Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyu ni Mbunge wa CCM katika ule mpango wa Mahera na Magufuli wa kuwapa ubunge watu waovu, wako wengi waliopewa ubunge wa namna hii akiwemo Ramadhan Ighondu.
Taarifa nchini Tanzania zinaonyesha kwamba Kijana Elibariki Kingu ambaye ni mbunge wa CCM amehusika kwenye unyama wa kuumiza na kuua wanachama na viongozi wa upinzani, Ushahidi usio na Shaka unazunguka kwenye mitandao yote unayoifahamu duniani lakini cha kushangaza mpaka sasa bado hajakamatwa wala kufikishwa mahakamani kwa unyama wa wazi alioutenda, Je analindwa na Polisi au analindwa na Mama Samia?
Je wananchi wakiamua kuchua sheria mkononi kuna wa kulaumiwa?
Taarifa nchini Tanzania zinaonyesha kwamba Kijana Elibariki Kingu ambaye ni mbunge wa CCM amehusika kwenye unyama wa kuumiza na kuua wanachama na viongozi wa upinzani, Ushahidi usio na Shaka unazunguka kwenye mitandao yote unayoifahamu duniani lakini cha kushangaza mpaka sasa bado hajakamatwa wala kufikishwa mahakamani kwa unyama wa wazi alioutenda, Je analindwa na Polisi au analindwa na Mama Samia?
Je wananchi wakiamua kuchua sheria mkononi kuna wa kulaumiwa?