamba mtu aliyepigwa anapofuka macho? Inaumiza sana.

Baada ya hapo Mama yake ambaye hana uwezo ni mfagizi tu wa zahanati ya minyughe anahangaika kuomba misaada kupitia watu anaowajuwa zilipatikana pesa kidogo akapelekwa Hospitali ya Muhimbili akafanyiwa upasuaji wa kichwa kwa mala ya kwanza na akaambiwa waludi tena kumalizia upasuaji wa mala ya pili ili tatizo litibiwe lote maana lilikua kubwa sana. Mama alishachoka Kaka Malisa na mgonjwa hivi sasa yupo hoi Kitandani Mama yake amebakia analia tu nyumbani asijue afanye nini. CCM Wilaya wamebakia kuitishia amani hiyo familia wafunge midomo yao.

Viongozi wa chadema Wilaya wanaenda kumjulia hali mala moja moja lakini hawatoi msaada wa matibabu wala Kisheria kumshtaki Mbunge na genge lake.

Taalifa zote kuhusu tatizo la ndugu Petter Mtinangi CHADEMA mkoa na wilaya hadi kanda wanazo, CCM Wilaya na mkoa wanazo pia lakini hakuna hata mmoja anayeshughulikia na mgonjwa huyu.

KUPITIA KAZI YAKO KAKA MALISA TUPIA JICHO LA PEKEE KWA HUYU KAMANDA ALIYEKIHUDUMIA CHAMA MUDA MLEFU APATE MDAADA WA MATIBABU JAMANI. TUSIMWACHE APOTEZE MAISHA KWA SABABU YA TAMAA YA MADALAKA YA MTU MMOJA. KWA MUJIBU WA TAALIFA ZA NDUGU ZAKE WANASEMA IKIPATIKANA MILION 5 TU INATOSHA KAMANDA WANGU

POLE SANA NAJUA UNA MAJUKUMU MENGI SANA LAKINI USITUCHOKE KAMANDA MAANA KALAMA HII UMEPEWA NA MUNGU.

NIMEWEKA NA PICHA ZA MGONJWA APA CHINI UNAWEZA KUPITIA KWA MUDA WAKO.
Huyu Kingu inaonekana ni Katili sana. Hata matamshi yake ukiyasikia utashangaa.
 
Fikiria jitu kama hilo Kingu, ikitokea siku moja limekufa, si baraka na nafuu kwa wananchi, japo na wao siku moja watakufa?

Kuna majitu yamelezaliwa hapa Duniani yakiwa na roho za uharibifu, haya kila siku kazi yao ni kuleta mateso kwa watu. Haya yanapopungua ni ahueni kwa wana wa Mungu. Tuombe sana, majitu ya namna hii yapungue au ikiwezekana yaishe.

Hukumu unayotoa wewe kwa kuskia upande mmoja tu huoni inakufanya nawe uwe mkatili. Afu haya mambo ya dhambi na uovu Ni nani atasimama na kusema mimi Simo? Au kwa kuwa hatujulikani? Mtu anyoshe tu vidole ndo ateswe hivyo? Kuna mtu kaandika jamaa anapenda sana ngono, Labda Hapo angesema jamaa kachukua Mali ya mzee anyohudumia (kimasihara).
 
Hi Kamanda!

Kamanda Malisa pole na hongera sana kwa kazi ya Utume unayoifanya ya kuihudumia jamii ya Watanzania. Mungu akulipe kila lililo jema.

Kamanda Malisa mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Singida Wilaya ya Ikungi kutoka Kijiji cha Minyughe. Tuna ndugu yetu aitwaye Petter Mtinangi ambaye alikua ni Kamanda mwenzetu alikua Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Minyughe, alishambuliwa vibaya sana na Mbunge wetu wa jimbo la Singida Magharibi E. Kingu akiwa na timu yake wakamuingiza kwenye gali wakaanza kumpiga na kumuumiza vibaya sana maeneo ya kichwa hata kumuingilia kimaumbile ndani ya gali walilokuwa wakisafilia.

Haya ni maelezo Mhusika mwenyewe Petter Mtinangi. Sababu ni kwamba yeye Petter alinyanyua vidole viwili kama ishala ya CHADEMA au haki wakati mbunge anapita na timu yake wakiwa zialani, hakuna sababu nyingine zaidi ya hiyo hata ukiuliza wananchi wote waliokuwepo kwenye eneo hili.

Alifanyiwa tukio la kinyama sana kisha wakampeleka kituo cha polisi Ikungi na kumfungulia kesi ya kushambulia gali ya Mbunge bila kujali wamempiga na kumuumiza vibaya sana.

Kule mahakamani walitishia kumfunga wakamwambia salama yake ni kuhamia CCM na kukanusha aliyofanyiwa na mbunge, alihamia CCM wakamfutia kesi mala moja hata hawakumhudumia hata kumpa japo panado akiwa mgonjwa. Alipoona amefutiwa Mashtaka akarudi tena CHADEMA kuendeleza akijua hana kesi tena. Pamoja na yote CHADEMA hakikusaidia wala CCM hawakusaidia.

Cha ajabu na cha kushangaza sana Mbunge akiambiwa kua taalifa za kitabibu alikokuwa akipatiwa matibabu swali zinaonyesha hali aliyonayo inatokana na kupigwa na kuumizwa vibaya kichwani kupelekea mishipa ya ubongo wake inayohusika na macho kuona haifanyi kazi na kupelekea kupelekea kupofuka macho lakini mbunge Kingu anajibu kwa zalau kwamba mtu aliyepigwa anapofuka macho? Inaumiza sana.

Baada ya hapo Mama yake ambaye hana uwezo ni mfagizi tu wa zahanati ya minyughe anahangaika kuomba misaada kupitia watu anaowajuwa zilipatikana pesa kidogo akapelekwa Hospitali ya Muhimbili akafanyiwa upasuaji wa kichwa kwa mala ya kwanza na akaambiwa waludi tena kumalizia upasuaji wa mala ya pili ili tatizo litibiwe lote maana lilikua kubwa sana. Mama alishachoka Kaka Malisa na mgonjwa hivi sasa yupo hoi Kitandani Mama yake amebakia analia tu nyumbani asijue afanye nini. CCM Wilaya wamebakia kuitishia amani hiyo familia wafunge midomo yao.

Viongozi wa chadema Wilaya wanaenda kumjulia hali mala moja moja lakini hawatoi msaada wa matibabu wala Kisheria kumshtaki Mbunge na genge lake.

Taalifa zote kuhusu tatizo la ndugu Petter Mtinangi CHADEMA mkoa na wilaya hadi kanda wanazo, CCM Wilaya na mkoa wanazo pia lakini hakuna hata mmoja anayeshughulikia na mgonjwa huyu.

KUPITIA KAZI YAKO KAKA MALISA TUPIA JICHO LA PEKEE KWA HUYU KAMANDA ALIYEKIHUDUMIA CHAMA MUDA MLEFU APATE MDAADA WA MATIBABU JAMANI. TUSIMWACHE APOTEZE MAISHA KWA SABABU YA TAMAA YA MADALAKA YA MTU MMOJA. KWA MUJIBU WA TAALIFA ZA NDUGU ZAKE WANASEMA IKIPATIKANA MILION 5 TU INATOSHA KAMANDA WANGU

POLE SANA NAJUA UNA MAJUKUMU MENGI SANA LAKINI USITUCHOKE KAMANDA MAANA KALAMA HII UMEPEWA NA MUNGU.

NIMEWEKA NA PICHA ZA MGONJWA APA CHINI UNAWEZA KUPITIA KWA MUDA WAKO.
Enzi za Mwendazake hawa vijana walikuwa kama Chui wanalarua kila kilicho mbele yao.
 
Hukumu unayotoa wewe kwa kuskia upande mmoja tu huoni inakufanya nawe uwe mkatili. Afu haya mambo ya dhambi na uovu Ni nani atasimama na kusema mimi Simo? Au kwa kuwa hatujulikani? Mtu anyoshe tu vidole ndo ateswe hivyo? Kuna mtu kaandika jamaa anapenda sana ngono, Labda Hapo angesema jamaa kachukua Mali ya mzee anyohudumia (kimasihara).
Kwa habari za Kingu ni sawa na Sabaya. Habari zake mbaya zimekuwa zikiripotiwa mara kwa mara kwenye vyombo vya habari na kijamii. Siyo mara ya kwanza.

Hata kama kwa hili amesingiziwa lakini ana mengi mabaya tu.
 
Huyu Kingu Kama ametenda haya basi namshtakia kwa Mungu lolote limpate baya au jema kadri alivyomtendea mwenzake na kadri mwenzake anavyopata shida basi mkono wowote uliochangia mateso ha uyo jamaa basi nao yawafike
 
Nchi hii sasa ni kila mtu apambane na hali yake....

Ukiongea utateswa na hakuna la maana utalofanya.
 
Duh, na huyo mbunge bado yupo anapita mnamwangalia tu? Ninyi ni wapole sana lakini mimi huwezi kuniumizia ndugu yangu kiasi hiki nikakuacha salama. Nitakuwinda kama ndege popote pale, huu ni unyama siwezi kukuacha salama.
Mimi kama wewe aseeee,

Yaaan umuumize ndugu Halafu mimi nihangaike kumtibu Halafu nikuache tu unadunda?

Haki ya Mungu
 
Hizi ndio kauli za kiume. Mtenda maovu anapaswa kufunzwa na vitendo pia. Kingu hata kama hawawezi kumvizia na kumfunza adabu kama wanavyofunza vibaka jee yeye hana familia?

Akisikia mke wake au mwanae kacharazwa viboko vya kutosha kutokana na yeye anavyotesa ndugu wa wenzake mnadhani atarudia tena?

Au wengine nao watafanya hivyo? Watu waache tabia za kusema "namwachia Mungu", yeye anazo kazi nyingi haya mengine ni yetu wenyewe.

Sabaya alikuwa anachekewa mpaka akawa anakata watu masikio, waendelee kumchekea Kingu wataona.

Tunataka kusikia kilio cha Kingu wiki hii afunzwe adabu.
Hajaoa,anatembeaga na vitoto vya form four
 
Ushauri wa bure: Tit for tat, ikiwa huyu mwanaharam ana familia yake, iwe mke, watoto au yeyote mwenye ana shea damu naye wafanyiziwe kwanza afu baadae ndo afuate kufanyiziwa huyo mbunge feki.

Baya litalipwa kwa baya, hawa watu waovu tumeshawachoka sasa kila siku wao tu.

Nipo Singida naomba nielekezwe taarifa zaidi kumhusu huyo mwanaharam, familia yake na wapi naweza kuwapata, bila malipo!
 
Ndio tabia ya waovu.
Hutanguliza misaada kuficha uovu wao.
Kitendo cha kupeleka misaada kwenye jimbo lisilo lake ilikuwa mbinu ya kuonyesha Lissu sio chochote.

Hivi unaujia umasikini wa Singida magharibi?
Umewahi kusikia amesaidia kitu gani?
Vile vitanda vilienda kupigwa picha tu vikarudi.
Singida Magharibi Hanna hata sehemu ya kupeleka hivyo vitanda.

Jamaa aliwahi kumchezea mama mchezo kipindi bado vice kwa kumwambia azindue vitanda vya mabweni ya shule ya sekondari utaho kwaajili ya wasichana, lakini ukweli hata utaho hamna hata Chumba moja Cha bweni
 
Vile vitanda vilienda kupigwa picha tu vikarudi.
Singida Magharibi Hanna hata sehemu ya kupeleka hivyo vitanda.

Jamaa aliwahi kumchezea mama mchezo kipindi bado vice kwa kumwambia azindue vitanda vya mabweni ya shule ya sekondari utaho kwaajili ya wasichana, lakini ukweli hata utaho hamna hata Chumba moja Cha bweni
Ni mtu wa hovyo mnoo
 
Hakuna hata Mbunge mmoja wa kupeleka hoja huyu mtu achukuliwe hatua za kinidhamu au huu utaratibu haupo?
 
Hivi ndugu wa huyo mwanachadema hawana vitendea kazi?,panga,nyundo,shoka,rungu,upinde na mishale nk
Basi tumieni hata mbinu nyingine
Aisee kama ni mimi ndugu yangu kafanyiwa hivyo baada ya siku tatu mngezika huyo anayejiita elibarik kingu.
 
Huyu mpuuzi na bado anaitwa mheshimiwa!
Hivi kweli hii ni halali kweli?
Hivi haya mambo hadi lini jamani?
mapolisi wetu ndio hao tena hata kuchukua hatua hakuna, mbona uonevu mkubwa hivi?
Please please wananchi wote tuinuke kulaani huu upuuzi na tumsaidie huyu raia hadi sheria ichukue mkondo wake.
 
Huyu bwana aliyejeruhiwa anazidi kuumia zaidi na zaidi. Mpaka sasa sijawasikia CHADEMA wakitoa taarifa rasmi (kama ipo itakuwa wamefanya vizuri) ni namna gani atapatiwa huduma kwa haraka sana. Badala yake huko "tweeter" naona tu baadhi ya viongozi na wanachama maarufu wa CHADEMA nao wameingia kwenye mkumbo wa kulalamika tu sijui mtuhumiwa akamatwe mara ashtakiwe. Kama chama hakina uwezo wala fungu la kuhudumia wahanga kama hawa hivi kweli wameshindwa walau hata kuhamasisha wasamaria wema wamchangie? Hata jambo dogo kama hili linashindikana vipi kwa chama kkikubwa kama CHADEMA.

Hayo masuala ya sijui nani kampiga kamsababishia hayo matatizo sijui kwa sababu ya kuinua vidole viwili juu kwa sasa sio muhimu kabisa lililo kubwa na la muhimu kwa sasa ni huyo mgonjwa apate huduma haraka sana iwe kwa fedha za CHAMA au kuhamasisha raia wema wamchangie. Hayo mengine yaje baadae wakati mtu ameshapata matibabu. Nakaa najiuliza hivi wakati Lisu anapata matatizo wale waliokuwa karibu pale Dodoma wangeanza mjadala badala ya kumuwahisha Nairobi leo hii Lisu angekuwepo? CHADEMA muwahisheni huyo mgonjwa hospitalini kwanza hayo mengine ya mashataka/uchunguzi yaje baadae vinginevyo mnavyoendelea kumuacha bila matibabu mnawafikirisha sana makamanda wenu walio mstari wa mbele kukipambania chama chenu.

Kwa CHADEMA kuchelewa kuingilia kati matibabu ya huyu mgonjwa na hata hali ilivyokuwa kwa kuchelewa kumchangia Profesa J kwa kweli inawapasa wabadilike haraka sana vinginevyo makamanda watakuwa wanajiuliza mara mbili mbili ikifika wakati wa kukipambania chama.
 
Back
Top Bottom