Ukatili umezidi, hivi unampaje ujauzito mtu mwenye matatizo ya akili?

Ukatili umezidi, hivi unampaje ujauzito mtu mwenye matatizo ya akili?

Watu wanafumua mbususu ya mbuzi, kitimoto...wewe unashangaa kichaa kuwa na mimba!!!

Kuna raia wamepinda...
Mkuu usiniambie kuwa huwa tunafanya mboga wapenzi wa watu??
 
Hili jambo linasikitisha sana nakatiza mtaani hapa namkuta huyu dada mwendawazimu ni mja mzito kabisa tena inavyoonekana anakaribia kujifungua maana uja uzito wake ni mkubwa kabisa.

Jamani tupunguze tamaa ya ngono huu ni unyanyasaji mkubwa kwa watu wa aina hii.

You can imagine akipata uchungu nani yupo karibu yake amsaidie.

Atajua hata kuwa anakaribia kujifungua??

Atajua hata kuwa mtoto anahitaji kunyonya??

Jamani jamani. Kuna watu wazima kabisa na wanahitaji huduma na sio wendawazimu huu ni zaidi ya unyama.
1. Inawezekana aliyempa nae ana matatizo ya akili
2. Kichwa cha chini sometimes huwa kina maamuzi yake
 
Muda mwingine hua wanapeane wenyewe kwa wenyewe...
 
Ila mara nyingi wanaofanya hayo ni watoto wa mtaaani, wanapokutana kwwnye maeneo y kulala ndiyo wanawatia mimba hawa vichaa, hata vitoto vya mtaani vya kike vinajazwa mimba na wenzao na sio mtu wa kawaida.

Mwenye v8 atashindwa kupitanae?
 
Hakuna kosa hapo nae anasikia utamu huwezi jua huyo mtoto akaja kumkomboa
 
Usiwanyanyapae aisee, kuchikuchi ni haki ya msingi, tusibaguane.
Aluyempa mimba ajengewe mnara kwa kuondoa unyanyasaji wa kimaumbile

Sent from my SM-G955U using JamiiForums mobile app
 
Mkuu,
Kichwa Cha chini hakina ubongo (akili) brother[emoji4]

Kinaongozwa na uti wa mgongo, ambao kitaalam kazi yake ni kuongoza matendo yasiyo ya hiari.

Hilo la kuloweka kwa chizi nalo halikua hiari yake brother, Ndo maana mwishowe huwa Ni majuto na aibu(ndo maana wakishakojoa wanamkimbia)[emoji4]

Bora hata uyo,
Wengine wanaloweka Hadi kwa mbuzi, kuku, godoro, maiti, sabuni n.k

Juz juz apa tuliskia kesi ya jamaa kampelekea Moto punda jike mpk kafariki, Wee unadhan hapo Kuna akili ilitumika au?

Kwa wanawake kwao Ile kitu inaongozwa na kichwa Cha juu, ubongo.

Ndo maana wao Lazima watafakari Nani wa kumtunuku, Nani wakumnyima.
Akili yake isipokukubali hata hawezi kuloa, utajichosha TU labda umbake[emoji4]
unaonekana mzoefu wa kubaka wewe DP.

Tuseme shida huwa ni nini.

lol
 
Back
Top Bottom