Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

Alipeleka

vitanda vya wagonjwa jimboni kwa lisu wakati lisu anaumwa!
Watu wa singida bhana!
Ndio tabia ya waovu.
Hutanguliza misaada kuficha uovu wao.
Kitendo cha kupeleka misaada kwenye jimbo lisilo lake ilikuwa mbinu ya kuonyesha Lissu sio chochote.

Hivi unaujia umasikini wa Singida magharibi?
Umewahi kusikia amesaidia kitu gani?
 
Ninyi watubwa Ikungi ni wapole sana hata cha kumfanya huyo mbunge hamjui? Mnamchekea tu anazidi kuumiza ndugu zenu na uenda kuna aliowaua kabisa. Ushenzi huu mnauvumilia vipi?
 
ukitumia akili kuna mahala utaelewa, sio kila vita unapaswa kujiexpose kwenye risk, kuna wakati lazima ufanye hesabu vizuri kufanikisha unachotaka kufanikisha.... Haya jamaa kaumia anayeteseka ni mama yake tena hali yake kimaisha ndio hivyo tena...

Mtoa mada katuambia si CDM wala CCM anayetoa msaada....kuna wakati lazima ufanye proper calculations kwenye kila hatua za harakati zako sio kwenda kwenda hovyo eti uitwe shujaa..
Siasa ni vita!?
WanaCCM wa kizazi hiki ndio mnaona siasa ni vita kwa sababu hamna uwezo wa kujenga hoja.
Mawazo aliwazidi kwa hoja mkaona mtumie mapanga.
Lissu mkatumia risasi.
Kuonyesha vidole viwili ni kosa la kumpa mtu ulemavu!!??
 
Hi Kamanda!

Kamanda Malisa pole na hongera sana kwa kazi ya Utume unayoifanya ya kuihudumia jamii ya Watanzania. Mungu akulipe kila lililo jema.

Kamanda Malisa mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Singida Wilaya ya Ikungi kutoka Kijiji cha Minyughe. Tuna ndugu yetu aitwaye Petter Mtinangi ambaye alikua ni Kamanda mwenzetu alikua Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Minyughe, alishambuliwa vibaya sana na Mbunge wetu wa jimbo la Singida Magharibi E. Kingu akiwa na timu yake wakamuingiza kwenye gali wakaanza kumpiga na kumuumiza vibaya sana maeneo ya kichwa hata kumuingilia kimaumbile ndani ya gali walilokuwa wakisafilia.

Haya ni maelezo Mhusika mwenyewe Petter Mtinangi. Sababu ni kwamba yeye Petter alinyanyua vidole viwili kama ishala ya CHADEMA au haki wakati mbunge anapita na timu yake wakiwa zialani, hakuna sababu nyingine zaidi ya hiyo hata ukiuliza wananchi wote waliokuwepo kwenye eneo hili.

Alifanyiwa tukio la kinyama sana kisha wakampeleka kituo cha polisi Ikungi na kumfungulia kesi ya kushambulia gali ya Mbunge bila kujali wamempiga na kumuumiza vibaya sana.

Kule mahakamani walitishia kumfunga wakamwambia salama yake ni kuhamia CCM na kukanusha aliyofanyiwa na mbunge, alihamia CCM wakamfutia kesi mala moja hata hawakumhudumia hata kumpa japo panado akiwa mgonjwa. Alipoona amefutiwa Mashtaka akarudi tena CHADEMA kuendeleza akijua hana kesi tena. Pamoja na yote CHADEMA hakikusaidia wala CCM hawakusaidia.

Cha ajabu na cha kushangaza sana Mbunge akiambiwa kua taalifa za kitabibu alikokuwa akipatiwa matibabu swali zinaonyesha hali aliyonayo inatokana na kupigwa na kuumizwa vibaya kichwani kupelekea mishipa ya ubongo wake inayohusika na macho kuona haifanyi kazi na kupelekea kupelekea kupofuka macho lakini mbunge Kingu anajibu kwa zalau kwamba mtu aliyepigwa anapofuka macho? Inaumiza sana.

Baada ya hapo Mama yake ambaye hana uwezo ni mfagizi tu wa zahanati ya minyughe anahangaika kuomba misaada kupitia watu anaowajuwa zilipatikana pesa kidogo akapelekwa Hospitali ya Muhimbili akafanyiwa upasuaji wa kichwa kwa mala ya kwanza na akaambiwa waludi tena kumalizia upasuaji wa mala ya pili ili tatizo litibiwe lote maana lilikua kubwa sana. Mama alishachoka Kaka Malisa na mgonjwa hivi sasa yupo hoi Kitandani Mama yake amebakia analia tu nyumbani asijue afanye nini. CCM Wilaya wamebakia kuitishia amani hiyo familia wafunge midomo yao.

Viongozi wa chadema Wilaya wanaenda kumjulia hali mala moja moja lakini hawatoi msaada wa matibabu wala Kisheria kumshtaki Mbunge na genge lake.

Taalifa zote kuhusu tatizo la ndugu Petter Mtinangi CHADEMA mkoa na wilaya hadi kanda wanazo, CCM Wilaya na mkoa wanazo pia lakini hakuna hata mmoja anayeshughulikia na mgonjwa huyu.

KUPITIA KAZI YAKO KAKA MALISA TUPIA JICHO LA PEKEE KWA HUYU KAMANDA ALIYEKIHUDUMIA CHAMA MUDA MLEFU APATE MDAADA WA MATIBABU JAMANI. TUSIMWACHE APOTEZE MAISHA KWA SABABU YA TAMAA YA MADALAKA YA MTU MMOJA. KWA MUJIBU WA TAALIFA ZA NDUGU ZAKE WANASEMA IKIPATIKANA MILION 5 TU INATOSHA KAMANDA WANGU

POLE SANA NAJUA UNA MAJUKUMU MENGI SANA LAKINI USITUCHOKE KAMANDA MAANA KALAMA HII UMEPEWA NA MUNGU.

NIMEWEKA NA PICHA ZA MGONJWA APA CHINI UNAWEZA KUPITIA KWA MUDA WAKO.
Ni kweli sisi wenye tunalijua hili tukio na wahusika ni Kingu mwenyewe, Karibu wake aitwaye Muna, Mwenyekiti wa UVCCM kata ya Puma, green guard kadhaa ndio walitaka kumuuwa Petter. Kingu ni zaidi ya muuwaji
 
Wanaharakati wa haki za binadamu na wenye uwezo tunaweza kumsaidia huyu ndugu binafsi nimeguswa na hili kwakweli
 
Jeshi la polisi mnaweza kumkamata huyu mbunge ashtakiwe mahakamani na amtibie mgonjwa. Siyo yeye anakula kiyoyozi kwa damu za watu.
 
Ni kweli sisi wenye tunalijua hili tukio na wahusika ni Kingu mwenyewe, Karibu wake aitwaye Muna, Mwenyekiti wa UVCCM kata ya Puma, green guard kadhaa ndio walitaka kumuuwa Petter. Kingu ni zaidi ya muuwaji
Endeleeni kulea ujinga huu na maumivu yatazidi kwa nguvu sana.
Watu mnawajua, kama Polisi hawatoi ushirikiano kwa nini msiwafanye kama mfanyiavyo vibaka?
Mbona kupiga vibaka waibq kuku hamuombi kibali polisi? Yaani mnaona kuku anathamani kubwa kuliko binadamu?
Chezesheni Kichapo kwa Kingu, Muna au Suphian Juma maana ndio wote wahalifu wasiojali wengine kwa vile hawaiungi mkono ccm.
 
ukitumia akili kuna mahala utaelewa, sio kila vita unapaswa kujiexpose kwenye risk, kuna wakati lazima ufanye hesabu vizuri kufanikisha unachotaka kufanikisha.... Haya jamaa kaumia anayeteseka ni mama yake tena hali yake kimaisha ndio hivyo tena...

Mtoa mada katuambia si CDM wala CCM anayetoa msaada....kuna wakati lazima ufanye proper calculations kwenye kila hatua za harakati zako sio kwenda kwenda hovyo eti uitwe shujaa..
So hata Ofisini ukinyimwa mshahara usi complain coz bosi akikufanyizia ukatupwa jela Mama Yako ndio atateseka kukutoa?

Don't justify upuuzi, huwezi halalisha uhalifu eti kisa tu Mama Yako ndio atahangaika!! Kwani Mbowe alipowekwa ndani kuna mwana chadema aliingia naye? Au Lissu alivyopigwa risasi kuna mwana Chadema alipigwa naye?

Ukishaamua kuingia kwenye power struggle hizo risk hazikwepeki lakini huwezi justify watu kushindwa kupractice demokrasia eti kisa unaji expose kwenye risk!! Toka lini haki ya kikatiba ikawa risk?
 
Hizi ndio kauli za kiume. Mtenda maovu anapaswa kufunzwa na vitendo pia. Kingu hata kama hawawezi kumvizia na kumfunza adabu kama wanavyofunza vibaka jee yeye hana familia?

Akisikia mke wake au mwanae kacharazwa viboko vya kutosha kutokana na yeye anavyotesa ndugu wa wenzake mnadhani atarudia tena?

Au wengine nao watafanya hivyo? Watu waache tabia za kusema "namwachia Mungu", yeye anazo kazi nyingi haya mengine ni yetu wenyewe.

Sabaya alikuwa anachekewa mpaka akawa anakata watu masikio, waendelee kumchekea Kingu wataona.

Tunataka kusikia kilio cha Kingu wiki hii afunzwe adabu.
Kingu muuwaji tu huyu.Mnalawiti mwanaume mwenzio ni akili hizi au ushirikina tu huu?
 
Kingu muuwaji tu huyu.Mnalawiti mwanaume mwenzio ni akili hizi au ushirikina tu huu?
Hao ndio vijana wa Magu kama alivyokuwa Sabaya. Lakini badala ya kusubiri eti sheria itakuja kumfundisha anapaswa afundishwe yeye mwenyewe au kupitia wanaomhusu.
 
Back
Top Bottom