Ukatili wa Bashar-Al-Assad ni wa kiwango kingine kabisa!

Ukatili wa Bashar-Al-Assad ni wa kiwango kingine kabisa!

Assad alipokimbia nchi
Wasyria walioko ndani ya nchi na sehemu tofauti duniani wallshangilia sana
Assad tatizo lake alijiepusha na Iran bada ya kudanganywa na UAE na Saud Arabi, we hujui game ilio chezwa. Syria alifukuzwa katika Arab Legue sababu ya kuwa karibu na Iran. Walipo mshambulia mara ya kwanza Iran na Hezbullah walikuwa wanampa support. Alipo danganywa na warabu awachane na Iran ili warabu wampe support alitegemea hao warabu ndio watamlinda na Mrusi alimuambia Turkey hawezi kuwachia Rebels kuingia Syria. Kumbe Warabu na Turkey wanamsubiria awe mbali na Iran. Walipo anza wa Iran kuondoka Syria na Hezbullah ili Bashari arudi kwenye Arab Legue wakampokea na kujifanya wanampenda kumbe wanajianda, na yeye akawa anamini vita ndio basi tena sababu walio wasupport hao rebels mwanzo, wakajidai hawata wapa support Rebels, kumbe wanamlia timingi. Wakati Rebels wananza kushambulia, wakamuambia achague mawili, kufa au apewe chance ya kukimbia , Assad akatoa amri majeshi yake wasipigane, ili yeye awachiwe kukimbia. Fatilia wakati wa Rebels wameanza kuvamia Syria jeshi la Syria lilikuwa kimya hakuna uju.be kutoka Ministry of defence au chief of staff au kwa huyo Commander in chief. Vipi jeshi litapigana hapo.

Huo ndio mchezo ulio chezwa.
 
Kwa muonekano wake, hafanani kabisa na yaliyokuwa yakifanyika chini ya utawala wake.

Katika gereza la Sednaya, kulikuwa na vyumba mbalimbali vya mateso.

Moja ya vyumba hivyo kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu [iron press] mpaka wanakuwa kama chapati!

Nisome tena: kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu mpaka wanakuwa tambarare [flat] kama chapati.

Ukatili wa Assad umepitiliza kabisa viwango vyote vya ukatili duniani.

Utamlazaje binadamu mwenzio kwenye limashine la kugandamiza halafu unamgandamiza anakuwa kama pancake?

Kwa kweli siwalaumu hata kidogo wale watu walioenda kulichoma moto kaburi la baba yake na Bashar.

Sikuwahi kuwaza huyo daktari wa macho alikuwa ni katili kiasi hicho.

Na siku akija kupatikana halafu na yeye pamoja na familia yake wakagandamizwa na hilo hilo limashine lao, wala sitajawa na huruma yoyote ile.


View: https://youtu.be/-V6fPXr32qo?si=dHG5TVdmJY2ikR58


View: https://youtu.be/5ictvq6r2N4?si=mbpzbZjiVfclVfjz

Putin kampokea.
 
Kwa muonekano wake, hafanani kabisa na yaliyokuwa yakifanyika chini ya utawala wake.

Katika gereza la Sednaya, kulikuwa na vyumba mbalimbali vya mateso.

Moja ya vyumba hivyo kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu [iron press] mpaka wanakuwa kama chapati!

Nisome tena: kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu mpaka wanakuwa tambarare [flat] kama chapati.

Ukatili wa Assad umepitiliza kabisa viwango vyote vya ukatili duniani.

Utamlazaje binadamu mwenzio kwenye limashine la kugandamiza halafu unamgandamiza anakuwa kama pancake?

Kwa kweli siwalaumu hata kidogo wale watu walioenda kulichoma moto kaburi la baba yake na Bashar.

Sikuwahi kuwaza huyo daktari wa macho alikuwa ni katili kiasi hicho.

Na siku akija kupatikana halafu na yeye pamoja na familia yake wakagandamizwa na hilo hilo limashine lao, wala sitajawa na huruma yoyote ile.


View: https://youtu.be/-V6fPXr32qo?si=dHG5TVdmJY2ikR58


View: https://youtu.be/5ictvq6r2N4?si=mbpzbZjiVfclVfjz

Terrible!
 
Kwa muonekano wake, hafanani kabisa na yaliyokuwa yakifanyika chini ya utawala wake.

Katika gereza la Sednaya, kulikuwa na vyumba mbalimbali vya mateso.

Moja ya vyumba hivyo kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu [iron press] mpaka wanakuwa kama chapati!

Nisome tena: kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu mpaka wanakuwa tambarare [flat] kama chapati.

Ukatili wa Assad umepitiliza kabisa viwango vyote vya ukatili duniani.

Utamlazaje binadamu mwenzio kwenye limashine la kugandamiza halafu unamgandamiza anakuwa kama pancake?

Kwa kweli siwalaumu hata kidogo wale watu walioenda kulichoma moto kaburi la baba yake na Bashar.

Sikuwahi kuwaza huyo daktari wa macho alikuwa ni katili kiasi hicho.

Na siku akija kupatikana halafu na yeye pamoja na familia yake wakagandamizwa na hilo hilo limashine lao, wala sitajawa na huruma yoyote ile.


View: https://youtu.be/-V6fPXr32qo?si=dHG5TVdmJY2ikR58


View: https://youtu.be/5ictvq6r2N4?si=mbpzbZjiVfclVfjz

Mbona hiyo mashine haina hata matone ya damu imejaa tu vumbi maana haiwwezekani mashine iwe inakandamiza watu halafu haina hata mabaki ya nyamanyama na damu
 
Hizi ni propaganda za kunchafua. Tochering chamber zipo duniani kote of different scales. Mpaka Kuna zingine wanafunga mamba unatupwa unaliwa while alive.

Hivyo hakuna jipya
Watu wanachagua linalowapendeza
Huyu mtoa mada aje aeleze mateso wanayopewa wafungwa wa Abu ghureib na Guantanamo bay
 
Kwa muonekano wake, hafanani kabisa na yaliyokuwa yakifanyika chini ya utawala wake.

Katika gereza la Sednaya, kulikuwa na vyumba mbalimbali vya mateso.

Moja ya vyumba hivyo kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu [iron press] mpaka wanakuwa kama chapati!

Nisome tena: kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu mpaka wanakuwa tambarare [flat] kama chapati.

Ukatili wa Assad umepitiliza kabisa viwango vyote vya ukatili duniani.

Utamlazaje binadamu mwenzio kwenye limashine la kugandamiza halafu unamgandamiza anakuwa kama pancake?

Kwa kweli siwalaumu hata kidogo wale watu walioenda kulichoma moto kaburi la baba yake na Bashar.

Sikuwahi kuwaza huyo daktari wa macho alikuwa ni katili kiasi hicho.

Na siku akija kupatikana halafu na yeye pamoja na familia yake wakagandamizwa na hilo hilo limashine lao, wala sitajawa na huruma yoyote ile.


View: https://youtu.be/-V6fPXr32qo?si=dHG5TVdmJY2ikR58


View: https://youtu.be/5ictvq6r2N4?si=mbpzbZjiVfclVfjz

Kama Guantanamo ya Bush
 
Jela za kuwatesa wananchi wako wewe unaona ni sawa acha ujinga
Mifano uliyotelewa ya israel ni kwa ajili ya foreigner
Guantanamo ni kwa ajili ya foreigner na sio raia wa marekani hakuna rais wa marekani aliyefungwa guantanamo
Foreigner sio mtu
Hana haki
Kwa hiyo ikitokea umekamatwa ukapelekwa Kenya utaridhia ukifanyiwa unyama sababu ww ni mgeni
 
Hiko kichwa Umeumbwa nacho ili kufikiri sio kwa ajili ya kutenganisha hayo MASIKIO.
kufikiri na kutabiri ni vitu viwili tofaut , kusema mtu ataua watu huko mbelei huko sio kufikiri bali ni kutabiri
 
Kwa muonekano wake, hafanani kabisa na yaliyokuwa yakifanyika chini ya utawala wake.

Katika gereza la Sednaya, kulikuwa na vyumba mbalimbali vya mateso.

Moja ya vyumba hivyo kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu [iron press] mpaka wanakuwa kama chapati!

Nisome tena: kulikuwepo na mashine ya kugandamizia watu mpaka wanakuwa tambarare [flat] kama chapati.

Ukatili wa Assad umepitiliza kabisa viwango vyote vya ukatili duniani.

Utamlazaje binadamu mwenzio kwenye limashine la kugandamiza halafu unamgandamiza anakuwa kama pancake?

Kwa kweli siwalaumu hata kidogo wale watu walioenda kulichoma moto kaburi la baba yake na Bashar.

Sikuwahi kuwaza huyo daktari wa macho alikuwa ni katili kiasi hicho.

Na siku akija kupatikana halafu na yeye pamoja na familia yake wakagandamizwa na hilo hilo limashine lao, wala sitajawa na huruma yoyote ile.


View: https://youtu.be/-V6fPXr32qo?si=dHG5TVdmJY2ikR58


View: https://youtu.be/5ictvq6r2N4?si=mbpzbZjiVfclVfjz

Hapishani sana na ukatili wa Bush kule Guantanamo.
 
Nafurahi sana unapoleta mada na kuweka Ushahidi ili wale mamluki wa Kiarabu wanaoamini siku zote kuwa Waarabu na Waislam wanaonewa wakose vya kusema

Ujue Wazungu wana akili sana na hawakurupuki, wanafanya Investigation ya Uhakika

Mimi niliumizwa sana walipouawa watoto wa Sadam Hussein akina Quday Hussein

La Haula, kuja kuona clips zake alichokuwa anawafanyia wananchi wa Iraq ni zaidi ya Ushetani

Huyu Assad naye ni Dictator muuaji kabisa
Wavaa Kobazi Bado hawataamini
 
Je, haijapata kuandikwa ya kwamba mamlaka zote hutoka kwa Muumba? Tena andiko lile hali-categorize ila lataja tu mamlaka bila sifa za ziada?

Tusemeje sasa? Kwamba, andiko lile ni questionable? Kwamba, halimaanishi mamlaka hizi tunazozifahamu? Kwamba, halimaanishi Muumba huyu anayejulikana? Au tusemeje?
Sio mamlaka zote hutoka kwa muumba maana wachawi, magaidi, wahuni pia wana mamlaka zao.
 
Back
Top Bottom