Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Uache kuwala hawajui walifanyalo.Ndugu hujui hata hao wendawazi wanataka wenyewe wapelekewe moto, kuna mmoja yupo stand ya fluni ya mabasi akiwa na hamu atakusumbua mpaka ukampe anachohotaji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uache kuwala hawajui walifanyalo.Ndugu hujui hata hao wendawazi wanataka wenyewe wapelekewe moto, kuna mmoja yupo stand ya fluni ya mabasi akiwa na hamu atakusumbua mpaka ukampe anachohotaji
Nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri mambo, chizi anauwezo wa kulea mimba, kwenda clinic, kulea mtoto, kumhudumia na kumpa matunzo?Kwani asiye na akili hana haki ya kupata mtoto?tujikite zaidi kuangalia namna gani mtoto anaweza kukua kwa afya njema
Wavae kondom sasa!!sio kosa maana utamu anasikia
Isee wanajua sana utamu, ndiyo maana hawa vichaa hawagogwi hovyo na magari wanajua kuna kifoUache kuwala hawajui walifanyalo.
Sijawahi kubaka wala kujihusisha na ayo nlotaja Apo juu dada angu, sema yapo Sana kwny jamii na tunayashuhudia kila kukicha.unaonekana mzoefu wa kubaka wewe DP.
Tuseme shida huwa ni nini.
lol
Kuna wanaume aiseh akili zote zishahamia kweny vikengele vyaoHili jambo linasikitisha sana nakatiza mtaani hapa namkuta huyu dada mwendawazimu ni mja mzito kabisa tena inavyoonekana anakaribia kujifungua maana uja uzito wake ni mkubwa kabisa.
Jamani tupunguze tamaa ya ngono huu ni unyanyasaji mkubwa kwa watu wa aina hii.
You can imagine akipata uchungu nani yupo karibu yake amsaidie.
Atajua hata kuwa anakaribia kujifungua??
Atajua hata kuwa mtoto anahitaji kunyonya??
Jamani jamani. Kuna watu wazima kabisa na wanahitaji huduma na sio wendawazimu huu ni zaidi ya unyama.
Wewe ndo umeongea point.. Jaman machizi nao Wana ny*£g***Kwani asiye na akili hana haki ya kupata mtoto?tujikite zaidi kuangalia namna gani mtoto anaweza kukua kwa afya njema
Umeongea pointi ya msingi sana ila wengi hawatakuelewa.. unayoiona kwako siyo haki kwa mwenzako ni haki.Kwani asiye na akili hana haki ya kupata mtoto?tujikite zaidi kuangalia namna gani mtoto anaweza kukua kwa afya njema
This is too much sasa, si kweli bana mkuu haiwezekani hiiUnamzungumziaje anayemlala maiti ikiwa mochwari au chumban inaoshwa
IPO Sana mkuu [emoji4]This is too much sasa, si kweli bana mkuu haiwezekani hii
Wape hi hapo kahama mkuuKwenye uzi wa kula kimasikhara kuna jamaa alileta kisa jinsi alivyomla kichaa japo yule kichaa alitoweka maeneo yale. Mwingine naye akafunguka jinsi alivyomla nguruwe.
Hakuna ukomo wa matendo ya huyu Homo Sapiens - kiumbe mwenye "akili" sana!
Dah!...ushirikina ni uovuKuna mmoja karibia na hospital ya aghakan karibu karibu kila mwaka anazaa,watoto wefutana kama mapacha,na kuna baadhi ya matajiri matajiri wamepita nae,masharti ya waganga
Acha utaniKuna mmoja karibia na hospital ya aghakan karibu karibu kila mwaka anazaa,watoto wefutana kama mapacha,na kuna baadhi ya matajiri matajiri wamepita nae,masharti ya waganga
Unashangaa viwete tu??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] vijana wana laana mpaka viwete wanapelekea moto
DuhWatu wana laana
Kuna na kichaa wa kiume pale Feri Dar es salaam watu wamegeuza Mke wao na sasa kishakolezwa, muwasho ukimzidi anaenda kuwafanyia fujo Wavuvi hadi wamle ndio kichaa kinapoa…mara nyingi utamkuta tumbo wazi
FactKwani asiye na akili hana haki ya kupata mtoto?tujikite zaidi kuangalia namna gani mtoto anaweza kukua kwa afya njema
Hili jambo linasikitisha sana nakatiza mtaani hapa namkuta huyu dada mwendawazimu ni mja mzito kabisa tena inavyoonekana anakaribia kujifungua maana uja uzito wake ni mkubwa kabisa.
Jamani tupunguze tamaa ya ngono huu ni unyanyasaji mkubwa kwa watu wa aina hii.
You can imagine akipata uchungu nani yupo karibu yake amsaidie.
Atajua hata kuwa anakaribia kujifungua??
Atajua hata kuwa mtoto anahitaji kunyonya??
Jamani jamani. Kuna watu wazima kabisa na wanahitaji huduma na sio wendawazimu huu ni zaidi ya unyama.
Jamaa anaitwa Juma P Maharage[emoji28]Kwenye uzi wa kula kimasikhara kuna jamaa alileta kisa jinsi alivyomla kichaa japo yule kichaa alitoweka maeneo yale. Mwingine naye akafunguka jinsi alivyomla nguruwe.
Hakuna ukomo wa matendo ya huyu Homo Sapiens - kiumbe mwenye "akili" sana!
Nenda ata leo utamkutaAcha utani