Ukatili wa Bashar-Al-Assad ni wa kiwango kingine kabisa!

Ukatili wa Bashar-Al-Assad ni wa kiwango kingine kabisa!

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
94,296
Reaction score
122,540
Kwa muonekano wake, hafanani kabisa na yaliyokuwa yakifanyika chini ya utawala wake.

Katika gereza la Sednaya, kulikuwa na vyumba mbalimbali vya mateso.

Moja ya vyumba hivyo kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu [iron press] mpaka wanakuwa kama chapati!

Nisome tena: kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu mpaka wanakuwa tambarare [flat] kama chapati.

Ukatili wa Assad umepitiliza kabisa viwango vyote vya ukatili duniani.

Utamlazaje binadamu mwenzio kwenye limashine la kugandamiza halafu unamgandamiza anakuwa kama pancake?

Kwa kweli siwalaumu hata kidogo wale watu walioenda kulichoma moto kaburi la baba yake na Bashar.

Sikuwahi kuwaza huyo daktari wa macho alikuwa ni katili kiasi hicho.

Na siku akija kupatikana halafu na yeye pamoja na familia yake wakagandamizwa na hilo hilo limashine lao, wala sitajawa na huruma yoyote ile.


View: https://youtu.be/-V6fPXr32qo?si=dHG5TVdmJY2ikR58


View: https://youtu.be/5ictvq6r2N4?si=mbpzbZjiVfclVfjz
 
Yaani Mimi hata Gadaf Huwa nawashangaa sana wanaosema alionewa. Hawa madikteta ni makatiri sana .
A benevolent dictatorship is a government that has a leader considered by some as a dictator but has the support of the people, unlike a malevolent dictator who only focuses on them selves, their government and their supporters. In benevolent dictatorships, there is some freedom of speech and democracy.
 
....Roho za ushetani zinazowapa mamlaka ndo hizo zinazowafanya wawafanyie wanadamu wenzao ushenzi Kama huoo.

Kwa macho anapendeza ila Roho chafu haitazamiki, ukiua kwa upanga -utakufa kwa upanga neno(huwa linaishi). Hatima haiko mbali.

Kwa nyongeza tu: Vitu vingi Ni batili , haviko Kama vinavyoonekana kwa macho., Unaachoona kizuri kwa sababu hujaona upande wa pili na pindi huonapo tu, ungesema Bora usingejua ukweli ungebaki katika ulichokijua, maana vinaumiza.
 
....Roho za ushetani zinazowapa mamlaka ndo hizo zinazowafanya wawafanyie wanadamu wenzao ushenzi Kama huoo.

Kwa macho anapendeza ila Roho chafu haitazamiki, ukiua kwa upanga -utakufa kwa upanga neno(huwa linaishi). Hatima haiko mbali.

Kwa nyongeza tu: Vitu vingi Ni batili , haviko Kama vinavyoonekana kwa macho., Unaachoona kizuri kwa sababu hujaona upande wa pili na pindi huonapo tu, ungesema Bora usingejua ukweli ungebaki katika ulichokijua, maana vinaumiza.
Je, haijapata kuandikwa ya kwamba mamlaka zote hutoka kwa Muumba? Tena andiko lile hali-categorize ila lataja tu mamlaka bila sifa za ziada?

Tusemeje sasa? Kwamba, andiko lile ni questionable? Kwamba, halimaanishi mamlaka hizi tunazozifahamu? Kwamba, halimaanishi Muumba huyu anayejulikana? Au tusemeje?
 
Find a micro penis to fellate.
1734024328772.jpeg

Damn😂
 
Je, haijapata kuandikwa ya kwamba mamlaka zote hutoka kwa Muumba? Tena andiko lile hali-categorize ila lataja tu mamlaka bila sifa za ziada?

Tusemeje sasa? Kwamba, andiko lile ni questionable? Kwamba, halimaanishi mamlaka hizi tunazozifahamu? Kwamba, halimaanishi Muumba huyu anayejulikana? Au tusemeje?
Nadhani huenda linagusia mamlaka zinazotenda haki pekee.
 
Kwa muonekano wake, hafanani kabisa na yaliyokuwa yakifanyika chini ya utawala wake.

Katika gereza la Sednaya, kulikuwa na vyumba mbalimbali vya mateso.

Moja ya vyumba hivyo kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu [iron press] mpaka wanakuwa kama chapati!

Nisome tena: kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu mpaka wanakuwa tambarare [flat] kama chapati.

Ukatili wa Assad umepitiliza kabisa viwango vyote vya ukatili duniani.

Utamlazaje binadamu mwenzio kwenye limashine la kugandamiza halafu unamgandamiza anakuwa kama pancake?

Kwa kweli siwalaumu hata kidogo wale watu walioenda kulichoma moto kaburi la baba yake na Bashar.

Sikuwahi kuwaza huyo daktari wa macho alikuwa ni katili kiasi hicho.

Na siku akija kupatikana halafu na yeye pamoja na familia yake wakagandamizwa na hilo hilo limashine lao, wala sitajawa na huruma yoyote ile.


View: https://youtu.be/-V6fPXr32qo?si=dHG5TVdmJY2ikR58


View: https://youtu.be/5ictvq6r2N4?si=mbpzbZjiVfclVfjz

Wakina Ben Saanane kwani walifanywaje na utawala dhalimu?
 
Hahaha utashangaa kuna tawala zina mzidi Asad kwa mateso, unadhani kwanini unakuta Raia wanaogopa kuzikosoa tawala za nchi zao?

Yeye anatesa, huku kwetu tuna poteza kabisa, nani zaidi?
 
Siasa za mashariki ya kati zimemezwa na dini maeneo hayo. Jihad ipo koyekote kwa wa tawala na watawaliwa. Inapofanywa na watawala ndio huitwa udikteta na ikifanywa na watawaliwa tunaiiita uasi au ugaidi. Ili kuzielewa unahitaji muda nazo...
 
Back
Top Bottom