Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

So hata Ofisini ukinyimwa mshahara usi complain coz bosi akikufanyizia ukatupwa jela Mama Yako ndio atateseka kukutoa?

Don't justify upuuzi, huwezi halalisha uhalifu eti kisa tu Mama Yako ndio atahangaika!! Kwani Mbowe alipowekwa ndani kuna mwana chadema aliingia naye? Au Lissu alivyopigwa risasi kuna mwana Chadema alipigwa naye?

Ukishaamua kuingia kwenye power struggle hizo risk hazikwepeki lakini huwezi justify watu kushindwa kupractice demokrasia eti kisa unaji expose kwenye risk!! Toka lini haki ya kikatiba ikawa risk?

soma vizuri uelewe, kila mtu anajua kilichofanyika ni kitendo kibaya na cha kinyama just kwa kijana kunyoosha tu vidole viwili.... lakini tambua ndio kashaumia tena kwenye ubongo na inayoteseka ni familia pekee tena familia yenye hali ngumu kimaisha..

Point yangu ipo hapa, uharakati sio lazima kila mahala uchukue risk na lazima utambue mazingira na watu unaopambana nao...... siwezi kumzomea au kumuonyesha ishara adui yangu huku nikijua atanidhuru na sina uwezo wa kumzuia lakini pia akiniua kama mwanaharakati nitakuwa nimekufa kizembe, sasa kwanini baadala yake nisivae bomu nikaenda kufa nao wakiwa bungeni? ...

Ni sawa na askari kujisalimisha huku ukijua unaojipelela kwao watakuua tu hakuna lugha ya mateka kwao, sasa kwanini usipigane nawewe ukaua kadhaa ili ukifa unakuwa angalau umetoa msaada..

Huyu jamaa aliyeumizwa huoni ingekuwa faida kwa wanaharakati kama hata angerusha bomu la petrol na kuwaua hao jamaa na jamii ikajua sasa watu wanahasira kuliko.....askari unapokuwa vitani unapaswa kupima matendo yako dhidi ya adui ili usijiexpose adui akakupoteza na kupunguza idadi ya askari...
 
Hao ndio vijana wa Magu kama alivyokuwa Sabaya. Lakini badala ya kusubiri eti sheria itakuja kumfundisha anapaswa afundishwe yeye mwenyewe au kupitia wanaomhusu.
Waliendekeza Ushenzi sana ndiyo maana wengine wako jela miaka 30. Walidhani waliowatuma ni Mungu
 
soma vizuri uelewe, kila mtu anajua kilichofanyika ni kitendo kibaya na cha kinyama just kwa kijana kunyoosha tu vidole viwili.... lakini tambua ndio kashaumia tena kwenye ubongo na inayoteseka ni familia pekee tena familia yenye hali ngumu kimaisha..

Point yangu ipo hapa, uharakati sio lazima kila mahala uchukue risk na lazima utambue mazingira na watu unaopambana nao...... siwezi kumzomea au kumuonyesha ishara adui yangu huku nikijua atanidhuru na sina uwezo wa kumzuia lakini pia akiniua kama mwanaharakati nitakuwa nimekufa kizembe, sasa kwanini baadala yake nisivae bomu nikaenda kufa nao wakiwa bungeni? ...

Ni sawa na askari kujisalimisha huku ukijua unaojipelela kwao watakuua tu hakuna lugha ya mateka kwao, sasa kwanini usipigane nawewe ukaua kadhaa ili ukifa unakuwa angalau umetoa msaada..

Huyu jamaa aliyeumizwa huoni ingekuwa faida kwa wanaharakati kama hata angerusha bomu la petrol na kuwaua hao jamaa na jamii ikajua sasa watu wanahasira kuliko.....askari unapokuwa vitani unapaswa kupima matendo yako dhidi ya adui ili usijiexpose adui akakupoteza na kupunguza idadi ya askari...
Nchi ilifika pabaya sana kwakweli. Hawa wahalifu watafutwe jinai haiozi
 
Hi Kamanda!

Kamanda Malisa pole na hongera sana kwa kazi ya Utume unayoifanya ya kuihudumia jamii ya Watanzania. Mungu akulipe kila lililo jema.

Kamanda Malisa mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Singida Wilaya ya Ikungi kutoka Kijiji cha Minyughe. Tuna ndugu yetu aitwaye Petter Mtinangi ambaye alikua ni Kamanda mwenzetu alikua Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Minyughe, alishambuliwa vibaya sana na Mbunge wetu wa jimbo la Singida Magharibi E. Kingu akiwa na timu yake wakamuingiza kwenye gali wakaanza kumpiga na kumuumiza vibaya sana maeneo ya kichwa hata kumuingilia kimaumbile ndani ya gali walilokuwa wakisafilia.

Haya ni maelezo Mhusika mwenyewe Petter Mtinangi. Sababu ni kwamba yeye Petter alinyanyua vidole viwili kama ishala ya CHADEMA au haki wakati mbunge anapita na timu yake wakiwa zialani, hakuna sababu nyingine zaidi ya hiyo hata ukiuliza wananchi wote waliokuwepo kwenye eneo hili.

Alifanyiwa tukio la kinyama sana kisha wakampeleka kituo cha polisi Ikungi na kumfungulia kesi ya kushambulia gali ya Mbunge bila kujali wamempiga na kumuumiza vibaya sana.

Kule mahakamani walitishia kumfunga wakamwambia salama yake ni kuhamia CCM na kukanusha aliyofanyiwa na mbunge, alihamia CCM wakamfutia kesi mala moja hata hawakumhudumia hata kumpa japo panado akiwa mgonjwa. Alipoona amefutiwa Mashtaka akarudi tena CHADEMA kuendeleza akijua hana kesi tena. Pamoja na yote CHADEMA hakikusaidia wala CCM hawakusaidia.

Cha ajabu na cha kushangaza sana Mbunge akiambiwa kua taalifa za kitabibu alikokuwa akipatiwa matibabu swali zinaonyesha hali aliyonayo inatokana na kupigwa na kuumizwa vibaya kichwani kupelekea mishipa ya ubongo wake inayohusika na macho kuona haifanyi kazi na kupelekea kupelekea kupofuka macho lakini mbunge Kingu anajibu kwa zalau kwamba mtu aliyepigwa anapofuka macho? Inaumiza sana.

Baada ya hapo Mama yake ambaye hana uwezo ni mfagizi tu wa zahanati ya minyughe anahangaika kuomba misaada kupitia watu anaowajuwa zilipatikana pesa kidogo akapelekwa Hospitali ya Muhimbili akafanyiwa upasuaji wa kichwa kwa mala ya kwanza na akaambiwa waludi tena kumalizia upasuaji wa mala ya pili ili tatizo litibiwe lote maana lilikua kubwa sana. Mama alishachoka Kaka Malisa na mgonjwa hivi sasa yupo hoi Kitandani Mama yake amebakia analia tu nyumbani asijue afanye nini. CCM Wilaya wamebakia kuitishia amani hiyo familia wafunge midomo yao.

Viongozi wa chadema Wilaya wanaenda kumjulia hali mala moja moja lakini hawatoi msaada wa matibabu wala Kisheria kumshtaki Mbunge na genge lake.

Taalifa zote kuhusu tatizo la ndugu Petter Mtinangi CHADEMA mkoa na wilaya hadi kanda wanazo, CCM Wilaya na mkoa wanazo pia lakini hakuna hata mmoja anayeshughulikia na mgonjwa huyu.

KUPITIA KAZI YAKO KAKA MALISA TUPIA JICHO LA PEKEE KWA HUYU KAMANDA ALIYEKIHUDUMIA CHAMA MUDA MLEFU APATE MDAADA WA MATIBABU JAMANI. TUSIMWACHE APOTEZE MAISHA KWA SABABU YA TAMAA YA MADALAKA YA MTU MMOJA. KWA MUJIBU WA TAALIFA ZA NDUGU ZAKE WANASEMA IKIPATIKANA MILION 5 TU INATOSHA KAMANDA WANGU

POLE SANA NAJUA UNA MAJUKUMU MENGI SANA LAKINI USITUCHOKE KAMANDA MAANA KALAMA HII UMEPEWA NA MUNGU.

NIMEWEKA NA PICHA ZA MGONJWA APA CHINI UNAWEZA KUPITIA KWA MUDA WAKO.
Mbwa mwitu aliyevaa ngozi ya kondoo. Ni wa kukemewa na kuadabishwa sawa sawa mpuuzi huyu
 
Siasa ni vita!?
WanaCCM wa kizazi hiki ndio mnaona siasa ni vita kwa sababu hamna uwezo wa kujenga hoja.
Mawazo aliwazidi kwa hoja mkaona mtumie mapanga.
Lissu mkatumia risasi.
Kuonyesha vidole viwili ni kosa la kumpa mtu ulemavu!!??
Hawa jamaa hawana akili kabisa
 
soma vizuri uelewe, kila mtu anajua kilichofanyika ni kitendo kibaya na cha kinyama just kwa kijana kunyoosha tu vidole viwili.... lakini tambua ndio kashaumia tena kwenye ubongo na inayoteseka ni familia pekee tena familia yenye hali ngumu kimaisha..

Point yangu ipo hapa, uharakati sio lazima kila mahala uchukue risk na lazima utambue mazingira na watu unaopambana nao...... siwezi kumzomea au kumuonyesha ishara adui yangu huku nikijua atanidhuru na sina uwezo wa kumzuia lakini pia akiniua kama mwanaharakati nitakuwa nimekufa kizembe, sasa kwanini baadala yake nisivae bomu nikaenda kufa nao wakiwa bungeni? ...

Ni sawa na askari kujisalimisha huku ukijua unaojipelela kwao watakuua tu hakuna lugha ya mateka kwao, sasa kwanini usipigane nawewe ukaua kadhaa ili ukifa unakuwa angalau umetoa msaada..

Huyu jamaa aliyeumizwa huoni ingekuwa faida kwa wanaharakati kama hata angerusha bomu la petrol na kuwaua hao jamaa na jamii ikajua sasa watu wanahasira kuliko.....askari unapokuwa vitani unapaswa kupima matendo yako dhidi ya adui ili usijiexpose adui akakupoteza na kupunguza idadi ya askari...
Mfano wa askari sio sahihi maana yule anakuja kivita so akionekana atadhurika tu ila sasa mtu anaye process demokrasia naye Una linganisha na vita?? Kwani kusema ww ni chadema ni kosa kisheria? Kwamba Wapiga kura wake wote ni CCM?
Get serious..... Alichofanya huyo mbunge sio haki so usi justify. Ni kama useme mtu amekaa kibarazani afu kavamiwa na majambazi. Baadae mseme ooh mwanaume unakaaje kibarazani!!! As if kukaa kibarazani kwako ni kosa!

Tusihalalishe uhuni kwa justification yoyote ile kumbuka Leo ni yye kesho ni wwe. Una ndugu wangapi? Ukisikia ndugu Yako kapewa kesi ya ubakaji kisa hajaipigia kura CCM na ww utakuja kumtukana humu kwa alijitakia mwenyewe?

Umenishangaza sana
 
Kuna shutuma kubwa sana dhidi ya Mbunge wa Singida Singida Magharibi ndugu Elibariki Kingu. Anashtumiwa yeye na kundi lake kumpiga, kumlawiti na kumbambikizia kesi kiongozi wa CHADEMA huko mkoani Singida Wilaya ya Ikungi kata ya Minyughe. Aliyepigwa na kufanyiwa vitendo vyote hivyo alikua Katibu wa CHADEMA kata ya Minyughe ndg Petter Tamael Mtinangi.

Haya maelezo ni kwa mujibu wa mgonjwa mwenyewe na familia yake na hana msaada wote kutoka CHADEMA au CCM waliompiga. Yupo mahututi hivi sasa ana hali mbaya sana.Alifanikiwa kupata msaada kwa wasamaria wema wakimsaidia kwa uwezo wao lakini hali yake haikutengamaa na Mhe mabunge yupo anaendeleza meno na vitisho pamoja na dharau zake dhidi ya mgonjwa pamoja na familia yake.

Inasikitisha sana kuona kuna watu wanatafuta madaraka kwa damu za watanzania wenzao. Kingu amefanya kitendo cha kikatili sana kitu ambacho si cha kufumbiwa macho.
 

Attachments

  • VID-20220330-WA0046.mp4
    11.3 MB
  • VID-20220330-WA0047.mp4
    5.7 MB
  • VID-20220330-WA0046.mp4
    11.3 MB
Kwann vyombo husika vipo kmya kuhusu ili swala, au wanamuogopa?
 
Kuna shutuma kubwa sana dhidi ya Mbunge wa Singida Singida Magharibi ndugu Elibariki Kingu. Anashtumiwa yeye na kundi lake kumpiga, kumlawiti na kumbambikizia kesi kiongozi wa CHADEMA huko mkoani Singida Wilaya ya Ikungi kata ya Minyughe. Aliyepigwa na kufanyiwa vitendo vyote hivyo alikua Katibu wa CHADEMA kata ya Minyughe ndg Petter Tamael Mtinangi.

Haya maelezo ni kwa mujibu wa mgonjwa mwenyewe na familia yake na hana msaada wote kutoka CHADEMA au CCM waliompiga. Yupo mahututi hivi sasa ana hali mbaya sana.Alifanikiwa kupata msaada kwa wasamaria wema wakimsaidia kwa uwezo wao lakini hali yake haikutengamaa na Mhe mabunge yupo anaendeleza meno na vitisho pamoja na dharau zake dhidi ya mgonjwa pamoja na familia yake.

Inasikitisha sana kuona kuna watu wanatafuta madaraka kwa damu za watanzania wenzao. Kingu amefanya kitendo cha kikatili sana kitu ambacho si cha kufumbiwa macho.
Duh!
Kwani afande Nyakoro siro anasemaje?
 
Kuna shutuma kubwa sana dhidi ya Mbunge wa Singida Singida Magharibi ndugu Elibariki Kingu. Anashtumiwa yeye na kundi lake kumpiga, kumlawiti na kumbambikizia kesi kiongozi wa CHADEMA huko mkoani Singida Wilaya ya Ikungi kata ya Minyughe. Aliyepigwa na kufanyiwa vitendo vyote hivyo alikua Katibu wa CHADEMA kata ya Minyughe ndg Petter Tamael Mtinangi.

Haya maelezo ni kwa mujibu wa mgonjwa mwenyewe na familia yake na hana msaada wote kutoka CHADEMA au CCM waliompiga. Yupo mahututi hivi sasa ana hali mbaya sana.Alifanikiwa kupata msaada kwa wasamaria wema wakimsaidia kwa uwezo wao lakini hali yake haikutengamaa na Mhe mabunge yupo anaendeleza meno na vitisho pamoja na dharau zake dhidi ya mgonjwa pamoja na familia yake.

Inasikitisha sana kuona kuna watu wanatafuta madaraka kwa damu za watanzania wenzao. Kingu amefanya kitendo cha kikatili sana kitu ambacho si cha kufumbiwa macho.
Hivi kweli, wanaume tumefika huko! Mtu mzima ati kalawitiwa linaonekana ni jambo la kawaida! Siamini nilichokisoma
 
..Kama ni kweli huu ndio wakati wa Kibatala et al kuonesha kuwa wanaupiga mwingi! isiwe wao ni mawakili wa makao mkuu pekee yake!
 
siisiiemu na poolishiiishiiem ni kitu kimoja hakuna wa kuwatenganisha na ndoa yao ilihalalishwa na jamaa yuleeeeeeeeeeee aliyetangulia mbele za haki, poleni sana
 
Dah ... Mungu atatenda ungeweka na utaratibu namna ya kumchangia ama ungewasiliana na uongozi wa JF wakupe mwongozo sahihi
Kama ni CHADEMA damu damu, CHADEMA imefanya nini kumsaidia?Mbona viongozi wa juu wanasaidiwa kwa nini huyu wamemtupa?
 
Back
Top Bottom