Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

Ukatili na Unyama wa Mbunge wa CCM Singida Magharibi, Elibariki Kingu wailiza jamii

Ndiyo useme maridhiano kwa dk 10 halafu waende wakuu wa vyama pekee
 
Kama ni CHADEMA damu damu, CHADEMA imefanya nini kumsaidia?Mbona viongozi wa juu wanasaidiwa kwa nini huyu wamemtupa?
Saidia kwanza usihukumu haraka kabla ya kujua undani wote.. Walioumizwa ni wengi walioteswa ni wengi, waliotiwa ulemavu ni wengi, waliopotezwa ni wengi.. Tuko hapa kusaidia huyu mhitaji apate matibabu hatuko hapa kuhoji mbona hajasaidiwa na Fulani
 
Hiyo ndiyo Tanzania ya leo!

Kuna mambo kadhaa hayako sawa katika simulizi ya huyu ndugu.

Kwanza, ni kama chama ambacho yeye alikuwa ni mwanachama, tena kiongozi, hawakuwa na habari naye kabisa, tokea alipokamatwa na hilo genge la mbunge. Hapakuwepo kabisa na wanachama wenzake walioshuhudia mkasa mzima, na angalao watoe ushahidi wa haya anayosimulia hapa?
Hata aliokuwa anawaongoza walimtosa kabisa kama hakuwepo? Hata kule kushuhudia tu juu ya ukweli wa yanayosemwa?

Pili, hivi hizi hospitali zetu kweli tumefikia hali ya kutojali kabisa uhai wa binaadam wenzetu? Mtu kama huyu, taabani kabisa hawezi kupata huduma angalao hata ya kumpoza tu na maumivu yake?

Tatu, kama kweli alikuwa ni mwanachama na kiongozi ndani ya chama cha CHADEMA, chama chake hakikuwa na taarifa kabisa alipoburuzwa na genge la mbunge, kabla hajaambiwa atangaze kukihama chama hicho? CHADEMA wana taarifa yoyote juu ya mwanachama wao huyu kabla hajakitosa chama hicho ili kuepuka majanga mahakamani?

Hakuna mtu hata mmoja aliyekuwa anafuatalilia habari za huyu mtuili ifahamike kweli kwamba ilimlazimu atangaze kuhamia CCM? Hakuna kabisa?

Kama anayosema ni ya kweli, hakuna sheria yoyote inayoweza kumsaidia kuwafikisha mahakamani watu waliomtenda hivi?
 
Saidia kwanza usihukumu haraka kabla ya kujua undani wote.. Walioumizwa ni wengi walioteswa ni wengi, waliotiwa ulemavu ni wengi, waliopotezwa ni wengi.. Tuko hapa kusaidia huyu mhitaji apate matibabu hatuko hapa kuhoji mbona hajasaidiwa na Fulani
Kama ulivyoeleza hapo juu, inatakiwa atoe taarifa kamilifu wapi pa kuelekeza misaada.

Huyu aliyeleta mada hapa, pengine asaidie zaidi upande huo.
 
Polisi wako wapi katika hili?
Jibril alimuamuru Mapalala kuanzisha Upinzani .
 
Hakuna aliyejuu ya Sheria, na jinai haiozi, kipindi Cha Magufuli watu wa CCM walijifanya miungu watu waliweza kuteka, kuua, kulawiti na kukupa kesi za uongo.

Huyu Kingu kipindi Cha Kampeini za ubunge, alipita na msafara wake, basi kutokana na Imani tofauti za kisiasa Kuna mwananchi mmoja akanyosha vidole viwili kumaanisha Chadema.

Basi Kingu aligeuza gari, akiwa na wapambe wa CCM na asikari wakamteka yule baba, aliteswa, pigwa na kulawitiwa, yaani watu wa CCM wanafurahi kutesa, kuteka na kumlawiti mtu.maana hakuna aliyekemea au Kingu mwenyewe kuomba radhi

Huyu baba alipewa kesi ya uhujumu uchumi, wakampa mashariti ili aachiwe, inabidi ajiunge CCM na akiachiwa akae kimya. Ilibidi jamaa ajiunge CCM.

Lakini hadi Leo hawezi simama kumbe walimvunja uti wa mgongo, kuongea kwenyewe anaongea kwa tabu, hayo maelezo sio yangu ni muhusika mwenyewe, video yake imesambaa sana leo kwenye mitandao ya kijamii. Ata kina Lissu na Lema wamepost.

Kingu lazima ashitakiwe kwa kujaribu kuua, kutesa na kulawiti. No one is above the law
 
Aisee.

Kama kweli alifanyiwa hivyo wahusika walahamiwe pamoja na vizazi vyao.
 
Hakuna aliyejuu ya Sheria, na jinai haiozi, kipindi Cha Magufuli watu wa CCM walijifanya miungu watu waliweza kuteka, kuua, kulawiti na kukupa kesi za uongo.

Huyu Kingu kipindi Cha Kampeini za ubunge, alipita na msafara wake, basi kutokana na Imani tofauti za kisiasa Kuna mwananchi mmoja akanyosha vidole viwili kumaanisha Chadema.

Basi Kingu aligeuza gari, akiwa na wapambe wa CCM na asikari wakamteka yule baba, aliteswa, pigwa na kulawitiwa, yaani watu wa CCM wanafurahi kutesa, kuteka na kumlawiti mtu.maana hakuna aliyekemea au Kingu mwenyewe kuomba radhi

Huyu baba alipewa kesi ya uhujumu uchumi, wakampa mashariti ili aachiwe, inabidi ajiunge CCM na akiachiwa akae kimya. Ilibidi jamaa ajiunge CCM.

Lakini hadi Leo hawezi simama kumbe walimvunja uti wa mgongo, kuongea kwenyewe anaongea kwa tabu, hayo maelezo sio yangu ni muhusika mwenyewe, video yake imesambaa sana leo kwenye mitandao ya kijamii. Ata kina Lissu na Lema wamepost.

Kingu lazima ashitakiwe kwa kujaribu kuua, kutesa na kulawiti. No one is above the law
Wabunge wa Ndungai na Magufuri hawa.
 
Duh, na huyo mbunge bado yupo anapita mnamwangalia tu? Ninyi ni wapole sana lakini mimi huwezi kuniumizia ndugu yangu kiasi hiki nikakuacha salama. Nitakuwinda kama ndege popote pale, huu ni unyama siwezi kukuacha salama.
Hata mm walai nitahakisha nayey namzuru vibaya mno sijaona picha ila nikipata ushaid kuwa Ni mbuge ase duh acha tu
 
Mtuhumiwa yuko huru anakula bata
Alijibu hizo tuhuma na Savimbi akamjibu

Screenshot_20220405-193553_Instagram.jpg


Screenshot_20220405-193539_Instagram.jpg
 
Alijibu hizo tuhuma na Savimbi akamjibu

View attachment 2176996

View attachment 2177003
Unatumia nguvu bila akili,Kadaimondi enzi zile za mwendazake kaliimba wimbo mmoja eti,Hizi zama si za JK bali ni za JPM,na kakasema kwa kibwagizo kikuu ZILIPENDWAAAA,Sasa Kingu anaona bado yuko kwenye zama za magu ha ha ha ha,acha Mama Samiah na Kinana waendelee kuwaibisha.
 
Kingu na ramadhani igondu wafukuzwe bungeni ova

Ni wauhaji wao
 
Back
Top Bottom