Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

Inasikitisha sana. Hivi inakuwaje unamfanyia binadamu mwenzako unyama kama huo kisa tu mmetofautiana itikadi? Ni lini watanzania tutafika mahali tuone kuwa kutofautiana itikadi jambo la kawaida tu kama ilivyo utani wa Simba na Yanga.

Na kama hizi taarifa ni sahihi kuwa alishambuliwa kwa kuwa alikuwa CHADEMA na taarifa zipo CHADEMA wilaya mpaka kanda hao viongozi wa Wilaya mpaka Kanda wamewajibika vipi kumsaidia kumpatia matibabu kamanda wao? Kama hawakuwa na uwezo wa kumapatia matibabu je wameshindwa hata kuhamasisha wanachadema walio karibu wamchangie matibabu kamanda mwenzao? Je hawaoni kuwa hii itawavunja moyo makamanda wengine kupambania chama chao?

Ushauri wangu kwa CHADEMA taifa kama mnapita hapa. Fanyeni juu chini tena haraka iwezekanavyo mmpatie matibabu kamanda wenu kwani mambo kama haya yanawavunja moyo makamanda wenu. Maana mtu anafikiria nikapambanie chama halafu nikipata tatizo familia ndio inihudumie na kama familia haina uwezo ndiyo imetoka hiyo.
 
Comments zako zote humu jamvini zinaashiria uko upande wa "mwenye nguvu mpishe".
Huo ni ujuha wa kiwango cha juu,hata kama nawe ni mmojawapo wa hao wanaotumika.

kuna mahala ukitumia akili vizuri utanielewa sana, ila ukiishi kishabiki huwezi kuelewa kitu..

Jamaa kaumia si CCM wala CDM wanaotoa msaada na anayeteseka ni mama yake mzazi mpaka wasamalia wema wanapaza sauti ili kijana apate msaada...

Alichofanyiwa sio sahihi, na waliotenda wametenda unyama, lakini kumbuka kabla hujafanya lolote kwenye mapigano lazima ujue unadeal na nani na ni wakati gani na mbinu gani utumie...

Harakati zisikufanye ujitoe mhanga pasipo uhitaji wa kujitoa mhanga ukatesa familia na wewe, leo hii hakuna anayetoa msaada zaidi ya makelele tu kwenye keyboard... msitoe watu kafara kwa kisingizio cha harakati na kunufaisha wajinga wachache waishi kwa neema na kugonga mvinyo.....

Kabla hujajitoa kwenye harakati lazima ujue unachopigania na unaupande unaoupigania, sio oyaoya na kufanywa mbuzi wa kafara uwe stepping stone ya watu kufanya yao...
 
Inasikitisha sana. Hivi inakuwaje unamfanyia binadamu mwenzako unyama kama huo kisa tu mmetofautiana itikadi? Ni lini watanzania tutafika mahali tuone kuwa kutofautiana itikadi jambo la kawaida tu kama ilivyo utani wa Simba na Yanga.

Na kama hizi taarifa ni sahihi kuwa alishambuliwa kwa kuwa alikuwa CHADEMA na taarifa zipo CHADEMA wilaya mpaka kanda hao viongozi wa Wilaya mpaka Kanda wamewajibika vipi kumsaidia kumpatia matibabu kamanda wao? Kama hawakuwa na uwezo wa kumapatia matibabu je wameshindwa hata kuhamasisha wanachadema walio karibu wamchangie matibabu kamanda mwenzao? Je hawaoni kuwa hii itawavunja moyo makamanda wengine kupambania chama chao?

Ushauri wangu kwa CHADEMA taifa kama mnapita hapa. Fanyeni juu chini tena haraka iwezekanavyo mmpatie matibabu kamanda wenu kwani mambo kama haya yanawavunja moyo makamanda wenu. Maana mtu anafikiria nikapambanie chama halafu nikipata tatizo familia ndio inihudumie na kama familia haina uwezo ndiyo imetoka hiyo.
Nadhani kuna tatizo hapo hivyo wafikishe taarifa makao makuu
 
Hi Kamanda!

Kamanda Malisa pole na hongera sana kwa kazi ya Utume unayoifanya ya kuihudumia jamii ya Watanzania. Mungu akulipe kila lililo jema.

Kamanda Malisa mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Singida Wilaya ya Ikungi kutoka Kijiji cha Minyughe. Tuna ndugu yetu aitwaye Petter Mtinangi ambaye alikua ni Kamanda mwenzetu alikua Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Minyughe, alishambuliwa vibaya sana na Mbunge wetu wa jimbo la Singida Magharibi E. Kingu akiwa na timu yake wakamuingiza kwenye gali wakaanza kumpiga na kumuumiza vibaya sana maeneo ya kichwa hata kumuingilia kimaumbile ndani ya gali walilokuwa wakisafilia.

Haya ni maelezo Mhusika mwenyewe Petter Mtinangi. Sababu ni kwamba yeye Petter alinyanyua vidole viwili kama ishala ya CHADEMA au haki wakati mbunge anapita na timu yake wakiwa zialani, hakuna sababu nyingine zaidi ya hiyo hata ukiuliza wananchi wote waliokuwepo kwenye eneo hili.

Alifanyiwa tukio la kinyama sana kisha wakampeleka kituo cha polisi Ikungi na kumfungulia kesi ya kushambulia gali ya Mbunge bila kujali wamempiga na kumuumiza vibaya sana.

Kule mahakamani walitishia kumfunga wakamwambia salama yake ni kuhamia CCM na kukanusha aliyofanyiwa na mbunge, alihamia CCM wakamfutia kesi mala moja hata hawakumhudumia hata kumpa japo panado akiwa mgonjwa. Alipoona amefutiwa Mashtaka akarudi tena CHADEMA kuendeleza akijua hana kesi tena. Pamoja na yote CHADEMA hakikusaidia wala CCM hawakusaidia.

Cha ajabu na cha kushangaza sana Mbunge akiambiwa kua taalifa za kitabibu alikokuwa akipatiwa matibabu swali zinaonyesha hali aliyonayo inatokana na kupigwa na kuumizwa vibaya kichwani kupelekea mishipa ya ubongo wake inayohusika na macho kuona haifanyi kazi na kupelekea kupelekea kupofuka macho lakini mbunge Kingu anajibu kwa zalau kwamba mtu aliyepigwa anapofuka macho? Inaumiza sana.

Baada ya hapo Mama yake ambaye hana uwezo ni mfagizi tu wa zahanati ya minyughe anahangaika kuomba misaada kupitia watu anaowajuwa zilipatikana pesa kidogo akapelekwa Hospitali ya Muhimbili akafanyiwa upasuaji wa kichwa kwa mala ya kwanza na akaambiwa waludi tena kumalizia upasuaji wa mala ya pili ili tatizo litibiwe lote maana lilikua kubwa sana. Mama alishachoka Kaka Malisa na mgonjwa hivi sasa yupo hoi Kitandani Mama yake amebakia analia tu nyumbani asijue afanye nini. CCM Wilaya wamebakia kuitishia amani hiyo familia wafunge midomo yao.

Viongozi wa chadema Wilaya wanaenda kumjulia hali mala moja moja lakini hawatoi msaada wa matibabu wala Kisheria kumshtaki Mbunge na genge lake.

Taalifa zote kuhusu tatizo la ndugu Petter Mtinangi CHADEMA mkoa na wilaya hadi kanda wanazo, CCM Wilaya na mkoa wanazo pia lakini hakuna hata mmoja anayeshughulikia na mgonjwa huyu.

KUPITIA KAZI YAKO KAKA MALISA TUPIA JICHO LA PEKEE KWA HUYU KAMANDA ALIYEKIHUDUMIA CHAMA MUDA MLEFU APATE MDAADA WA MATIBABU JAMANI. TUSIMWACHE APOTEZE MAISHA KWA SABABU YA TAMAA YA MADALAKA YA MTU MMOJA. KWA MUJIBU WA TAALIFA ZA NDUGU ZAKE WANASEMA IKIPATIKANA MILION 5 TU INATOSHA KAMANDA WANGU

POLE SANA NAJUA UNA MAJUKUMU MENGI SANA LAKINI USITUCHOKE KAMANDA MAANA KALAMA HII UMEPEWA NA MUNGU.

NIMEWEKA NA PICHA ZA MGONJWA APA CHINI UNAWEZA KUPITIA KWA MUDA WAKO.
Huyu mbunge inabidi akamatwe na kunyongwa tu, hana faida na nchi.

cc: Rais Samia, Mkuu wa Mkoa Singida, Kamanda Mkuu wa Polisi Singida
 
Hi Kamanda!

Kamanda Malisa pole na hongera sana kwa kazi ya Utume unayoifanya ya kuihudumia jamii ya Watanzania. Mungu akulipe kila lililo jema.

Kamanda Malisa mimi ni mwenyeji wa mkoa wa Singida Wilaya ya Ikungi kutoka Kijiji cha Minyughe. Tuna ndugu yetu aitwaye Petter Mtinangi ambaye alikua ni Kamanda mwenzetu alikua Mwenyekiti wa CHADEMA kata ya Minyughe, alishambuliwa vibaya sana na Mbunge wetu wa jimbo la Singida Magharibi E. Kingu akiwa na timu yake wakamuingiza kwenye gali wakaanza kumpiga na kumuumiza vibaya sana maeneo ya kichwa hata kumuingilia kimaumbile ndani ya gali walilokuwa wakisafilia.

Haya ni maelezo Mhusika mwenyewe Petter Mtinangi. Sababu ni kwamba yeye Petter alinyanyua vidole viwili kama ishala ya CHADEMA au haki wakati mbunge anapita na timu yake wakiwa zialani, hakuna sababu nyingine zaidi ya hiyo hata ukiuliza wananchi wote waliokuwepo kwenye eneo hili.

Alifanyiwa tukio la kinyama sana kisha wakampeleka kituo cha polisi Ikungi na kumfungulia kesi ya kushambulia gali ya Mbunge bila kujali wamempiga na kumuumiza vibaya sana.

Kule mahakamani walitishia kumfunga wakamwambia salama yake ni kuhamia CCM na kukanusha aliyofanyiwa na mbunge, alihamia CCM wakamfutia kesi mala moja hata hawakumhudumia hata kumpa japo panado akiwa mgonjwa. Alipoona amefutiwa Mashtaka akarudi tena CHADEMA kuendeleza akijua hana kesi tena. Pamoja na yote CHADEMA hakikusaidia wala CCM hawakusaidia.

Cha ajabu na cha kushangaza sana Mbunge akiambiwa kua taalifa za kitabibu alikokuwa akipatiwa matibabu swali zinaonyesha hali aliyonayo inatokana na kupigwa na kuumizwa vibaya kichwani kupelekea mishipa ya ubongo wake inayohusika na macho kuona haifanyi kazi na kupelekea kupelekea kupofuka macho lakini mbunge Kingu anajibu kwa zalau kwamba mtu aliyepigwa anapofuka macho? Inaumiza sana.

Baada ya hapo Mama yake ambaye hana uwezo ni mfagizi tu wa zahanati ya minyughe anahangaika kuomba misaada kupitia watu anaowajuwa zilipatikana pesa kidogo akapelekwa Hospitali ya Muhimbili akafanyiwa upasuaji wa kichwa kwa mala ya kwanza na akaambiwa waludi tena kumalizia upasuaji wa mala ya pili ili tatizo litibiwe lote maana lilikua kubwa sana. Mama alishachoka Kaka Malisa na mgonjwa hivi sasa yupo hoi Kitandani Mama yake amebakia analia tu nyumbani asijue afanye nini. CCM Wilaya wamebakia kuitishia amani hiyo familia wafunge midomo yao.

Viongozi wa chadema Wilaya wanaenda kumjulia hali mala moja moja lakini hawatoi msaada wa matibabu wala Kisheria kumshtaki Mbunge na genge lake.

Taalifa zote kuhusu tatizo la ndugu Petter Mtinangi CHADEMA mkoa na wilaya hadi kanda wanazo, CCM Wilaya na mkoa wanazo pia lakini hakuna hata mmoja anayeshughulikia na mgonjwa huyu.

KUPITIA KAZI YAKO KAKA MALISA TUPIA JICHO LA PEKEE KWA HUYU KAMANDA ALIYEKIHUDUMIA CHAMA MUDA MLEFU APATE MDAADA WA MATIBABU JAMANI. TUSIMWACHE APOTEZE MAISHA KWA SABABU YA TAMAA YA MADALAKA YA MTU MMOJA. KWA MUJIBU WA TAALIFA ZA NDUGU ZAKE WANASEMA IKIPATIKANA MILION 5 TU INATOSHA KAMANDA WANGU

POLE SANA NAJUA UNA MAJUKUMU MENGI SANA LAKINI USITUCHOKE KAMANDA MAANA KALAMA HII UMEPEWA NA MUNGU.

NIMEWEKA NA PICHA ZA MGONJWA APA CHINI UNAWEZA KUPITIA KWA MUDA WAKO.
Poleni sana mkuu.
Unamfahamu afisa elimu..Lelo?
 
Hapo ndipo tunapokosea.
Kama kesi haijafunguliwa tuna hukumu vipi!?
Shinyanga alikamatwa jangili(Nchambi kama sikosei) mmoja mwarabu ana bunduki 27 zaidi ya kituo cha polisi ana ua wanyama lakini alitoka ndani ya wiki 2, kamatwa wewe tu hata na mkia wa sungura kama hutoozea ndani.
 
sio rahisi kama unavyodhani.
Kuna watu wapo jela maisha kisa tu wamechoma kituo Cha polisi pale bunju A.
Tujaribu kwanza sheria
Hawezi kushinda kesi maana hana hela.

Chukua panga mgawane majengo ya serikali.

Itakuwa funzo kwa wote.
 
Fikiria jitu kama hilo Kingu, ikitokea siku moja limekufa, si baraka na nafuu kwa wananchi, japo na wao siku moja watakufa?

Kuna majitu yamelezaliwa hapa Duniani yakiwa na roho za uharibifu, haya kila siku kazi yao ni kuleta mateso kwa watu. Haya yanapopungua ni ahueni kwa wana wa Mungu. Tuombe sana, majitu ya namna hii yapungue au ikiwezekana yaishe.
 
Back
Top Bottom