DuhKuna mmoja karibia na hospital ya aghakan karibu karibu kila mwaka anazaa,watoto wefutana kama mapacha,na kuna baadhi ya matajiri matajiri wamepita nae,masharti ya waganga
Unaweza usikatae maana haiingii akilini kulala na mwendawazimu. Tamaa gani hizo??Kuna mmoja karibia na hospital ya aghakan karibu karibu kila mwaka anazaa,watoto wefutana kama mapacha,na kuna baadhi ya matajiri matajiri wamepita nae,masharti ya waganga
Sio kweli,Ila mara nyingi wanaofanya hayo ni watoto wa mtaaani, wanapokutana kwwnye maeneo y kulala ndiyo wanawatia mimba hawa vichaa, hata vitoto vya mtaani vya kike vinajazwa mimba na wenzao na sio mtu wa kawaida.
Katika Watanzania 4, watatu wana matatizo ya akiliHili jambo linasikitisha sana nakatiza mtaani hapa namkuta huyu dada mwendawazimu ni mja mzito kabisa tena inavyoonekana anakaribia kujifungua maana uja uzito wake ni mkubwa kabisa.
Jamani tupunguze tamaa ya ngono huu ni unyanyasaji mkubwa kwa watu wa aina hii.
You can imagine akipata uchungu nani yupo karibu yake amsaidie.
Atajua hata kuwa anakaribia kujifungua??
Atajua hata kuwa mtoto anahitaji kunyonya??
Jamani jamani. Kuna watu wazima kabisa na wanahitaji huduma na sio wendawazimu huu ni zaidi ya unyama.
Unamzungumziaje anayemlala maiti ikiwa mochwari au chumban inaoshwaUnaweza usikatae maana haiingii akilini kulala na mwendawazimu. Tamaa gani hizo??
Ndugu hujui hata hao wendawazi wanataka wenyewe wapelekewe moto, kuna mmoja yupo stand ya fluni ya mabasi akiwa na hamu atakusumbua mpaka ukampe anachohotajiUnaweza usikatae maana haiingii akilini kulala na mwendawazimu. Tamaa gani hizo??
Ni watanzania waishio Dar es salaam Mkuu, huku kwingine hali ni shwari kabisa.Katika Watanzania 4, watatu wana matatizo ya akili
Inawezekana huo ujazito aliupata akiwa na akili timamu.Hili jambo linasikitisha sana nakatiza mtaani hapa namkuta huyu dada mwendawazimu ni mja mzito kabisa tena inavyoonekana anakaribia kujifungua maana uja uzito wake ni mkubwa kabisa.
Jamani tupunguze tamaa ya ngono huu ni unyanyasaji mkubwa kwa watu wa aina hii.
You can imagine akipata uchungu nani yupo karibu yake amsaidie.
Atajua hata kuwa anakaribia kujifungua??
Atajua hata kuwa mtoto anahitaji kunyonya??
Jamani jamani. Kuna watu wazima kabisa na wanahitaji huduma na sio wendawazimu huu ni zaidi ya unyama.